Translate this blog in your favourable language

My pager view

Monday, November 19, 2018

The truth about Muslim-Christian marriages and their challenges

by STEVEN..
A Muslim man is allowed to marry a Christian woman, but a Christian man is not permitted to marry a Muslim woman.
I remember hearing an interview on the radio with a Muslim, a few years ago. As the interview began, the host asked the Muslim guest whether he was married. He replied that Islam is so open and tolerant that he is married to a Christian. Islam means equality and no discrimination.

Monday, October 8, 2018

10 Great Tips for Success in Both Life and Business


May 10 by
    Sometimes what helps us to be successful in our professional lives is not such a great idea in our personal lives — competition is a quality that comes to mind. At the same time, we all have a limited amount of time each day to do the things that we want to do.
So for the sake of saving time and energy, I’m sharing a list of tips that will help you be successful in both life and in business.

1. Add Value

Monday, September 24, 2018

READ THIS CASE OF AGNES Doris LIUNDI (1978) How she killed her Three children and remained only one Taji Liundi.

na Mzava Mbonea kutoka facebook.

SOMA KESI HII YA AGNES DORIS LIUNDI YA MWAKA 1978 ALIVYO WAUA WATOTO WAKE 3 NA KUBAKIZA TAJI LIUNDI PEKEE, ENDELEA KISHA TOA MAONI .
       
            Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo nyumbani kwake uchi. Alikuwa na watoto wao wanne hapo nyumbani. Baada ya mumewe kuondoka, na yeye aliondoka na gari kuelekea mjini ambapo alinunua chupa kadhaa za sumu ya kuulia wadudu.

Thursday, January 11, 2018

ZIFAHAMU TARATIBU NA RATIBA ZA UCHANJAJI WA KUKU KUANZIA VIFARANGA NA KUKU WAKUBWA.

Mtaalam wa Mifugo akiwapa chanjo vifaranga.


Kuku wakienyeji ni rahisi sana kuwafuga tofauti na wakisasa.

Chanjo kama hii mfugaji unaweza kuchanja kwa maelekezo ya wataalam.

Zipo namna nyingi za uchanjaji wa kuku zingine zinahitaji utaalam

TARATIBU NA RATIBA ZA UCHANJAJI
    Wakati wa kutayarisha mpango wa kuchanja kuku kwa ajili ya kinga dhidi ya magonjwa, kuna vipengele vikuu sita Ambavyo unatakiwa uvifahamu na kuvizingatia. Vipengele hivyo ni kama ifuatavyo:

1. Vifaranga vinavyoanguliwa kwa pamoja:
 Iwapo una kundi zaidi ya moja la vifaranga wanaoanguliwa,
Weka utaratibu wa chanjo ambao utapunguza uwezekano wa magonjwa kuenea shambani. Hivyo basi,
Hakikisha vifaranga na kuku wote wanapata chanjo kwa pamoja.
2. Umri wa kuchanja kuku:

IJUE NYUMBA YA KULELEA VIFARANGA WA SIKU 1 HADI WIKI 4 KITAALAM [MWONGOZO KWA MFUGAJI WA KUKU]

Cage maalum ya kukuzia vifaranga wachache..

Sehem maalu imezungushiwa wigo kwa ajili ya kulea vifaranga kwa kutumia taa za umeme.
Sehemu unayoweza kulea vifaranga kwa maeneo ya wazi na maeneo ya Baridi na hata kuku wakubwa unaweza kuwalea katika nyumba kama hii.

Hii ni nyumba ya wafanyabiashara wakubwa ama makampuni yanayojishughulisha na uleaji vifaranga..

Utangulizi

      Kwa kawaida au katika hali halisi, kazi ya kulea vifaranga hufanywa kuku mwenyewe. Hivyo
ili kulea vifaranga, mfugaji ni lazima aige kuku anavyofanya. Ikumbukwe kuwa vifaranga
husumbuliwa zaidi na hali mbaya ya hewa, magonjwa mbalimbali, kukosa chakula kisichofaa
na kukosa uangalizi wa karibu.
     Ni lazima vifaranga waangaliwe kwa kuwapatia nyumba yenye joto, chakula kinachofaa
na maji safi , kuwakinga dhidi ya magonjwa masumbufu kwenye eneo husika na kuwatibu
wanapougua. Mfugaji anayefanikiwa ni yule anayelea vifaranga wenye afya nzuri ambao
hatimaye hutoa mazao mengi yanayompa faida.