Translate this blog in your favourable language

My pager view

Wednesday, September 22, 2010

short story about Bill Gates founder of microsoft in computer.

Bill Gates came from a family of entrepreneurship and high-spirited liveliness. William Henry Gates III was born in Seattle, Washington on October 28th, 1955. His father, William H. Gates II, is a Seattle attorney. His late mother, Mary Gates, was a schoolteacher, University of Washington regent, and chairwoman of United Way Internationa

lBill Gates - Early Life

He had an early interest in software and began programming computers at the age of thirteen. In 1973, Bill Gates became a student at Harvard University, where he meet Steve Ballmer (now Microsoft's chief executive officer). While still a Harvard undergraduate, Bill Gates wrote a version of the programming language BASIC for the MITS Altair microcomputer


Tuesday, September 21, 2010

leo tar 21/9/2010 ilikua ni mahafali ya 42 ya shule ya sekondari GALANOS shule ambayo nilisoma na nilikula shavu la kutosha.

baada ya kupokea cheti tulienda home kwa sherehe na misosi
 hapa ni mdogo wangu akiwa na wanafunzi wenzake katika mahafali.
 hapa ni home kwa mama mshana ambapo tulimalizia shangwe kwa misosi zaidi

dogo langu akisikiliza hotuba ya mgeni rasmi



hapa yalikua ni mambo ya kulishana keki na kwakweli mambo yalikua safi sana
naipenda galanos kwakua ni shule yangu na nilisoma nikiwa na furaha pamoja na wenzangu ndio mana leo nilijumuika nao katika mahafali ya 42 ya galanos ambapo nilikua pia na mdogo wangu anamaliza kidato cha nne.

Monday, September 20, 2010

chelsea waendelea kusogelea ubingwa kwa 100% baada ya kuua 4-1



timu ya chelsea jana kama ilivyo ada iliendeleza wimbi la ushindi kwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4 kwa 1 dhidi ya blackpool katika ligi kuu ya uingereza pia mashetani wekundu nao waliweza kifunga timu ya liverpool mabao 3 kwa 2 ndani ya old trafod...huku muuaji wa liverpool akiwa ni berbatov aliepiga hat-tric..

rekodi muhimu ya wekundu wa msimbazi imevunjika rasmi....

 kikosi cha simba kikitoka uwanjani
jana hatimaye mnyama alkikubali virungu vya polisi dodoma kwa kukubali kuvunja rekod yake muhimu ya kutofungwa hata mchezo mmoja katika ligi kuu tanzania bara kwa kufungwa goli moja kwa bila na polisi dodoma katika uwanja wake wa nyumbani wa muda ccm kirumba mwanza na hivyo simba kupoteza rekodi yake muhimu sana kwani vyombo mbalimbali vya habari viliandika kua simba inataka kufuata nyayo za arsenal ya kucheza mechi nyingi baila kufungwa ila ndio hivyo bye bye rekodi ya simba....

Saturday, September 18, 2010

very important.. understand principle of ethics to lead your life.

in our life we  have to know and understand well principle  of ethic life..
1... LIFE..to understand the value of life and how to control life..
2...JUSTICE..the principle of equity, distribution and have a fairness at all.
3...HONESTY..you have be honest or truth telling or velacity.
4...GOODNESS..you have to resist evil and ability to be good person at all.and

ont offer money and forget ethics

5...FREEDOM..concern autonomy to free in act in any way and give other freedom and be free self..for more explanation contact.. stevenmruma@hotmail.com... beware.