Translate this blog in your favourable language

My pager view

Thursday, January 11, 2018

ZIFAHAMU TARATIBU NA RATIBA ZA UCHANJAJI WA KUKU KUANZIA VIFARANGA NA KUKU WAKUBWA.

Mtaalam wa Mifugo akiwapa chanjo vifaranga.


Kuku wakienyeji ni rahisi sana kuwafuga tofauti na wakisasa.

Chanjo kama hii mfugaji unaweza kuchanja kwa maelekezo ya wataalam.

Zipo namna nyingi za uchanjaji wa kuku zingine zinahitaji utaalam

TARATIBU NA RATIBA ZA UCHANJAJI
    Wakati wa kutayarisha mpango wa kuchanja kuku kwa ajili ya kinga dhidi ya magonjwa, kuna vipengele vikuu sita Ambavyo unatakiwa uvifahamu na kuvizingatia. Vipengele hivyo ni kama ifuatavyo:

1. Vifaranga vinavyoanguliwa kwa pamoja:
 Iwapo una kundi zaidi ya moja la vifaranga wanaoanguliwa,
Weka utaratibu wa chanjo ambao utapunguza uwezekano wa magonjwa kuenea shambani. Hivyo basi,
Hakikisha vifaranga na kuku wote wanapata chanjo kwa pamoja.
2. Umri wa kuchanja kuku:

IJUE NYUMBA YA KULELEA VIFARANGA WA SIKU 1 HADI WIKI 4 KITAALAM [MWONGOZO KWA MFUGAJI WA KUKU]

Cage maalum ya kukuzia vifaranga wachache..

Sehem maalu imezungushiwa wigo kwa ajili ya kulea vifaranga kwa kutumia taa za umeme.
Sehemu unayoweza kulea vifaranga kwa maeneo ya wazi na maeneo ya Baridi na hata kuku wakubwa unaweza kuwalea katika nyumba kama hii.

Hii ni nyumba ya wafanyabiashara wakubwa ama makampuni yanayojishughulisha na uleaji vifaranga..

Utangulizi

      Kwa kawaida au katika hali halisi, kazi ya kulea vifaranga hufanywa kuku mwenyewe. Hivyo
ili kulea vifaranga, mfugaji ni lazima aige kuku anavyofanya. Ikumbukwe kuwa vifaranga
husumbuliwa zaidi na hali mbaya ya hewa, magonjwa mbalimbali, kukosa chakula kisichofaa
na kukosa uangalizi wa karibu.
     Ni lazima vifaranga waangaliwe kwa kuwapatia nyumba yenye joto, chakula kinachofaa
na maji safi , kuwakinga dhidi ya magonjwa masumbufu kwenye eneo husika na kuwatibu
wanapougua. Mfugaji anayefanikiwa ni yule anayelea vifaranga wenye afya nzuri ambao
hatimaye hutoa mazao mengi yanayompa faida.

Thursday, August 17, 2017

Women: Can't Orgasm? Read How to Have an Orgasm.


About 10% of women have never had an orgasm -- either with a partner or during masturbation. And quite a few of them have found their way into my therapy practice. That's when I tell these women the good news: It is possible to learn to be orgasmic.
The first and most important lesson is to practice developing a balance of tension and relaxation during sexual activity. But, my women clients ask, how can they be both tense and relaxed at the same time? It's a good question, and here is my two-part answer:

How to Have an Orgasm Step 1: Tense Up

Sunday, April 30, 2017

ITS IMPORTANT TO KNOW MORE ABOUT EBOLA VIRUS AND MARBURG VIRUS WHICH RELATED AND CAUSE HEMORRHAGIC FEVERS.


By Mayo Clinic Staff and Posted By Steven Mruma
          Ebola virus and Marburg virus are related viruses that cause hemorrhagic fevers — illnesses marked by severe bleeding (hemorrhage), organ failure and, in many cases, death. Both viruses are native to Africa, where sporadic outbreaks have occurred for decades.
Ebola virus and Marburg virus live in animal hosts, and humans can contract the viruses from infected animals. After the initial transmission, the viruses can spread from person to person through contact with body fluids or contaminated needles.

Thursday, March 30, 2017

The Death of Che Guevara:


On October 9th, 1967, Ernesto "Che" Guevara was put to death by Bolivian soldiers, trained, equipped and guided by U.S. Green Beret and CIA operatives. His execution remains a historic and controversial event; and thirty years later, the circumstances of his guerrilla foray into Bolivia, his capture, killing, and burial are still the subject of intense public interest and discussion around the world.
As part of the thirtieth anniversary of the death of Che Guevara, the National Security Archive's Cuba Documentation Project is posting a selection of key CIA, State Department, and Pentagon documentation relating to Guevara and his death.