Translate this blog in your favourable language

My pager view

Tuesday, September 21, 2010

leo tar 21/9/2010 ilikua ni mahafali ya 42 ya shule ya sekondari GALANOS shule ambayo nilisoma na nilikula shavu la kutosha.

baada ya kupokea cheti tulienda home kwa sherehe na misosi
 hapa ni mdogo wangu akiwa na wanafunzi wenzake katika mahafali.
 hapa ni home kwa mama mshana ambapo tulimalizia shangwe kwa misosi zaidi

dogo langu akisikiliza hotuba ya mgeni rasmi



hapa yalikua ni mambo ya kulishana keki na kwakweli mambo yalikua safi sana
naipenda galanos kwakua ni shule yangu na nilisoma nikiwa na furaha pamoja na wenzangu ndio mana leo nilijumuika nao katika mahafali ya 42 ya galanos ambapo nilikua pia na mdogo wangu anamaliza kidato cha nne.

Monday, September 20, 2010

chelsea waendelea kusogelea ubingwa kwa 100% baada ya kuua 4-1



timu ya chelsea jana kama ilivyo ada iliendeleza wimbi la ushindi kwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4 kwa 1 dhidi ya blackpool katika ligi kuu ya uingereza pia mashetani wekundu nao waliweza kifunga timu ya liverpool mabao 3 kwa 2 ndani ya old trafod...huku muuaji wa liverpool akiwa ni berbatov aliepiga hat-tric..

rekodi muhimu ya wekundu wa msimbazi imevunjika rasmi....

 kikosi cha simba kikitoka uwanjani
jana hatimaye mnyama alkikubali virungu vya polisi dodoma kwa kukubali kuvunja rekod yake muhimu ya kutofungwa hata mchezo mmoja katika ligi kuu tanzania bara kwa kufungwa goli moja kwa bila na polisi dodoma katika uwanja wake wa nyumbani wa muda ccm kirumba mwanza na hivyo simba kupoteza rekodi yake muhimu sana kwani vyombo mbalimbali vya habari viliandika kua simba inataka kufuata nyayo za arsenal ya kucheza mechi nyingi baila kufungwa ila ndio hivyo bye bye rekodi ya simba....

Saturday, September 18, 2010

very important.. understand principle of ethics to lead your life.

in our life we  have to know and understand well principle  of ethic life..
1... LIFE..to understand the value of life and how to control life..
2...JUSTICE..the principle of equity, distribution and have a fairness at all.
3...HONESTY..you have be honest or truth telling or velacity.
4...GOODNESS..you have to resist evil and ability to be good person at all.and

ont offer money and forget ethics

5...FREEDOM..concern autonomy to free in act in any way and give other freedom and be free self..for more explanation contact.. stevenmruma@hotmail.com... beware.

hivi unahimili vipi pale unapokua katika mkusanyiko wa watu wengi?

palipo na watu wengi pana mengi kama wizi na mengineyo ila ni lazima ujue kukabiliana nayo kwanza uwe na mavazi ya kawaida yani ya heshima mf wasichana waliovaa nusu uchi walivuliwa nguo katka fiesta ya 2007 tanga na wahuni kwa mavazi yao ya ajabu so jaribu kuangalia suala la mavazi..pia usipende ibishoo au usista duu sio mzuri unaweza ukakupashida wakati mwingine...beware..