Translate this blog in your favourable language

My pager view

Saturday, April 7, 2012

REST IN PEACE WAJINA STEVEN KANUMBA [Matukio ya msiba katika Picha] WE ARE BACK YOUR

Mama wa Kanumba Flora Mwitegoa
Mama wa kanumba  awasili jijini dar es salam na pia adhibitisha kuwa mwanae atazikwa dar na atazikwa
 katika makaburi ya kinondoni siku ya jumanne.
                                 Steven kanumba na mama yake kushoto na Dotnata kulia

mama wa kanumba ( Flora Mutegoa) akiwa na huzuni kubwa baada ya kumpoteza mwanaye kipenzi Steven kanumba
Katika mahojiano yaliyofanyika Mama mzazi wa Steven Kanumba amesema angependekeza mwanaye azikwe jijini Dar es salam na aliskanusha taarifa kuwa mwanaye hana ndugu kwani yeye ndiye mama yake na kuna dada yake pia wapo ndugu wengi sehemu mbalimbali hapa Nchini.  na Taarifa zingine zinasema kuwa Lulu amekataa kutoa ushirikiano kwa Polisi Mpaka pale Mwanasheria wake atakapofika bado taarifa ya madaktari inasubiriwa na pia taarifa ya kipolisi kuhusiana na kifo cha Steven Kanumba Pichani hapo chini.

Tabasamu hili natumai utaingia nalo huko uliko kwasasa but duniani umetuachia simanzi kubwa sana kama kuna uwezekano wa kuwaona wasalimie Mzee kipara, mr Ebbo, complex na Vivian, john mjema, steve 2k, faza nelly nk.

baadhi ya watu maarufu na wanchi ndugu jamaa na marafiki walifika sinza kuwafariji waliofikwa na msiba huu mzito

Kila mmoja alikuwa anawaza lake na alikuwa na huzuni  kwa namna yake ni wazi msiba huu umemgusa kila mtu hasa kutokana na ughafra wake.

wasanii wengi walikuwepo Natasha ambaye walikuwa wote kaole na katika filamu nyingi walikuwa ni moja ya wahudhuriaji msibani hapo

wananchi wa jiji la Dar er salam walifurika nyumbani kwa Kanumba kwa ajili ya kujua kinacho endelea msibani hapo

Hapa ndipo palipokuwa nyumbani kwa kanumba ambapo mauti yalimkuta akiwa katika nyumba hii

mke wa waziri mkuu akisaini kitabu cha rambirambi na pia kuwafariji wale wote waliofikwa na msiba huu mzito kabisa.

Samweli 6 pia alikuwepo katika msiba huu mzito. na pia walikuwepo mamia ya wakazi na maeneo ya jirani na dar es salam

 xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Taarifa zilizopo mtaani kwa sasa ni kuhusu kifo cha msanii wa maigizo na filamu nchini tanzania namzungumzia Steven kanumba amabye katika hali ya kushtua sana nilipata taarifa za kifo chake kutoka kwa rafiki yangu wa karibu mida ya saa kumi alfajiri ya leo na kwakweli nilipata mshtuko mkubwa na ilinikumbusha sana kifo cha marehemu kaka yangu amabye nae alifariki mida ambayo kanumba alifariki na ilikuwa ni ghafra sana kama ambavyo kimetokea kifo cha kanumba. Chanzo cha kifo cha kanumba mpaka sasa bado ni kitendawili ambacho wengi hatukufahamu ila kwa taarifa ambazo sio rasmi sana ki ugomvi wa mapenzi baina yake yeye na mpenzi wake Lulu taarifa hizo pia zinzfafanua kuwa Kanumba alianguka na kuumia kichwani baada ya mpenzi wake ambae anatajwa kuwa ni mwigizaji LULU(Kwa sasa msanii wa kike Lulu pichani anashikiliwa na police kwa maelezo zaidi) 
kumsukuma na kuanguka wakati wanagombana.
‘Inasemekana’ Kanumba wakati akijiandaa kutoka saa sita usiku aliingia bafuni kuoga, alipotoka alimkuta Lulu akiongea na mwanaume mwingine kwenye simu ndipo alipokasirika na ugomvi kuanza.
Alipelekwa hospitali Muhimbili ambako muda mfupi baadae alifariki dunia, mwili wake bado uko katika chumba cha kuhifadhia maiti Muhimbili hospital.
pia inaaminika kuwa 
chanzo cha kifo chake ni baada ya kuanguka na kuanza kutoa mapovu hapohapo nyumbani kwake, alikua akiishi na mdogo wake anaitwa Fetty aliekua chumba kingine ambae amethibitisha kweli kwamba alimkuta kaka yake akiwa ameanguka.
Polisi wameondoka nyumbani kwa Kanumba muda mfupi uliopita baada ya kuwachukua waliokua wanaishi na Kanumba akiwemo mdogo wake Fetty ili kwenda kusaidia maelezo ya kilichotokea.

 haya ni mambo ya mwisho kuyandika kanumba katika face book na twitter hii ni kutoka millard ayo website.na baadhi ya maoni ya watu kupitia facebook









na hii ni post au habari yake ya mwisho katika blog yake ya kanumba the great. ambayo ameiandika jana april 6 2012.

HAPPY 5TH ANNIVERSARY TMH,SAMBAMBA NA UZINDUZI WA DUKA/OFISI & TRAINING CENTER

SEHEMU YA DUKA LA NGUO TOKA KWA DESIGNER MBALIMBALI.
TULIOSAPOTI MPAKA KITUO HIKI KUFIKIA HAPA KILIPO SOMA MAJINA HAPO JUU JINA LANGU LIPO HAPO,KUSEMA UKWELI INAPOKUJA MAMBO YA KUSAIDIA JAMII NAJITAIDI KUTOA NINACHOKUA NACHO MAANA HAPA HUKUMBUKA MANENO YA MWANDISHI ALBERT PINE..''"What we do for ourselves dies with us. What we do for others and the world remains and is immortal."
'' KANUMBA THE GREAT PIONEER MOTO WA VOLCANO'' NIKIWA KTK OFISI ZA TANZANIA MITINDO HOUSE.
Pia amecheza filamu nyingi na maigizo mengi katika kundi la kaole sanaa group na hizi ni filamu chache alizo cheza Steven Kanumba.
    JOHARI, DAR TO LAGOS, THA BIG DADDY, MOSES, SHE IS MY SISTER, BECAUSE OF YOU, DEVIL KINGDOM, THIS IT IS, MORE THAN PAIN,OFF SIDE,UNCLE JJ,DECEPTION, THE SHOCK, NK. 


 BAADHI YA WASANII NA WATU MAARUFU WAMIMINIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU WAKIWA NA MAJONZI MAKUBWA. picha na dj choka.
swahiba mkubwa wa Knumba Ray

baadi ya waigizaji na wasanii wafilamu wakiwa na majonzi

huzuni imetawal kwa kila mmoja najua hata wee imekugusa.

baadhi ya wasanii wa maigizo na filamu.


maoni ya wadau mbalimbali na watu maarufu yazidi kumiminika 
haya yalikuwa ya zitto kabwe.....mungu amekuchukua mapema sana. Umetuachia majonzi makubwa mno. Tangulia. Tuwekee nafasi huko. Kungekuwa na rufaa.......... 
haya yalikuwa ya salama jabir......Rest In Peace Steven...M/Mungu Alikupenda Zaidi. Rest In Peace My Brother 
haya yakikuwa ya Happnes Magesse......Rest in Peace my friend...you create jobs ,you believed on our own...and you took them as ur own and give them opportunities to believe on themselves and be who they wanna be and take acting as their career....Where do they go now.....Kanumba!!!? Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi...Pigo la taifa jamani..Poleni Kaole poleni Tanzania...!

haya yalikuwa ya roma mkatoliki.......
Dakika...chache baada ya show yangu ya musoma!! Napata taarifa za huu msiba wa THE GREAT K.A.N.U.M.B.A....sikuamini mpaka nilipopiga simu kwa mmoja wa mtu wake wa karibu na kunijibu huku analia kuwa bro hatunaye kweli na ndo' wao wanatoka muhimbili!!....ni msiba mzito na umewagusa wengi nikiwemo!! Pole sana kaole...pole game 1st quality...pole kwa mpinzani wake mkubwa Ray....pole kwa ben swahiba wake sana....dah pole kubwa kwa pacho mwamba!familia yake Na bongo movie wote...pamoja na watanzania wote!! TUTAKUKUMBUKA KWA MENGI KAKA STEVE.....Tumuombee ndugu ye2 apumzike pema peponi!!na asamehewe dhambi zake!! Oooh kaka umetuacha ukiwa angali mdogo...inauma sana!!
haya yalikuwa ya Solo Thang..........R.I.P STEVEN KANUMBA,,,Mungu amekupenda zaid,,Pole kwa familia na ndugu wa karibu na wapaenzi wa bongo movie kwa ujumla,,,gone too soon Hommie!

haya yalikuwa ua irene Uwoya ..........Kwaheri rafiki wangu wa karibu, kwaheri mwalimu wangu wa filamu.. na hizi zilikuwa ni shutma zake kwa Lulu..SIKU YA JUMATATU NILIANGALIA KIPINDI CHA MIKASI CHA SALAMA NDANI CHANEL 5 AMBAKO LULUA LIKUWA MGENI KATIKA KIPINDI IKO NAKUMBUKA KUNA SHWALIA ALIULIZWA KAMA ANA MPENZI AKAJIBU YEYE BADO NI MTOTO HANA MPENZI LAKINI MUNGU AONGOPEWI HATA SIKU MOJA NI SIKU TANO TU ZIMEPITA SASA MTOTO HUYU ANAUMBUKA KWA KUHUSISHWA NA KIFO CHA STEVEN KANUMBA AMBAYE JIPU LIMEPASUKA KUWA NDIE ALIKUWA MPENZI WAKE JAPO ILIKUWA SIRI SASA YAMEFICHUKA HAKIKA IMENIUMA SANA NAOMBA DOLA IFUATE MKONDO WAKE HUYU MTOTO AADABISHWE.
.

   Alale pema peponi Steven Kanumba bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe milele na hii ni safari ya wote ametangulia sisi tupo nyuma yako.. amen

 imeandikwa na Steven mruma na kupitia vyombo vingine vya habari. na taarifa zaidi zitakujia na matukio mbambali mbali kusu kifo cha kipenzi cha watu wajina wangu Steven Kanumba. 
toa maoni yako....










Friday, April 6, 2012

Malawi President Bingu wa Mutharika 'dead': His history.



President Bingu wa Mutharika of Malawi has died, ne of the doctors who treated Mr Mutharika, 78, said the president was "clinically dead" on Thursday after suffering a cardiac arrest. State media has only reported that he has been flown to South Africa for medical treatment.
If confirmed, his death would spark a constitutional crisis, analysts say.
According to the constitution, the vice-president takes over if the head of state is incapacitated or dies in office.
But Vice-President Joyce Banda and Mr Mutharika fell out after a row over the succession in 2010, and she was expelled from the ruling Democratic People's Party (DPP).
Mr Mutharika's brother, Foreign Minister Peter Mutharika, was chosen instead of Ms Banda to be the DPP's presidential candidate in the 2014 elections.
He has been standing in for the president when needed during official occasions. Ms Banda recently told the BBC she had not spoken to Bingu wa Mutharika for more than a year.
The BBC's Raphael Tenthani in the main city, Blantyre, says ministers met all night to discuss the situation.
The doctors and ministers say that Mr Mutharika's body was taken to South Africa while a decision is taken about what to do next.
Government sources have told the BBC that efforts to resuscitate President Mutharika had failed and that an official announcement is being prepared.
'The laws are clear' Former President Bakili Muluzi - a bitter rival to Mr Mutharika - has called on the authorities to make an announcement.
"It's important that the government announces the condition of the president as soon as possible so that the nation is informed," he told journalists.
I am calling for a constitutional order, for continued peace and order. The laws of Malawi are very clear that the vice-president takes over when the president can no longer govern." Mr Mutharika, a former World Bank economist, came to power in a 2004 election, after being backed by outgoing President Muluzi. Soon afterwards, Mr Mutharika left his United Democratic Front (UDF) to form the DPP, after accusing Mr Muluzi and other UDF leaders of opposing his campaign against corruption.
Since being re-elected with a large majority in 2009, critics allege he has demonstrated an increasingly authoritarian streak.
The president has been under mounting pressure to resign, amid accusations of nepotism and economic mismanagement.
The criticism has led to a souring in relations with major foreign aid donors, especially the United Kingdom.
Last year, Mr Mutharika expelled the UK High Commissioner, Fergus Cochrane-Dyet, after a leaked embassy cable quoted the diplomat as saying that the president could not tolerate criticism.
The Malawian leader said he could not accept "insults" just because the UK was his country's largest aid donor.
In response, the UK expelled the Malawian envoy to London and cut direct aid.
Malawi is one of the poorest countries in the world, with an estimated 75% of the population living on less than $1 (60p) a day.
The country has suffered shortages of fuel and foreign currency since the UK and other donors cancelled aid.

                                       THE SHORT  HISTORY OF MR. MUTHARIKA
Bingu wa Mutharika was born Ryson Webster Thom on 24 February 1934 in  Mutharika's parents, Ryson Thom Mutharika and Eleni Thom Mutharika, were both members of the Church of Scotland Mission which later became CCAP. His father was a teacher for 37 years.
Upon completing his primary education in Blantyre, Mutharika obtained a Grade A Overseas School Leaving Certificate at Dedza Secondary School in 1956. In 1964, he was one of the 32 Malawians selected by Hastings Kamuzu Banda (President of Malawi 1961-1994) to travel to India on an Indira Gandhi scholarship for 'fast track' diplomas. The BBC reports that he went to India to "escape then President Hastings Banda's crackdown on political opponents". At some point during the 1960s, he also changed his name, to Bingu wa Mutharika.In India, Mutharika earned his Bachelor's degree in Economics. Subsequently, he attended the Delhi School of Economics graduating with a M.A. degree in Economics. He later obtained a Ph.D. degree in Development Economics from Pacific Western University of Los Angeles, California (USA). Mutharika also completed short courses on Business Management, Financial Analysis, Trade Promotion, Political Leadership, regional Economic Co-operation and Human Relations.
Mutharika served in the Malawi civil service. He has served as Administrative Officer in the Government of Malawi and Zambia. He was offered the Deputy Governorship of the reserve Bank of Malawi and appointed Minister of Economic Planning and Development in 2002.
He worked at the World Bank as a Loans Officer and at the United Nations Economic Commission of Africa, as Director of Trade and Development Finance and as Secretary General of the Common Market for Eastern and Southern Africa COMESA, covering 22 Member States.

News fro BBC and other World media. and edited by Steven mruma.

Thursday, April 5, 2012

NINI CHANZO CHADEMA KUPOKWA JIMBO LA ARUSHA MJINI NA MAHAKAMA?


Katika hali ambayo awali haikutegemewa na wanachi wengi majira ya saa nne asubuhi mahakama kuu mjini arusha ilimuondoa mbunge wa arusha mjini Godbless lema kwa kile kilicho daiwa kuwa ni kutumia lugha ya matusi katika kampeni zake na kuongea lugha za uchochezi ambazo zingeweza kuhatarisha amani ya nchi kitu ambacho ni kinyume na sheria. wengi walijiuliza kama kulikuwa na mono wa mtu lakini kwa mujibu wa mahakama katika mikutan zaidi ya 60 ya kampeni ya Godbless Lema mikutano Nane (8)  alivunja sheria na alitumia lugha za uchochezi, kuna taarifa zilizokuwa zimezagaa baadhi ya mitaa eti aliondolewa katika nafasi hiyo kwasasababu alidanganya uma kuhusu masomo yake ikiwemo vyeti nk.
 lakini baada ya majibu na hukumu ya mahakama alivuliwa ubunge kwasababu ya kutumia lugha chafu na za uchochezi katika kampeni zake wakati akigombea kuingia bungeni mwaka 2010. na wakati huo huo Maandamano ya wafuasi na wanachama wa CHADEMA wakimsindikiza "Aliyekuwa mbunge wao" wa Arusha mjini ndugu Godbless Jonathan Lema kuelekea viwanja vya Ngarenaro majira ya saa 8 na dakika 15 ambapo hatimaye alihutubia wananchi. Mahakama imetengua ubunge wa Lema kutokana na kesi iliyofunguliwa na wanachama watatu wa CCM.


Godbless Jonathan Lema amekubali uamuzi wa mahakama na amesema haina haja ya kukata rufaa isipokuwa ATASHINDA TENA kiti hicho katika uchaguzi mdogo utakaoandaliwa na tume ya Taifa ya uchaguzi. kwani bado anaruhusiwa kugombea tena kiti hicho cha ubunge na kwataarifa isiyokuwa rasmi ikulu imekataa kuhusika kwa kuvuliwa kwa ubunge kwa aliyekuwa mbunge wa chadema Godbless lema.



Monday, April 2, 2012

USHINDI WA KISHINDO WA CHADEMA ARUMERU MASHARIKI HARAKATI ZA KUCHUKUA NCHI YETU KUTOKA KWA MAFISADI.

HONGERA NASARI
Katika mambo mambo ambayo yamenipa raha sana ni ushindi wa CHADEMA wilayani Arumeru kwa saasa mimi ni moja kati ya wakazi wa hapa arumeru maeneo ya Tengeru na nafurahia sana kuona harakati za wanaharakati wa kupinga ufisadi zinafanikiwa na hii ni njia ya kuchukua nchi yetu kutoka kwa mafisadi ambao wanaona raha kula jasho la mtanzania hasa mtanzania maskini. Ninaamini kabisa Tanzania Bila mafisadi inawezekana na inabidi tufanye kama ambavyo wana Arumeru wamefanya kwa kuiondoa nguzo nyingine ya kifisadi kama matokeu hayo yalivyotangazwa leo asubui
Hakuna ubishi 2015 ni CHADEMA.
Kwa Mujibu wa Matokeo ya liyotangazwa asubuhi hii yanaonesha kuwa Mgombea Ubunge wa Joshua Nassari CHADEMA amepata kura  32,972, na kumshinda Mgombea mpinzani wake mkuu katika uchaguzi huo, Sioi Sumari wa Chama cha Mapinduzi (CCM) aliyepata kura 26,757.
Kwamatokeo hayo inafanya kuwa idadi ya Kura zilizompa ushindi  Nassari wa Chadema kuwa kura 6,215 dhidi ya Sioi Sumari CCM.
Msimamizi wa huo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Arumeru Bw Gracias Kagenzi amemtangaza mgombea wa CHADEMA Bw Joshua Nassari kuwa mshindi.
Gagenzi pia ametangaza matokeo ya wagombea wengine ambao walitoka vyama vya Siasa nchini kuwa kama yafuatavyo:-
AFP – 139, DP -77, NRA – 35, SAU – 22, UPDB – 18 na TLP – 18.
Chukua baraka za kuwaua mafisadi
Kwa mujibu wa Bw Kagenzi zaidi ya watu 120,000 walijiandikisha na aliojitokeza na kupiga kura walikuwa 60,696 ambapo kura halali zilikuwa 60,038 na zilizoharibika ni kura 661.
sasa mpaka kieleweke mwaka 2015 na natabiri kuwa nchi itarudi mikononi mwa watanzania wengi aambao wengi wao ni watu wa chini na wanamaisha duni sana. Joshua Nasari bado ni kijana na anauweza kuwepo katika uongozi kwa mda mrefu zaidi na hili linaweza kuleta manufaa katika nchi yetu kama atatumikia wananchi kama alivyo ahidi katika kampeni zake.  napendezwa pia na kauli walizotoa baadhi ya viongozi na watu maarufu na wadau wengi hasa katika facebook na twitter na wengi walisema yafuatayo....
Tunawashukuru wana Arumeru Mashariki kwa imani yao kwetu hasa kwa kijana Joshua Nassari. Ushindi wao ni ushindi wetu sote. HONGERA SANA JOSHUA. Mungu mbariki JOSHUA, Mungu ibariki Tanzania. haya yalikuwa ni maneno ya Dr. Slaa.
 
http://millardayo.com/wp-content/uploads/2012/04/Nape-Nnauye-April-2-2012.png 

Haya yalikuwa ya nape nuye na Zito kabwe kupitia face book. 
 HONGERA CHADEMA NA SASARI KWA KUKARIBIA KUICHUKUA NCHI YETU KATIKA MIKONO SALAMA  
MUNGU IBARIKI CHADEMA MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WAHUKUMU MAFISADI KWA FEDHEHA NA KWA KUSHINDWA KATIKA CHAGUZI ZOAO KAMA ILIVYOKUWA ARUMERU.

Sunday, April 1, 2012

MATOKEO YA AWALI YA UCHAGUZI MDOGO ARUMERU MASHARIKI CHADEMA YA KIMBIZA



Matokeo ya awali ya uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la arumeru mashariki yameanza kutoka huku kata mabmimbali zikionyesha kuwa mgombea wa chadema Nathari Joshua anaongoza ijapo kuwa matokeo yote hayaja patikana katika vituo vyote vilivyoandikishwa.
Wakati Chadema hadi sasa ikionesha kutawala vituo vingi vya kupigia kura Kata za Mjini Arumeru hali inaelezwa ni tofauti katika Kata za Nje ya Mji ambako CCM inamatumaini makubwa. 
lakini fujo pia zaripotiwa japo ni katika maeneo machache na polisi wamefanikiwa kuzima vurugu hizo na jeshi zima la polisi linaonekana lipo tayari kukabiriana na hali yoyote ile ya uvunjifu wa amani. matokeo ya awali ni kama inavyo onekana hapa na mimi nilipita baadhi ya vituo na kukuta matokeo hayo ni kama ifuatavyo.
1. leganga kituo cha kwanza CDM 126 CCM 26... tunaelekea kituo cha pili kata ya leganga
 2. Usa river sokoni CDM - 103 CCM -29 kituo cha pili CDM 88 – CCM 41
3. USA SOKONI. CDM-103 CCM-29
KITUO B. CDM-88 CCM-41
4. Liganga A-CCM=26 : CHADEMA=114
B-CCM=27 : CHCDEMA =137
USA RIVER "A" -CCM 37: CHADEMA= 111
USA RIVER "B" -CCM 37: CHADEMA= 111
5. Magadirisho1 cdm 116 ccm 37
magadirisho2 cdm 111 ccm 37
s/m leganga cdm 142 ccm 26
maji ya chai ''a'' cdm 130 ccm 53
6. TENGERU - KITUO CHA CHAMA.
CDM-192 CCM-60 Ushirika CDM-116 CCM-56 Moivaro B CDM-149 CCM-34
7. Maji ya chai kituo A CDM 130 CCM 53 kituo b CDM 105 CCM 68 kituo C CCM 42 CDM 115 kituo D ccm 53 CDM 118 E CCM 60 CDM 105
8. Magadirisho1 cdm 116 ccm 37 magadirisho2 cdm 111 ccm 37
s/m leganga cdm 142 ccm 26 maji ya chai ''a'' cdm 130 ccm 53
9. kituo cha S/M Ambrenyi,Matokeo:: kura zilizoharibika -1,CCM-48,CHADEMA-182.
10. Kagadirisho shule ya msingi kituo cha kwanza CCM 37 na CDM 116 kituo cha pili CCM 37 na CDM 111
11. Kagadirisho shule ya msingi kituo cha kwanza CCM 37 na CDM 116 kituo cha pili CCM 37 na CDM 111
12. Kituo A kilichoko Inguseni kata ya kitatiti CDM 104 na CCM 52
13.Leganga shule ya msingi 146CDM,20CCM.
14. CDM wanaongoza hata nyumbani kwa mgombea wa CCM; Patandi kata ya Akeri.
Kituo A CCM49 - CDM 120 Kituo B CCM 50 - CDM 128 Kituo C CCM 50 CDM 127 Kituo D CCM 45 - CDM124

15. MATOKEO YA AWALI ARUMERU MASHARIKI
kituo cha nshapu 3 kata ya nkoaranga...Chadema 110,ccm 74
Kituo cha ngarasero A4..chadema 116, ccm 51
Kituo AFP - CHADEMA - 141 CCM - 32 Mbovu
Kituo cha Shule ya Msingi Misufini, Kata ya Mbuguni CCM 72, CDM 132 wapiga 203, hakuna kura iliyoharibika.

Makiba Majengo 02, CCM 87, CHADEMA 93, Ofisi ya Kata Majengo (Makiba) 04, CHADEMA 75, CCM 88, DP 2 jumla 166, iliyoharibika 1.

Kituo cha Shule ya Msingi Ambureni O2, DP 1, AFP 1, CCM 47, CHADEMA 194,

Usa River Shule ya Msingi CHADEMA 111, CCM 37
 
haya ni baadhi ya matokeo ambayo mengine nimeyashuhudia mimi mwenyewe na mengine nimeyapata katika vyombo mablimbali vya habari.
 matokeo zaidi tataendelea kutolewa usiku huu na nadhani mpaka asubuhi kitakuwa kimeeleweka.