Translate this blog in your favourable language

My pager view

Friday, January 11, 2019

YAJUE MAGONJWA MUHIMU YA KUKU/NDEGE WAFUGWAO ILI KUIKINGA NA KUIOKOA MIFUGO YAKO. [KUKU].

Mara nyingi sana kuku mgojwa huwa namna hii,,



Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadiliko kutoka katika afya ya kawaida ya mnyama/kuku. Hali hii hutokea pale
vimelea au vijidudu vinapoingia mwili wa mnyama, kwa kula vyakula vyenye sumu, au inapotokea kuna uhaba wa lishe au madini mwilini.
 
TOFAUTI ZA MUONEKANO KATI YA KUKU MWENYE AFYA NA KUKU MGONJWA

KUKU MWENYE AFYA NZURI