Translate this blog in your favourable language
My pager view
Thursday, August 19, 2010
jamani kabla sijaondoka leo naomba nifanye hili kama suprise to someone so special si for you zay
hii itakua ni zawadi ya pekee ambayo nimeamua kumpatia huyu mtu unaweza ukawa na maswali juu ya hili ila naoma ichukulie poa hakuna kilicho haribika kila kitu kipo sawa jamani member ambao hamjaoa kama mimi au uolewa kama zay mtaoa au kuolewa lini????????
nilikua nafuatilia movie za majuu nikapata hili la akina kajor
kareena kapor na kajor ambae ametamba katika filam ya kuch kuch hota hai wana mpango wa kuja na movie moja kali baada ya mfungo wa ramadhani kuisha hii imatokana na ripoti kutoka katika mtandao mmoja unaohusisha filamu nchini india kajor katika pozi
kila siku members wangu wananiambia we need to know you your phical appearance and we need you face please
hapa nilikua geto nimelala si akanipigia zay akaniambia she want to know me
sijali sana nilikua naona aibu kupiga picha hata kama nilikua mwenyewekama walivyo sema lakini jamani sipendagi kuuza sura ndoi mana sina picha achilia mbali za kwangu za blog hata home huwa sina utaratibu wa kupiga picha ila jana kuna mtu muhimu sana kwangu anaitwa zaina kichungo from dsm for sure she make me do that u see nimeamua kuwaka picha zangu ambazo nimepiga na simu yangu ya mkononi ila du mh.. oke say steve baada ya kuniview...
usihanae nilikua katika mavazi tofauti kwakua nyingine nimepiga leo asubuhi wakati nimetoka kuamka
Wednesday, August 18, 2010
jiji la tanga limeingia kwenye mchakato wa usafi
usafi ambao umefilisi walio wengi hasa watu walio na kipato cha chini akina mama wamevunjiwa magenge yao na mgambo wa jiji vijana ambao ni nguvu kazi wamefukuzwa ktk sehem zao za kibiashara na imewatia katika umaskini kwani wengi wao wapo mjini kwakutegemea biashara ambazo tayari wengi wao wamefilisika na kuwepo na hatari ya kuibuka wimbi la wizi kutokana na vijana wengi kukosa ajiraikiwa leo ni ramadhani 7 [chungu cha saba] bado tupo kihabari zaidi ya kawaida
ninayo mengi kuhusu indian movie ambazo kwasasa wasanii wengi wa movie india nao wanafunga hivyo wasanii hao wanaofunga wampunzika kucheza movie kwakua waona kunaweza kukatokea mambo mengi kama kulazimika kukiuka maadili ya dini wakati wanacheza movie wasanii hao ni akiana shilpa shetty , sunil shety. salman kahn na wengineo wengi ambao ni waislam
Subscribe to:
Posts (Atom)









