Translate this blog in your favourable language

My pager view

Wednesday, February 8, 2012

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE HALI YA SHULE ZA KATA HALI BADO NI MBAYA SANA, ZAZIDI KUFELISHA.




 WAKATI NAJARIBU KUFATILIA MATOKEO YA SHULE MBALIMBALI YA SHULE ZA SEKONDARI KWA MWAKA 2011 MITIHANI AMBAYO ILIFANYIKA MWAKA JANA MATOKEO YAKE YAMETOKA NA YAMEKUWA NA HALI MBAYA HASA KWA SHULE ZA KATA AMBAZO NDIZO ZIPO KATIKA HALI MBAYA SANA NILIJARIBU KUANGALIA NA MATOKEO YA SHULE BINAFSI HALI HAIKUWA MBAYA SANA KAMA AMBAVYO IMEKUWA KATIKA HALI HIYO YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE KUWA MBAYA SNA BADO NARUDISHA LAWAMA KWA SERIKARI HASA BARAZA LA MITIHAANI PAMOJA NA WIZARA HUSIKA KWA KUFANYA MABADILIKO YA KIJINGA NA KUSABABISHA WANAFUNZI WENGI KUPOTEZA MUELEKEO WA MAISHA HASA WALE AMBAO WANASOMA SHULE ZA KATA AMBAO WENGI MAISHA YAO NI DUNI SANA.
kama hanuna advance wangefaulu wengi wangeenda wapi?
NA HAKIKA WIZI UJAMBAZI UKOSEFU WA AJIRA ONGEZEKO KUBWA LA MAHARAMIA LINAKUJA TANZANIA, KWANI WANAFUNZI HAO AMBAO HUFELI KIDATO CHA NNE WENGI WAO HAWANA UWEZO WA KUFANYA LOLOTE ZAIDI YA KWENDA KUSHINDA VIJIWENI NA KUJIFUNZA UHUNI NA WIZINA KATIKA HILI LAZIMA TUIANGALIE ELIMU YA TANZANIA.

ZIFUATAZO NI MOJA KATI YA SERA MBOVU NA ZA KIJINGA NILIZOWAHI KUSHUHUDIA AMBAYO IMEFANYA MATOKEO HAYA KUWA MABAYA KUPINDUKIA...

      1. KUFUTA MTIHANI WA KIDATO CHA PILI NA KURUHU WANAFUNZI WABOVU KUSONGA MBELE...
watapendeza mavazi sio elimu kwa sera hizi mbovu
 KATIKA SERA ZA KIJINGA KATIKA WIZARA YA ELIMU KUSHUHUDIA HII NI MOJA KATI YA SERA MBAYA AMBAYO NDIO INAGHARAIMU MAISHA YA KUFELI YA WANAFUNZI WENGI SANA.  NILISHAWAHI KUFUNDISHA TEMPO KATIKA SHULE MOJA YA KATA KIPINDI CHA NYUMA NA KUSHUHUDIA HALI MBAYA ZAIDI KUTOKEA WANAFUNZI HAWASOMI NA WALA HAWANA WASI WASI KABISA NA WALA HAKUNA KUSHTUSHWA KAMA WANAKABILIWA NA CHANGAMOTO KUBWA MBELENI..
2.  MABADILIKO YA MARA KWA MARA YA MTAALA WA ELIMU AMBAO HUANZIA SHULE ZA MISINGI.
Ndalichako kazini
 HUKU NI KUKOSA UMAKINI NA NDIO MAAN AKUNA SERA MOJA YA WAZIRI MUNGAI AMBAYO NA ILAANI MPAKA KUINGIA KABURINI KWA KUFUTA MASOMO YA BIASHARA NA KILIMO NA HILI KUNIHARIBIA HATA MIMI MABAYE NILIKUWA NA MALENGO YA KUSOMA MASOMO YALIYOFUTWA HAITOSHI AKAFANYA PHYSIKIA NA CHEMIA KUWA SOMO MOJA AMBOAYO NDIO ERA MBOVU KUWAHI KUTOKEA DUNIANI. HUWEZI KUCHANGANYA KIFO NA USINGIZI

USHAURI WANGU KWA SERIKALI
hatari hii inakuja
 IMEFIKA WAKATI RAIS ANAPOCHAGUA WAZIRI WA ELIMU PAMOJA NA MAKATIBU NA WAFANYAKAZI WA WIZARA HUSIKA WAANGALIE WATU AMBAO WANA TAALUMA YA UALIMU KATIKA NGAZI MBALIMBALI AMBAO NDIO WANAJUA  NA WANAKUTANA NA CHANGAMOTO NYINGI SANA ZA KIELIMU NA HAO NDIO WANAOJUA CHANGAMOTO ZA ELIMU HASA VIJIJINI NA HILI LINAWEZA KUSAIDIA KIDOGO KUBORESHA ELIMU YA TANZANIA SIO KILA WAZIRI ANALETA BANGE ZAKE KILA AKITAKA KUFANYA KITU ANAKURUPUKA NA KUWEKA VITU VYA KIPUUZI NA MWISHO WANAHARIBU ELIMU YA TANZANIA NA SIJUI HAWA WALIOFELE NA HAWANA UWEZO TUWAPELEKE WAPI MANA MAJAMBZI WAHUNI VIBAKA NA MACHANGUDOA BILA SHAKA WATAONGEZEKA KWANI NAJUA FIKA HAWA HAWANA PAKWENDA.

ANGALIZO NA NIONAVYO MIMI.
yaleyale kichwa epty sera mbovu
KUFELI HUKU INAWEZEKANA NI JANJA YA SERIKALI KUONDOA LAWANA ZA WANAFUNZI WATAKAO HITAJI KUINGIA KIDATO CHA TANO KWANI KULINGANA NA
 IDADI YA WANAFUNZI WALIOMALOZA NA UWEZO WA SHULE ZA KIDATO CHA TANO NA SITA NAJUA KAMA WAKIFAULU 60% HAWATOSHA NA PIA WAKIFAULU KIWANGO CHA VYUO HAPATAKUWA NA NAFASI PIA ZA KUWAWEKA ACHILIA MBALI KUWAPA AJIRA KWA USHAHIDI HUU WALIMU WALIOMALIZA MWAKA JANA WAMEKAA NYUMBANI MPAKA MWEZI WA KWANZA NA WAPILI MWEZI HUU NDIO WAMEPATA AJIRA IKIWA NI DALILI ZA KUTOKUWA NA PESA ZA KUWAAJIRI NDIO MAANA NAHISI KUNA UJANJA UJANJA HAPA ILI KUOKOA HAYO MACHACHE NILIO YATAJA KWANI WAPINZANI WENGI SI VIJANA TENA WENGI WAO WALIOSOMA LEO WA KIJIJINI ATAJUA NINI KAMA ATAISHIA NA KIFORM FOUR CHAKE CHENYE FAIL AU IV YA 29 NAKUENDELEA . HAPA NAKUMBUKA KAULI YA FUNIKA KOMBE.......... APITE KAMA SIO BORA PUNDA AFE ILA MZIGO UFIKE..... WAO KAZI YAO KUONGEZA POSHO ZAO HAWAJALI UBINADAMU WAO NI PEASA NA MASLAHI BINAFSI NDIO MAANA WATANZANIA WENGI WANAKUFA KWA MGOMO WA MADAKTARI LAKI WAO WALIKATAA HATA HOJA YA MNYIKA KUJADILI MGOMO HUO HUU NI UJINGA WA WAZI TUNAOFANYIWA WATANZANIA AMKA NA KWA NIA MOJA HATA NIKIUGUA MIMI AU YEYOTE SIJALI MGOMO WA MADAKTARI UDUMU KABISA NA NAUNGA MKONO KWA 100%..... VITA MBELE MAUTI NYUMA...

MAKALA HII IMEANDALIWA NA STEVEN MRUMA. BILA MSAADA WALA USHAURI WOWOTE KUTOKA KWA MTU YEYOTE.. KWA MASWALI MAONI 0719507240.... steven.mruma@gmail.com au facebook search steven mruma.

Monday, January 30, 2012

THE HISTORY OF IRON LEADER MAHMOUD AHMEDNEJAD PRESIDENT OF IRAN...



Dr. Mahmoud Ahmadinejad  born 28 October 1956 is the sixth and current President of the Islamic Republic of Iran, and the main political leader of the Alliance of Builders of Islamic Iran, a coalition of conservative political groups in the country. An engineer and teacher from a poor background, Ahmadinejad joined the Office for Strengthening Unity after the Islamic Revolution. Appointed a provincial governor, he was removed after the election of President Mohammad Khatami and returned to teaching.] Tehran's council elected him mayor in 2003. He took a religious hard line, reversing reforms of previous moderate mayors. His 2005 presidential campaign, supported by the Alliance of Builders of Islamic Iran, garnered 62% of the runoff election votes, and he became President on 3 August 2005. His second presidency term ends on August 3, 2013. He is not eligible to run for another term under the current Iranian constitution.
Ahmadinejad is a controversial figure both within Iran and internationally. He has been criticized domestically for his economic lapses and disregard for human rights. He launched a gas rationing plan in 2007 to reduce the country's fuel consumption, and cut the interest rates that private and public banking facilities could charge. He supports Iran's nuclear energy program. His election to a second term in 2009 was widely disputed. and caused widespread protests domestically and drew significant international criticism. In 2011 the presence of a so-called "deviant current" among his aides and supporters led to the arrest of several of them.

Early Life

Mahmoud Ahmadinejad was born Mahmoud Saborjhian on October 28, 1956, in the village of Aradan, near Garmsar, in north-central Iran, 82 miles southeast of Tehran. Mahmoud was the fourth of seven children whose father was a blacksmith. In 1957, the family moved from Aradan to the Narmak district of Tehran in search of better economic conditions. During this time, his father, Ahmad, changed the family name from Saborjhian (which translates to "thread painter," the lowliest job in Iran's traditional carpet-weaving industry), to the more religious Ahmadinejad ("race of Muhammad" or "virtuous race").

Saturday, January 21, 2012

HISTORY OF INDIA THE LAND OF ANCIENT WISDOM..


 
information on INDIA
India is a grand country. It is the seventh largest country in the world and the second most populated country in the world. Many see India as a sub-continent rather than a country. There exist in different parts of India, different cultures, languages, manners as well as different historical backgrounds and influences of the same historical events. The official name for the country is Republic of India. The Indians call their country INDIA. There are also two other names for India less known outside India; BHARAT and HINDUSTANndia was a British colony. It earned its independence from the British on 15/08/1947. Day before that Pakistan which was created as a result of partition of British India was established and flanked on two sides of India: West Pakistan which is called today Pakistan, and east Pakistan, now an independent state called Bangladesh. After its independence, the political leaders of India adopted the liberal democratic system for the country.
Since its independence, India has transformed a lot. When India attained independence in 1947, its population was around 400 million people. Now there are billion people in India. India is the largest democracy in the world. It has the biggest number of people with franchise rights and the largest number of
political parties, which take part in election campaign.

Before its independence, India was never a single country but a bunch of different entities. Many predicted that India, because of diversities in its cultures,
religion, languages, castes, manners, local histories, nationalities and identities, would not survive as a single democratic country, but would break up into smaller countries.
Since independence, India had many political problems. During independence the most burning issues were the riots between the
Hindus and Muslims while the Sikhs were siding with Hindus. Another issue was convincing the Princely states not to declare independence or join Pakistan but to join the Indian Union. India also had a few wars with its neighbors on border issues.
India also has many internal problems. Different communities with different identities - regional, language, caste, religion - demanded different rights for their communities. Some communities demanded more autonomy for their cultures within the Indian states. Others demanded autonomous states within the Indian Union, while the others demanded to be independent from India.
With all its problems India survives as a single state with democratic character.

After independence, the Congress Party, the party of Mahatma Gandhi and Jawaharlal Nehru, ruled India under the influence first of Nehru and then his daughter and grandson, with the exception of two brief periods in the 1970s and 1980s.
Prime Minister Nehru governed India until his death in 1964. He was succeeded by Lal Bahadur Shastri, who also died in office. In 1966, power passed to Nehru's daughter, Indira Gandhi, Prime Minister from 1966 to 1977. In 1975, beset with deepening political and economic problems, Mrs. Gandhi declared a state of emergency and suspended many civil liberties. Seeking a mandate at the polls for her policies, she called for elections in 1977, only to be defeated by Moraji Desai, who headed the Janata Party, an amalgam of five opposition parties.

Tuesday, January 3, 2012

I WISH YOU ALL HAPPY NEW YEAR 2012 AND GOD BLESS YOU ALL AND STAY BLESSED 4 EVER.



I was very quiet and it is because of the holidays I decided to rest the head completely, and this made ​​me I was off and stakeholders me from facebook and even the blog to get the opportunity to stay with my family which since the funeral of my brother I have it off because of worries of the world but now I am working with my vacation is over and I have stakeholders as usual I only give you the greetings of my new year and belong Send Your success in plenty, and God blessed them and have filled a blessing in abundance for me is blessed me also because precincts with me and are praying thank your supprt by hand in 2011 and now with I precincts in 2012. all most welcome

Friday, December 9, 2011

Tribute to Tanzania to fulfill 50 years of independence, but ... nausea allowance for MPs is very dangerous. I certainly I refuse


Today tanzania fulfills the 50 years since founds its independence from England and before that had been dominated by German and then in the second war world german lost colonies all and Tanganyika We fell into the hands of England, where the peace were committed to us over the official date as of today in 1961 . tanzania in this life has made its challenges as famine, war, and disasters such as accidents  etc................. 
and in the range of life yet we move forward to where we are hardy, but in every success there no one defects and today with the recognition of the importance of our leaders I speak to the issue of increase in allowances of members of our there are those legislators who care about their stomachs and their minds do not know that there are millions of Tanzania live life and low life very difficult. But he surprised the man I know from where to charm you think he comes from hell and then don't think debt that teachers claim governmental debt that the government owes to workers range does not see a salary inferior to the doctor today do not see a salary less the teacher of today, but they think their stomachs and they do not see even embarrassing to say the word the presence of citizens with a poor economy very heartening and it does not matter if I now read for the funding of government but cry and citizen lowly who I believe most of the ones who put them in power again if they gave them promises a lot of lies and now they come and cry out their stomachs regardless that the salaries are given the taxation of citizens, the situation is still fragile to prepare a neutral ground, including the cost of living they want to exploit citizen again under the same allowance to recompense them for sleep and slumber only to Parliament. 
me and by country many know it is painful and certainly reaches stage to say that I have my great authority would put in all that waste bills for stupid like this to benefit the intestines of a few people while millions will weaken them perishing in anguish misery and hunger. while they are eating duck and celebrates and this I believe gives a curse for those who want the program to whoever approved this plan and to this union any  political party from supporting arguments like this no reason to continue to vote for them and a lot for me I will give for mischief by these thugs the pen.
 as true leaders of this country want peace was achieved and the public continue to grow in the faith and their governments must foolish things like this avoid at all and those opponents are deceit who cried on stage indeed hour by hour the situation is bad, then they agree this I told them that we have been deceived and now even you are you pretending you are fighting for the rights of Tanzanians and yet are deceit bosses do not expect to get our vote in the next elections, and continue to say that those greedy ones selfish cutting should be given an allowance over and amazingly there are doctors and teachers and staff at others but forgotten because of greed only member adult and his mind goes out and say either offer a bill to brand simply be raised allowances and he will sit endorsed know all he offended the people of Tanzania and sin against God, and indeed this sin will burning you all robbers last day and they think that Tanzanians can all forgive sin like this.
i congratulate all Tanzanians to where we are but together should show unstable medical teachers bark bark bark and other workers and also students who push the bark into the classes they want to exploit the land and these thugs mischievous pen without wanting to destroy this country because of their bowels. God Bless Tanzania and its people these defects of pen robbers were getting the blessings. GOD bless me no matter what but mus all exploiters resign.no way...
GO TO HELL ALL EXPLOITERS......