![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgU4tdGZR660yRi2MEfCehrPzqqgLKyJBkKoqfLN53718bGW__F29kWKkqUiwXmJpNYFS-xkpYOcec6U8pmy_wvIw3Vd6m9xxW-qduBaepeZJy08qEZRN_pcRF4iCxfCCtGHiGFkgAbkvRM/s320/d2e36cd1280213a3b80d7e622d8678b3-getty-fbl-wc2010-ngr-training.jpg)
ni habari ambazo ukisikia labda hazitakufurahisha coz michael essien ameshindwa kucheza kombe la dunia kutokana na majeruhi,, lakini haiihii hapo na didie droba nae kavunjikamkono na kuna uwezekano mkubwa nae pia akakosa kombe la dunia kwangu ni huzuni kubwa sana na wakati mwingine huwa nafikiri ni hujuma tunafanyiwa ila inabidi tuamini kua ni kama ajali ya kawaida but tuwaombee kama vipi.............
1 comment:
Hi my loved one! I want to say that this post is awesome, great written and include approximately all important infos.
I'd like to see extra posts like this .
My blog ... Make money with an e-mail List
Post a Comment