Translate this blog in your favourable language

My pager view

Wednesday, September 1, 2010

utalii ni jambo muhimu san hapa duniani kwani zingine zinatukumbusah zamani [tourism]

sehemu nyingi sana ndani ya tanzania kuna vivutio vingi vya utalii na kama mji wa tanga ambapo naishi mimi kuna sehemu nyingi san za kitalii kama mapango ya amboni ambayo naweza sema ni ya pekee kabisa duniani na yanayopatikana huko ni ya ajabu kama siku ukitembelea tanga jabibu utaona ni jambo zuri na la kifahari fanya utalii wa ndani kama kwenda nje hauwezi ukija tanga nitakupa kampani nzuri sana... tuwasiliane stevenmruma@hotmail .com ...