I remember hearing an interview on the radio with a Muslim, a few years ago. As the interview began, the host asked the Muslim guest whether he was married. He replied that Islam is so open and tolerant that he is married to a Christian. Islam means equality and no discrimination.
Translate this blog in your favourable language
My pager view
Monday, November 19, 2018
The truth about Muslim-Christian marriages and their challenges
by STEVEN..
A Muslim man is allowed to marry a Christian woman, but a Christian man is not permitted to marry a Muslim woman.
I remember hearing an interview on the radio with a Muslim, a few years ago. As the interview began, the host asked the Muslim guest whether he was married. He replied that Islam is so open and tolerant that he is married to a Christian. Islam means equality and no discrimination.
I remember hearing an interview on the radio with a Muslim, a few years ago. As the interview began, the host asked the Muslim guest whether he was married. He replied that Islam is so open and tolerant that he is married to a Christian. Islam means equality and no discrimination.
Monday, October 8, 2018
10 Great Tips for Success in Both Life and Business
May 10 by Robert Chen and Steven Mruma
So for the sake of saving time and energy, I’m sharing a list of tips that will help you be successful in both life and in business.
1. Add Value
Monday, September 24, 2018
READ THIS CASE OF AGNES Doris LIUNDI (1978) How she killed her Three children and remained only one Taji Liundi.
na Mzava Mbonea kutoka facebook.
SOMA KESI HII YA AGNES DORIS LIUNDI YA MWAKA 1978 ALIVYO WAUA WATOTO WAKE 3 NA KUBAKIZA TAJI LIUNDI PEKEE, ENDELEA KISHA TOA MAONI .
Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo nyumbani kwake uchi. Alikuwa na watoto wao wanne hapo nyumbani. Baada ya mumewe kuondoka, na yeye aliondoka na gari kuelekea mjini ambapo alinunua chupa kadhaa za sumu ya kuulia wadudu.
SOMA KESI HII YA AGNES DORIS LIUNDI YA MWAKA 1978 ALIVYO WAUA WATOTO WAKE 3 NA KUBAKIZA TAJI LIUNDI PEKEE, ENDELEA KISHA TOA MAONI .
Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo nyumbani kwake uchi. Alikuwa na watoto wao wanne hapo nyumbani. Baada ya mumewe kuondoka, na yeye aliondoka na gari kuelekea mjini ambapo alinunua chupa kadhaa za sumu ya kuulia wadudu.
Thursday, January 11, 2018
ZIFAHAMU TARATIBU NA RATIBA ZA UCHANJAJI WA KUKU KUANZIA VIFARANGA NA KUKU WAKUBWA.
![]() |
| Mtaalam wa Mifugo akiwapa chanjo vifaranga. |
![]() |
| Kuku wakienyeji ni rahisi sana kuwafuga tofauti na wakisasa. |
![]() |
| Chanjo kama hii mfugaji unaweza kuchanja kwa maelekezo ya wataalam. |
![]() |
| Zipo namna nyingi za uchanjaji wa kuku zingine zinahitaji utaalam |
TARATIBU NA RATIBA ZA
UCHANJAJI
Wakati wa kutayarisha mpango wa kuchanja
kuku kwa ajili ya kinga dhidi ya magonjwa, kuna vipengele vikuu sita Ambavyo
unatakiwa uvifahamu na kuvizingatia. Vipengele hivyo ni kama ifuatavyo:
1. Vifaranga vinavyoanguliwa
kwa pamoja:
Iwapo una kundi zaidi ya moja la vifaranga
wanaoanguliwa,
Weka utaratibu wa chanjo ambao
utapunguza uwezekano wa magonjwa kuenea shambani. Hivyo basi,
Hakikisha vifaranga na kuku wote
wanapata chanjo kwa pamoja.
2. Umri wa kuchanja kuku:
IJUE NYUMBA YA KULELEA VIFARANGA WA SIKU 1 HADI WIKI 4 KITAALAM [MWONGOZO KWA MFUGAJI WA KUKU]
![]() |
| Cage maalum ya kukuzia vifaranga wachache.. |
![]() |
| Sehem maalu imezungushiwa wigo kwa ajili ya kulea vifaranga kwa kutumia taa za umeme. |
![]() |
| Sehemu unayoweza kulea vifaranga kwa maeneo ya wazi na maeneo ya Baridi na hata kuku wakubwa unaweza kuwalea katika nyumba kama hii. |
| Hii ni nyumba ya wafanyabiashara wakubwa ama makampuni yanayojishughulisha na uleaji vifaranga.. |
Utangulizi
Kwa kawaida au katika hali halisi, kazi ya kulea vifaranga hufanywa kuku mwenyewe. Hivyoili kulea vifaranga, mfugaji ni lazima aige kuku anavyofanya. Ikumbukwe kuwa vifaranga
husumbuliwa zaidi na hali mbaya ya hewa, magonjwa mbalimbali, kukosa chakula kisichofaa
na kukosa uangalizi wa karibu.
Ni lazima vifaranga waangaliwe kwa kuwapatia nyumba yenye joto, chakula kinachofaa
na maji safi , kuwakinga dhidi ya magonjwa masumbufu kwenye eneo husika na kuwatibu
wanapougua. Mfugaji anayefanikiwa ni yule anayelea vifaranga wenye afya nzuri ambao
hatimaye hutoa mazao mengi yanayompa faida.
Subscribe to:
Posts (Atom)






