Translate this blog in your favourable language
My pager view
Saturday, July 6, 2019
The Rules For Good Customer Service in your Business.
Good customer service is the lifeblood of any business this ensure the sales of the business to expand to the maximum profits. . You can offer promotions and slash prices to bring in as many new customers as you want, but unless you can get some of those customers to come back, your business won't be profitable for long.
Good customer service is all about bringing customers back. And about sending them away happy - happy enough to pass positive feedback about your business along to others, who may then try the product or service you offer for themselves and in their turn become repeat customers.
Friday, January 11, 2019
YAJUE MAGONJWA MUHIMU YA KUKU/NDEGE WAFUGWAO ILI KUIKINGA NA KUIOKOA MIFUGO YAKO. [KUKU].
![]() |
| Mara nyingi sana kuku mgojwa huwa namna hii,, |
Ugonjwa
ni nini? Ugonjwa ni mabadiliko kutoka katika afya ya kawaida ya
mnyama/kuku. Hali hii hutokea pale
vimelea au vijidudu
vinapoingia mwili wa mnyama, kwa kula vyakula vyenye sumu, au inapotokea kuna
uhaba wa lishe au madini mwilini.
TOFAUTI
ZA MUONEKANO KATI YA KUKU MWENYE AFYA NA KUKU MGONJWA
KUKU
MWENYE AFYA NZURI
Monday, December 24, 2018
JIKWAMUE NA MAISHA MAGUMU KWA UFUGAJI RAHISI WA KUKU
Utangulizi
Ufugaji wa kuku ni njia rahisi ya kujipatia kipato na lishe bora kwa kaya nyingi za vijijini.Hii ni kutokana na ukweli kwamba:
• Ufugaji hauhitaji mtaji mkubwa kuuanzisha.
• Ni rahisi kuusimamia.
• Faida inapatikana mapema.
• Mali ghafi nyingi zinazohitajika zinapatikana kwa urahisi katika mazingira ya vijijini.
• Kwa kipindi cha hivi karibuni, uzoefu unaonyesha kuwa soko la kuku wa kienyeji
linakua na linaelekea kwenye kutokutosheleza wateja.
Tuesday, November 27, 2018
HISTORIA ILIYOPENDWA ZAIDI: HISTORY OF CHE GUEVALA.
Guevara, Ernesto "Che", 1928-1967
A critical look at the life of Latin American revolutionary, Ernesto "Che" Guevara.
Monday, November 19, 2018
The truth about Muslim-Christian marriages and their challenges
by STEVEN..
A Muslim man is allowed to marry a Christian woman, but a Christian man is not permitted to marry a Muslim woman.
I remember hearing an interview on the radio with a Muslim, a few years ago. As the interview began, the host asked the Muslim guest whether he was married. He replied that Islam is so open and tolerant that he is married to a Christian. Islam means equality and no discrimination.
I remember hearing an interview on the radio with a Muslim, a few years ago. As the interview began, the host asked the Muslim guest whether he was married. He replied that Islam is so open and tolerant that he is married to a Christian. Islam means equality and no discrimination.
Subscribe to:
Posts (Atom)

