Translate this blog in your favourable language

My pager view

Tuesday, October 23, 2012

Barack Obama: it's a choice between 'reckless and wrong or steady and strong'

Barack Obama claimed the US election had come down to a choice between "reckless and wrong or steady and strong" on Tuesday, as he embarked on a blitz of battleground states after beating Mitt Romney in the final presidential debate.

Barack Obama: it's a choice between 'reckless and wrong or steady and strong'
Mr Obama moved to protect his slim advantage in those swing states likely to decide the electoral college result on November

Wednesday, October 17, 2012

KUKOJOLEA MSAHAFU = KUANDAMANA, KUHARIBU MAKANISA, KUHARIBU MAGARI?

        

gari ya clouds media ilioharibiwa katika maandamanoya waislamu
        Wakati maandamano ya waislamu yametokea nilitumia muda mwingi sana kwa ajili ya kuangalia na kuchambua pamoja na kutathmini yaliyotokea kwa wenzetu waislamu na kwa upande pia wa wakristo. Awali ya yote napenda kutoa pole kwa waislamu wote kwa kitendo kilichofanywa na kijana Emmanuel Kwa kukojolea msahafu ni kitendo cha udhalilishaji wa dini, hii ni bila kushau kuwa kila mtu anapaswa kuheshimiwa katika kile anachokiamini hasa katika upande wa dini. Lakini pia nitoe pole kwa wakristo ambao makanisa yao yalivunjwa na vurugu na maandamano ya waislamu haikuwa busara kuvunja lakini wanapaswa kusamehewa bure hasa ukizingatia aina ya waliofanya vurugu hizo ni akina nani na wana itkadi gani. Kabla sijagusia maandamano na vurugu za mbagala napenda nirudi kidogo nyuma. Hapa nazungumzia maandamano ya waislamu Zanzibar ambayo pia yaliandamana na kuvunjwa kwa makanisa pamoja na baa. Mei 26 2012 kisiwani Zanzibar maeneo ya darajani palitokea fujo iliofanywa na kikundi cha uamsho kwa shinikizo la kutaka kiongozi wao atolewe mahabusu alipokuwa anashikiliwa na polisi kwa kosa la kufanya mikutano ya hadhara bila kibali. Pili zilikuwa ni harakati za kupinga muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Sasa napenda ufananishe mantiki ya mdai ya wafanya vurugu hao na kisa cha kuvunja makanisa na baa na kufanya fujo kufunga barabara nk. Je ndio lilikuwa suluhisho la walichokuwa wanakitaka?

. Mwenye akili na afahamu.  Katika hayo yote ningependa sana ufuatilie tene kwa makini sana lile tukio la Zanzibar katika mitandao na kasha fananisha madai ya waislamu hao na kuchoma baa na makanisa. Mtazamo wangu.  1.    Lilikuwa ni jambo la kudhalilisha na kufedhehesha kwa kuvunja makanisa wakati hawakua chanzo au sio walioiunganisha Zanzibar na Tanganyika na waasisi wa muungano wanajulikana mngeenda kuvunja nyumba zao. 2.     Lakini pia hao mliovunja makanisa yao sio waliomkamata kiongozi wenu anashikiliwa na polisi kama mngekuwa na hasira ya kweli mngeenda kuvunja nyumba za polisi na vituo vyao. 3.    ILIKUWA NI DHARAU KUBWA SANA KUVUNJA MAKANISA NA BAA KWANI ILIKUWA DHAHIRI MNAFANANISHA MAKANISA NA BAA HII NI DHARAU NA NAPENDA KUILINGANISHA NA KITENDO CHA EMMA KUKOJOLEA MSAHAFU. ( msiwe hodari kuona vibanzi katika macho ya wenzeni wakati macho yenu yanamaboliti) na kumbuka kumhukumu mtu wakati MUNGU yupo ni kutaka kufanya kazi ya MUNGU wakati yeye anajua kila kitu zaidi ya mchanga wa bahari je nyie mnajua mangapi kumshinda MUNGU?     Ieleweke kuwa kila dini inathamini kile wanachokiamini yalipovunjwa makanisa Zanzibar hakuna aliejibu mapigo alilia na sheria ifuate mkondo kwa kua dini zinaitambua mamlaka ya kisheria na kiserikali.     

Sasa napenda turud katika tukio husika la mbagala kama hujafahamu mengi yaliyptokea naomba soma katika mtandao huu habari ya iliopita kabla yah ii na pia utaona picha za tukio zima kwa ajili ya kuelewa na kupata ushahidi wa hiki ninachokisema. Kwanza napenda kulaani kitendo cha Emmanuel kukojolea msahafu hakikua kitendo cha kiuungwana haijalishi sana kama ulikuwa mjinga kiasi gani chamsingi kilichofanyika hakikua kitendo kizuri na kinapaswa kupingwa kwa nguvu. Lakini pia nipende pia kuaani kitendo cha waislamu hao walioandamana kwa kuvunja makanisa ilhali sheria ipo na tayari hatua za kisheria shilisha anza kuchukuliwa kwani kijana huyo tayaria alikuwa mikononi mwa polisi.    Lakini pia napenda tu kuwa wazi na kusema ukweli waislamu mlioandamana na wale wote mnaounga mkono kitendo cha kuvunjwa kwa makanisa na kufanya vurugu na kuharibu na kuchoma magari pamoja na kufunga njia kwa mtindo mnaoenda nae mnadanganyika na ni kufilisika kimawazo na hilo sio sulihisho la matatizo yenu. Msiige sera za mashariki wengi wao si waislamu kama nyie ni tofauti kama hauamini fatilia sera za alshababu madhehebu ya shia na suni na kasha rudi jiangalieni na waislamu wa Tanzania.          Yote yaliyotokea mlipaswa kiacha sheria ifuate mkondo wake sambamba na kulaani kitendo kile. Kwa kufanya fujo zile mimi naona ilikua ni sera ya kijinga ambayo mwisho wa siku imeishia kuwatia hatiani wengi ikiwemo na wasiokua na hatia. Na pia mmetia hasra ambayo sheria hiyohiyo mlioshindwa kuiacha ichukue mkondo italazimu kuigharamia.        Matajiuliza kwanini mimi naona ni sera ya kijinga na ni kufilisika kimawazo ninasema hayo kwa mambo makuu yafuatayo:- 1. 

 Aliekojolea msahafu tayari alikuwa mikononi mwa polosi kama mliona sheria haiwezi kuchua mkondo kwanini msivunje mahakama na poilisi kwa kuwa wameshindwa kufanya kazi? Mnakimbilia kuvunja makanisa ambayo hata huyo kijana hayajui na hasali katika makanisa hayo makanisa yaliovunjwa ni Anglikana Sabato na roman catholic sasa huyu kijana anasali katika makanisa haya yote?  2.    Huyu kiana alikuwa na miaka 14 na najua mnajua fika kua huyu ni motto hata kama angekua na akili kiasi gani neon na sifa kama mtoto bado anabaki nalo na hili linadhihirisha upumbavu na ujinga wake sasa watu wazima mnatakiwa kukaa chini na kutafakari mnataka kushindana na mtoto sijui kama nikisema mmefilisika kimawazo na ule ulikuwa ni ujinga sawa na ujinga wa mtoto huyo aliekojalea msahafu hapo sioni tofauti

Sunday, October 14, 2012

JUMA MTANDA: VURUGU ZA WAISLAM MBAGALA. Soma kisa na angalia picha za uharibifu kisha fananisha na nilicho andika katika makala yangu

JUMA MTANDA: VURUGU ZA WAISLAM MBAGALA.:   ENEO la Mbagala Kizuiani, Dar es Salaam jana liligeuka uwanja wa mapambano kati ya makundi ya watu wanaosadikiwa kuwa ni Waisl...

HISTORY OF ACTRESS ZOE SALDANA







Zoe Saldana was born in New Jersey and raised in Queens, New York. When she was 10 years old, she and her family moved to the Dominican Republic where they would live for the next 7 years. While living in the Dominican Republic, Zoe discovered a keen interest in performance dance and began her training at the prestigious ECOS Espacio de Danza Dance Academy where she learned ballet as well as other dance forms. Not only did her training provide an excellent outlet for the enthusiastic and energetic youngster, it would also prove to be a fortunate precursor for the start of her professional acting career. At age 17, Zoe and her family moved back to the United States where her love for dance followed and an interest in theater performance became stronger. She began performing with the Faces theater troupe which put on plays geared to provide positive messages for teens with themes dealing with issues such as substance abuse and sex. These performances not only gave her valuable experience but also a source of great pride knowing that she was making a difference in the lives of young people like herself. While performing with the Faces troupe and also the New York Youth Theater, Zoe was recruited for a talent agency and her dance training years before coupled with her acting experience greatly helped her land her first big screen role as "Eva Rodriguez", the talented and headstrong ballet dancer in the film Center Stage (2000).
Since her professional career began just a few years ago, Zoe's talent and determination has allowed her to be involved in blockbuster films and act with major actors, actresses and industry insiders at a pace that very few young professionals have experienced. Zoe has not only held her own in major motion picture productions but gained the respect and praise from industry insiders such as Jerry Bruckheimer and Steven Spielberg and actors/actresses such as Tom Hanks, Bernie Mac, Keira Knightley, Ashton Kutcher, Kirsten Dunst and Orlando Bloom. According to many of her costars, producers, and directors, the sky is no limit for this young star who has incredible range, intense concentration, and a steely determination to be involved with projects that challenge her professionally with wide-ranging subject matters and characters. Just to ask practically anyone who she has worked for or with about her, glowing comments abound and earned friendships and respect are readily revealed. A star has been born, and growing every day.

Her father is of Dominican descent; her mother is Puerto Rican.
Ranked #42 on the Maxim magazine Hot 100 Women of 2008 list.
In The Terminal (2004), Saldana's character, Torres, is revealed to be a Trekkie. Saldana went on to be cast as "Uhura" in Star Trek (2009).
Had not seen the original series, before she was cast in Star Trek (2009).
To prepare for her role in Star Trek (2009) she met with Nichelle Nichols who played the same character in the original series.
Admires Whoopi Goldberg and Angelina Jolie.
Was chosen as one of People Magazine's annual 100 Most Beautiful People in the World, Beauty at Every Age section, for age 28, in May 2007.
She had a smaller role in Pirates of the Caribbean: The Curse of the Black Pearl (2003), and was set to star in the sequels, but never did. In the final scene of Pirates of the Caribbean: Dead Man's Chest (2006) the people were told an old friend would return, and while filming the scene, the actors were told it was Zoe who would return. However it was Geoffrey Rush, and only told the actors it was Zoe to surprise them, and get real authenticity in their faces. Zoe never reprised her character.
Did an intense nonstop six-month preparation for Avatar (2009) including martial arts, archery and horseback riding.
Likes to play strong female characters. And said in an interview with a Danish film-site that she was really looking forward to evolving her character of Uhura into a stronger, kick-ass lady in future Star Trek (2009) sequels.
Says she's a sci-fi geek who just happens to dress nice.
Revealed on "Jimmy Kimmel Live!" (2003) that she is often mistaken for Thandie Newton. Even her own mother once mistook the two of them.
Has been in a relationship with actor Keith Britton since 2005.
Ranked #3 on Maxim magazine's Hot 100 Women of 2010 list.
Voted #37 on the 2011 Maxim list "Hot 100" women.
Ranked #91 in the 2011 FHM list of "100 Sexiest Women in the World".
Ranked #24 in the 2010 FHM UK list of "100 Sexiest Women in the World".
Became engaged to Keith Britton in June 2010 but they split in November 2011.
Co-founder, with Keith Britton, of website, My Fashion Data Base (MyFDB.com). They are also business partners in the website.

Sunday, October 7, 2012

10 Ways to Say I Love You Without Saying I Love You



Some people are not able to say the three little words, "I love you." Although I think it's something that we should all strive for, for those who simply haven't gotten there yet, here are ten ways you can show it without uttering the phrase.
1.    Nothing says "I love you" more than laughing at your partner's bad jokes, especially if you've heard them a hundred times before. Making your loved one laugh is also a wonderful way of displaying your feelings.
2.    Find that special little something that your partner lost or said he or she wanted but could never find. Also, giving your partner a nicely framed photograph of the two of you is a very touching gesture.
3.    Do the manly-man or girly-girl thing. Many men say ILY by washing their mate's car and filling it with gas. Taking your man to a game, concert, car show or movie that he really likes is a great way to show that you want to be there for him.

4.    Help your partner heal a childhood hurt or loss. Perhaps the most powerful thing you can do is to just listen to his or her story about what happened and follow it up with a big hug.

5.    Show up at a business event as the loving spouse. This is all about giving.  Staying in a supportive role and praising your mate's efforts to everyone you talk to will make your partner feel uplifted and loved.
6.    When you're watching TV, snuggle up close with the one you love. Sitting across the room from each other in separate chairs may feel comfortable to your body, but it isn't fulfilling to your heart.
7.    Bedtime cuddling helps sustain a long-term loving connection. If you both need your own space for sleeping, that's fine. Just touch each other for fifteen minutes before you go to your side of the bed. By the way, those who engage in this activity also have healthier sex lives.
8.    Go above and beyond. Making a grand gesture every now and then is a wonderful way to show your love. Doing the extraordinary as a couple will help you create cherished memories.
9.    Doing something for your mate that he or she hates to do speaks volumes. We all have things in our lives that we dislike doing and when your partner gets the spider out of the bathtub or makes a midnight run so the kids can have milk in the morning, it really says ILY.
10. Being extra considerate on a daily basis works wonders. Saying "please" and "thank you," opening doors, helping your partner put on a coat, or putting a little love note in his or her pocket are a few of the little things that make a big difference.
Perhaps after showing (or being shown) your love in these ways, you will find it easier to speak the words. Just keep in mind that most of us want to hear them.

Saturday, October 6, 2012

Mau Mau rebels win the right to sue Britain

 

Three elderly Kenyans were granted the right on friday to sue the British government for compensation over allegations of torture during the Mau Mau uprising that started 60 years ago.

The judgment at the High Court in London, described as "historic" by the Kenyans' lawyer, potentially opens the door to other claims of mistreatment by colonial officers across the British Empire stretching back decades.
The Foreign Office said it did not dispute that Kenya's colonial administration tortured the three Kenyans, all in their 70s and 80s, but added that it would still appeal against the ruling.
It claims that most of the potential witnesses to any court proceedings are dead, that too long has passed for a civil case to be brought, and that a fair trial would be impossible.
However Mr Justice McCombe, sitting in the High Court, said documentary evidence culled from imperial files was "voluminous".
"The governments and military commanders seem to have been meticulous record keepers," he said.
 
"I have reached the conclusion that a fair trial on this part of the case does remain possible and that the evidence on both sides remains significantly cogent for the Court to complete its task satisfactorily."
The three claimants, Paulo Muoka Nzili, 85, Wambuga Wa Nyingi, 84, and Jane Muthoni Mara, 73, allege that they suffered beatings, castration and sexual assault during their detention by British troops during the rebellion. The uprising, between 1952 and 1960, led to thousands of Kenyans being interned under suspicion of being members of the outlawed Mau Mau sect, which fought the colonial administration.
Mr Nzili, Mr Wa Nyingi and Mrs Mara all want an apology from the British government and compensation for injuries they suffered and lifelong complications that followed.
"I hope that this means that the British government will finally come here to give us something to support our families and to help us," Mr Wa Nyingi told The Daily Telegraph in Nairobi.
Dozens of elderly Kenyans gathered in the Nairobi offices of a human rights organisation's offices to hear the judgment, and ululated, clapped and danced when it was announced.
Gitu wa Kahengeri, the head of the Mau Mau Veterans' Association, said it was "disappointing" that the Foreign Office was to appeal.
"It seems that their strategy is to continue to fight this thing on legal technicalities until we die," he said.
Martyn Day, a lawyer for the three Kenyans, said the judgment was "historic" and would "reverberate around the world".

Thursday, October 4, 2012

Diva: Chadema All The Way.. maneno ya DIVA kuhusu kuingia katika siasa.

Diva: Chadema All The Way: Its official!. Nimechukua Kadi ya Uanachama ya Chadema. 2015 Mungu akiniweka hai Inshaallah naingia katika Siasa Rasmi!. Thats what i want i...

Monday, October 1, 2012

song from magoodboy ft m2gani and Tom B, the song name sweet

this is not a video is just a song without any video but u may listen and appreciate that beautifully song from magoodboy ft m2gani and Tom B the song name sweet the real video is coming soon stay still,..