steve used to look...
mambo ya woza ndio ambayo yanazidi kuifanya dunia inazizima kwa kua kila mtu hasa wale ambao ni mashabiki wa mpira kama mimi masikio macho pamoja na kiasi cha akili kipo sauzi kwa sasa ni jambo muhimu sana iwapo utalifanya muhimu pia ila kwangu mimi ni muhimu sana na napenda sana mpira bila shaka ni kama weweam yule.....
hakika kila kitolewacho kama zawadi huwa bora siku zote nalikubali sana hili shirika la worldvision kwa mchango wao mkubwa kwa jamii mpaka leo asilimia kubwa ya watoto wote huko maeneo ya vijijini wamepata udhamini kutoka japan na wanafurahia sana udhamini huo.. yapo mengi na nina andaa makala maalum ya world vision na mustakabali wa watoto wetu.. 2wemo tuchangie na tutoe mawazo yetu na pia kuomba dua zetu ili mambo yaendelee kuwa sawia.......