Translate this blog in your favourable language

My pager view

Sunday, June 6, 2010

mikosi ya timu za africa world cup

ni habari ambazo ukisikia labda hazitakufurahisha coz michael essien ameshindwa kucheza kombe la dunia kutokana na majeruhi,, lakini haiihii hapo na didie droba nae kavunjikamkono na kuna uwezekano mkubwa nae pia akakosa kombe la dunia kwangu ni huzuni kubwa sana na wakati mwingine huwa nafikiri ni hujuma tunafanyiwa ila inabidi tuamini kua ni kama ajali ya kawaida but tuwaombee kama vipi.............

1 comment:

Anonymous said...

Hi my loved one! I want to say that this post is awesome, great written and include approximately all important infos.

I'd like to see extra posts like this .

My blog ... Make money with an e-mail List