bongo land na mamboyake ukifulia tu walewale ulio wategemea ndio wakwanza kukukimbia .
steve used to say...unapofulia hata marafiki wanakukimbia na hii nahisi huwatokea wasanii wengi sana lakini kwa mr. nice imezidi mbona hawa wa filamu sisikii sana matukio yao ya kupigwa labda kupigana kama ya mlela na hemed ila naona kama siku mtu kama the great akifulia sijui itakuaje simuombei coz ni fun wangu wa ukweli nampenda san na pia kama akina ay binam cpwaa suma lee na so much atist.
Translate this blog in your favourable language
My pager view
Tuesday, September 7, 2010
tukio la mr. nice kupigwa wadau wengi watoa maoni yao

Subscribe to:
Posts (Atom)