![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijbtLVE1UiIuurx03NzuoqOJryNRd-2EwYnuxat1U8ZbVTtpbO9cRxQy1pkkpnYbyuyA5OPYfQXFkY82MPfeF_9u6rsH8nart-4kJIlS93NeecHDqxtlZ_39pvRq41Ab0Txk2BFRv9m-kV/s1600/mrem.jpg)
Translate this blog in your favourable language
My pager view
Wednesday, November 3, 2010
makala maalum kuhusu uchaguzi uliopita inakuja na hii inatokana na mimi kuongea na baadhi ya wanasiasa na kuelezea mustakabali wa nchi
lazima utakubali kuwa huu ni mwaka wa mabadiliko lazima rais ale na watoto wa mitaani na wanaishi ktk mazingira hatarishi na magumu hapo sasa ndio ikulu haitakuwa na radha nzuri sana kama ilivyozoeleka.
hii ndio itatufanya watanzania ambao bado tuna shuku ya kutaka kujua nchi yetu wapi ilpo na wapi inapokwenda na kwa hili lazima tuwe makini sana kwani wewe kama raia wa nchi hii lazima ujue haki zako za msingi kabisa ila kingine ccm chali zaidi ya majimbo 50 na nguli na mawaziri waangushwa kirahisi je ni akina nani? isubirie......
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijbtLVE1UiIuurx03NzuoqOJryNRd-2EwYnuxat1U8ZbVTtpbO9cRxQy1pkkpnYbyuyA5OPYfQXFkY82MPfeF_9u6rsH8nart-4kJIlS93NeecHDqxtlZ_39pvRq41Ab0Txk2BFRv9m-kV/s1600/mrem.jpg)
hakika hakuna raha ilioje kama chama tawala maji yanapofika shingoni mana hata wizi utapungua
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKpL-KD3hBHcuOb1m0TmKcNs9XrSqrBZO1DQrey-IMz9cQf3TnSOqneDFcUy99rxjlMSZp9fU9UMBuRkxHgyB2KycCviE532c775twRWTZaQ_gywBJIIgFh0TjRJqrgZsD0bicnwhLZVXy/s1600/gte.jpg)
Subscribe to:
Posts (Atom)