Translate this blog in your favourable language
My pager view
Monday, August 16, 2010
hawa ndio walioshika movie duniani


katika wachezaji ninaowapenda zaid ni huyu kiukweli anatisha
didier drogba ni nyota wa ivovy anayetesa sana uk ila kiukweli ni bonge la jembe kwani ameweka record ya kufunga hat-tric katika mechi za ufunguzi wa ligi huku akiwa bado ni kinara wa mabao ligi iliyoisha huku timu yake ikiwa na ubingwa wa uk..
Subscribe to:
Posts (Atom)