Translate this blog in your favourable language

My pager view

Sunday, June 6, 2010

DUNIA NA MUSTAKABALI WA NIDHAMU KATIKA JAMII ZETU

huwa maranyingi sana nakutana na mambo ya kustaajabisha sana yani unaweza kuta mama mtu mzima na heshima zake amevaa kimini kama siosuruali inayobana nakumuonesha maungo yake yalivyo halafu akipita anataka aheshimiwe wakati yeye hakujiheshimu kwanza yani ni aibu hata kusema na ukichunguza kwa undani utagundua kuwa ni mama wa watoto wakubwa na ameolewa na ana familia kubwa yani inashangaza .. jamani tubadilike akina mama tunawapenda na kuwahehimu nanyi jiheshimuni basi hata kidogo tu jamani mbona mnatufanyia hivyo au mnataka tuwatongoze mkatangaze hatuna heshima..

jamani sasa hii si laana kabisa.

yaani nimepata habari ya mwanaume kuoa mwanaume mwenzake halafu dume lililo olewa limeibuka na kusema lina mimba yani hii laana sijui itatupeleka wapi ndugu zangu mimi leo nipo tanga lakini siwezi kulichukulia poa hata kidogo coz linaniuma sana kuona serikali haikulifuatilia sualahili ili sheria ichukue mkondo wake lakini wanaachwa hivi hivi halafu tunapanda majukwaani na kujigamba eti tanzania bila ukimwi inawezekana.., MIMI NASEMA KWA HALI HII TANZANIA BILA UKIMWI HAIWEZEKANI HAIWEZEKANI HATA KIDOGO...

mikosi ya timu za africa world cup

ni habari ambazo ukisikia labda hazitakufurahisha coz michael essien ameshindwa kucheza kombe la dunia kutokana na majeruhi,, lakini haiihii hapo na didie droba nae kavunjikamkono na kuna uwezekano mkubwa nae pia akakosa kombe la dunia kwangu ni huzuni kubwa sana na wakati mwingine huwa nafikiri ni hujuma tunafanyiwa ila inabidi tuamini kua ni kama ajali ya kawaida but tuwaombee kama vipi.............

Friday, June 4, 2010

face book katika kuchati inaongeza upeowa kufikiri

yo need to chat? if yes join in my blog for more info..

faida za michezo hasa umiseta

no longer at simple way. but the way we are ... mh,.., mashindanoya umiseta kimkoa yalianza jana na kuendelea na leo ila kuna mapungufu mengi sana yamejitokeza kwa mfano timu ya wilaya ya kilindi ilicheza mecchi tatu ndani ya masaa 6 [sita] kwakweli utaratibu huo mi naona kama ulikua mbovu kupitiliza bebu jaribuni kujipanga mana hata hivyo vipaji haviwezi kutambulika kwa njia hiyo...