Translate this blog in your favourable language

My pager view

Sunday, August 15, 2010

unamjua vuvuzela aliekua anafanya tangazo la fiesta?

huyu ndio vuvuzela

kama hafananii ila kiukweli ndo vuvuzela wa bongo ni mtu jamani sio kifaa cha kupuliza ni bint ambae anafanya kazi clouds fm ya dsm ni mkali kiukwkeli namkubali coz nlizani ni dj fety ila duh kumbe ni huyu  hapa pichani hebu muine bonge la ostadhat.

mi ndio nilio andika sio kama mi ndio vuvuzela

No comments: