Translate this blog in your favourable language

My pager view

Monday, August 16, 2010

kuna habari nyingi za premier league ya uingereza na pia indian movie na so much zinakuja


steve used to say...

hawa ndio walioshika movie duniani


 hawa ni baadhi ya waigizaji wa india..

watu wakwanza kurekod video duniani inasemekana ni wahindi ambao mpaka sasa bado wanaishika dunia na movie zao kali na zenye hisia kali sana kama ulikua hujui basi tambua kua wahindi ndio wajanja wa filamu dunia hii  kiukweli wako juu hasa ninao wajua mimi akina sunnil deol akina shilpa shety kareenal  amita, na wngineo wengi wanasoko zuri la filamu dunia nzima

katika wachezaji ninaowapenda zaid ni huyu kiukweli anatisha

didie drogba wa chelsea
didier drogba ni nyota wa ivovy anayetesa sana uk ila kiukweli ni bonge la jembe kwani ameweka record ya kufunga hat-tric  katika mechi za ufunguzi wa ligi huku akiwa bado ni kinara wa mabao ligi iliyoisha huku timu yake ikiwa na ubingwa wa uk..

Sunday, August 15, 2010

yapo mengi mapya ila kiukweli mavazi haya na mitindo hii tuangalie na wakati

 mavazi haya ya picha ya juu yanakera na mi binafsi yananiboa hasa pale nimuonapo mtu kavaa
huyu dada japokua ni designer ila katoka bomba sana  anaonekana mrembo vilevile sio mpaka uvae nusu uchi
jamani nidhamu haiuzwi si wote ambao tuna funga mwezi huu ila hata heshima na mitego mingine haina mana wakati napitapita ndani ya jiji la tanga wadada bado kuna shida mavazi yao yako nje ya nidham halaf ukiuliza jibu ni kwamba mimi sio muislam duh? muenendo huon sio ishu kabisa mi naona jabibuni kujiheshimu wadada na akikina kaka na nyie mitusi muache yani kila kona hasa usiku waungwana mavi huachia mitusi mizito. yani utafikiri tunatembea uchi... am out na message sent...................

leo sina ishu kali so niponipo kiaina ila msinichoke

ila akina jafarai na wengineo nimezilizimia kolabo lao..
haw hapo pichani wauza sura wametaka kolabo
steve used to say...mvumilivu hula mbivu     jamani mbivu zanakuja zipo njiani  so poa naja kama sqeez....