
kwa misha ya kawaida tuliyo yazoea hasa vijana kifup tunapenda sana kutumia vigezo vya uzuri wa sura kwa mfano mtu anapokua na mvuto sana kila mtu atataka kua nae ktk mahusiano lakini kama hana mvuto ni ngumu sana watu wengi wakawa wanampenda na kama ni kutongozwa basi ni wachche sana ambao wanapenda kuangalia vigezo vya tabia na mambo mengine ndio watampenda na pengine kumtongoza.....
No comments:
Post a Comment