Translate this blog in your favourable language

My pager view

Friday, December 31, 2010

JE MWAKA MPYA UNAMAANISHA NINI KWAKO JE UNAMALENGO GANI? JE ULITELEZA NA UTAREKEBISHA WAPI?


TAMBUA MWAKA MPYA NA NINI CHAKUFANYA KATIKA MWAKA HUU WA MABADILIKO 2011
Mwaka mpya ni siku ya kwanza ya mwaka na mara nyingi ni sherehe na nafasi ya watu kutakiana heri na baraka za mwaka mpya.

Katika tamaduni mbalimbali nafasi hii ni sikukuu moja au zaidi pasipo na kazi za kawaida.
Tarehe ya mwaka mpya inategemea kalenda yake:
katika sehemu kubwa ya dunia inayotumia kalenda ya Gregori ni 1 Januari
Uajemi, Afghanistan, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Tajikistan, Azerbaijan, Turkmenistan na Kashmir husheherekea mwaka mpya kufuatana na kalenda ya Kiajemi kwenye sikukuu ya Nouruz ambayo ni sikusare ya bubujiko inayotokea kati ya tarehe 20 - 21 Machi kwenye kalenda ya Gregori lakini kwao mwezi na mwaka mpya unaanza
Wachina na Wavietnam husheherekea mwaka mpya wakati wa mwezi mwandamu wa pili baada ya solistasi ya majira baridi na hii inacheza kati ya 21 Januari na 21 Februari.
Nchi ya Israeli na Wayahudi husheherekea mwaka mpya kufuatana na kalenda ya kiyahudi kwa jina la rosh hashana ambayo ni siku inayotokea kati ya Septemba na nusu ya kwanza ya Oktoba.
Waislamu na nchi ya Saudia huwa na mwaka mpya kufuatana na kalenda ya Kiislamu. Kalenda hii inafuata mwezi tu kwa hiyo sikuu zake huzunguka katika mwaka wa jua.
Sikukuu ya Diwali inasheherekewa na jumuiya kadhaa pia kama mwaka mpya.
Nje ya mahesabu haya kuna kalenda nyingine zisizoanzisha mwaka kwa sherehe. Mifano ni:
mwaka wa shule
mwaka wa biashara ambako hesabu mpya inaanzishwa
mwaka wa kanisa ambayo katika sehemu kubwa ya Ukristo unaanza kwenye jumapili ya Adventi (majilio) ya kwanza. kwa ufupi unaweza ukatambua kuwa mwaka mpya unamaana gani kwako na kwa ujumla wake lazima utambue kila unachopaswa kufanya kila mwaka na hayo ndio malengo yanayo leta mafannikio katika maisha kubali changamoto songa mbele
 NACHUKUA NAFASI HII KUKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA NA MUNGU AUONGOZE MWAKA WAKO UWE NA MAFANIKIO YALIOTUKUKA MBELE YA MUUMBA WAKO ....
 PIGANIA MAISHA YAKO AMINI DAIMA UTASHINDA...... NA USHINDI NI LAZIMA...

17 comments:

Anonymous said...

What's up to every body, it's my first visit of this weblog; this website consists of remarkable and really good stuff designed for visitors.


Here is my webpage ... free music downloads (http://twitter.com)

Anonymous said...

Excellent web site. Lots of useful information here.
I am sending it to several buddies ans also sharing in delicious.
And certainly, thanks to your sweat!

My website: DovieWStubbolo

Anonymous said...

I used to be recommended this website by way of my cousin. I am now not sure whether or not
this post is written by him as no one else know such special about my trouble.
You are amazing! Thank you!

Also visit my web-site TerrilynSPhaymany

Anonymous said...

Howdy! Someone in my Myspace group shared this website with us
so I came to look it over. I'm definitely loving
the information. I'm bookmarking and will be tweeting this to my followers!
Excellent blog and amazing design and style.

My webpage :: TonjaCTalleut

Anonymous said...

My relatives always say that I am killing my time here at net, except I know I am getting know-how all the time by reading thes nice
articles.

Also visit my web blog :: StephaineOKetcheside

Anonymous said...

Greetings! Verу helpful advic ᴡithin this article!
It'ѕ the ⅼittle ϲhanges tһat make the largest ϲhanges.
Τhanks for sharing!

Anonymous said...

What's up it's mе, I am aⅼѕo visiting thiѕ webseite regularly,
tһіs webb page is genuinely nice аnd thе visitorrs arе
truly sharing fastidious tһoughts.

Anonymous said...

Нi mates, fastidiouys paragraph ɑnd pleasant aguments commented
аt this place, I ɑm truly enjoying bby thesе.

Anonymous said...

Fantastic site. A lot of useful information here. I am sending it to
several pals ans additionally sharing in delicious. And obviously, thank you on your sweat!

Anonymous said...

Les fidèles de l'islam sont les musulmans.

Anonymous said...

Aw, this was an extremely nice post. Taking a
few minutes and actual effort to create a very good article… but what can I say… I procrastinate a whole lot and never manage
to get nearly anything done.

Anonymous said...

What's up Dear, are you truly visiting this website regularly, if
so after that you will without doubt obtain good experience.

Anonymous said...

obviously like your website however you need to check the spelling on quite a
few of your posts. Several of them are rife with spelling issues and I in finding it very troublesome to inform the truth however I'll surely come back again.

Anonymous said...

What a information of un-ambiguity and preserveness of valuable know-how
regarding unpredicted feelings.

Anonymous said...

I really like it when people get together and share thoughts.
Great site, stick with it!

Anonymous said...

Howdy! Do you use Twitter? I'd like to follow you if that would be okay.
I'm absolutely enjoying your blog and look forward to new updates.

Anonymous said...

Wow, awesome weblog format! How long have you
ever been blogging for? you make running a blog glance easy.
The full look of your site is magnificent, let alone the content!