Translate this blog in your favourable language

My pager view

Wednesday, June 16, 2010

jamani msione naweka post chache sijawachka ila nasisitiza woza..

wengi mtashangaa kwanini mambo yamekuwa slow sana duh poleni na daima msikate tamaa mimi naamini mambo yote yataenda kama ilivyopangwa muda si mrefu kama mlivyonichukulia poa pale nlipo kosa nichukulieni na hapa pia au sio bila shaka 2po pa1 wa2 wangu 4WARD EVER BACKWARD NEVER... STEVEN 2GTHR WITH DIVA LOVENESS LOVE..

No comments: