Translate this blog in your favourable language
My pager view
Tuesday, June 22, 2010
miss tnga nao walifunika kiasi chake kifupi ilibamba japo si sana
steve used to say... miss tanga 2010 ilkua bomba sana na ilivutia kiukweli ila ripoti muhimu kuhusu miss tanga iko njiani inakuja wapo waliotoa maoni yao ila cha ajbu wengi walimpenda ila pia wapo waliosema katika kupigania miss tanzania hatafika popote je nini kitatokea endelea kufuatilia blog hii tunakusanya maoni ya wadau mbalix2... wewe pia unaweza kutoa maoni yako ...
you may enjoy this but dont woryy my follower coz tym hi"ntoshi




kuna designer chipukizi anataka kutoka na kiukweli mimi nimemkubali anaitwa .Happyness Kikota.

Friday, June 18, 2010
diamond kiukweli wmeosha sana
Thursday, June 17, 2010
yaani kiukweli nazidi kupata mzuka wa world cup yaani woza

Wednesday, June 16, 2010
world vision shirika la kijamii linalosaidia watoto

jamani msione naweka post chache sijawachka ila nasisitiza woza..


diva na mambo yake ktk web yake nazikubali kazi zake.

Tuesday, June 15, 2010
bado tunaendelea na mambo ya world cup


Sunday, June 13, 2010
siko mbali nanyi ila tatizo world cup ndio probs.

Tuesday, June 8, 2010
hakika uwanja wetu uliuza vyakutosha [ our stadium is very nice]

mambo matatu muhimu yakuyafahamu ktk mechi ya tanzania na brazil

chile national team still wants to show wonders in sout afrca


kanu hachoki mi naona akawe kocha msaidizi

have a new movie you have to got it

Monday, June 7, 2010
vivazi vinavyotega halafu ndio vinapendwa kama kula

maisha ya kutegana ndio hasa yanafanya juhudi za kutokomeza ukimwi zigonge mwamba.

vigezo ambavo kwa mara ya kwanza mtu huwa anaviangalia ktk mahusiano

Sunday, June 6, 2010
hawa jamaa nawakubali kiukweli mi nasema ni wasanii wa ukweli

we have to get more pics


we have to move foward because this world is not for group of people or riches etc

DUNIA NA MUSTAKABALI WA NIDHAMU KATIKA JAMII ZETU

jamani sasa hii si laana kabisa.

mikosi ya timu za africa world cup

Friday, June 4, 2010
face book katika kuchati inaongeza upeowa kufikiri
yo need to chat? if yes join in my blog for more info..
faida za michezo hasa umiseta
no longer at simple way. but the way we are ... mh,.., mashindanoya umiseta kimkoa yalianza jana na kuendelea na leo ila kuna mapungufu mengi sana yamejitokeza kwa mfano timu ya wilaya ya kilindi ilicheza mecchi tatu ndani ya masaa 6 [sita] kwakweli utaratibu huo mi naona kama ulikua mbovu kupitiliza bebu jaribuni kujipanga mana hata hivyo vipaji haviwezi kutambulika kwa njia hiyo...
Wednesday, June 2, 2010
afrika na mtazamo wa ukimwi
no longer at simple way. you may open website of HIV free generation steve isay it begin with me not you please say and you it begin with me not it begin with you.. we will move forwad... comment from tanzania ,,.toa maoni yako we unaonaje mtazamo huu...
fatuma nasiry anasema kitu..
ansema tanzania bila ukimwi inawezekana kwasababu watu wakiwa na msimamo kwenye ndoa zao na katika mahusiano yao..
wanaoasilika sana na virusi vya ukimwi ni akina dada kwasababu
tamaa na kutoridhika na walivyonavyo.
halafu tabia inachangia mnaamukizi kuwa juu. na pia anaamini umasikini
unachangia kwa asilimia ndogo sana katika maambukizi..
pia anasema kama unaamini kondom inazuia ukimwi kuna umuhimu wa kuitumia hata kwa mtu unaye muamini. ansema yeye binafsi anaiamini kondom kwa asilimia 10 tu.
anshauri watu wawe waaminifu ktk mahusiano....
wanaoasilika sana na virusi vya ukimwi ni akina dada kwasababu
tamaa na kutoridhika na walivyonavyo.
halafu tabia inachangia mnaamukizi kuwa juu. na pia anaamini umasikini
unachangia kwa asilimia ndogo sana katika maambukizi..
pia anasema kama unaamini kondom inazuia ukimwi kuna umuhimu wa kuitumia hata kwa mtu unaye muamini. ansema yeye binafsi anaiamini kondom kwa asilimia 10 tu.
anshauri watu wawe waaminifu ktk mahusiano....
Subscribe to:
Posts (Atom)