Translate this blog in your favourable language

My pager view

Sunday, December 15, 2013

Mazishi ya Nelson Mandela yanaendelea katika kijiji cha Qunu katika mkoa wa Eastern Cape.




Mazishi ya Nelson Mandela yanaendelea katika kijiji cha Qunu katika mkoa wa Eastern Cape na kumaliza wiki moja ya maombolezi ya shujaa wa Afrika mwendazake Nelson Mandela.

      Takriban watu 4,500 ikiwemo wageni wa kimataifa wanahudhuria mazishi hayo ambayo ni ya mchanganyiko wa tamaduni za kale na mambo ya kisasa.
Familia ya Mandela ilikesha wakijiandaa kwa mazishi ya leo huku kukiwa na muimbaji ambaye atakuwa anaita mizimu ya mababu wa kale na pia wakiongelesha mwili wa Mandela kumwambia kuwa sasa anazikwa. Ni kuambatana na tamaduni na mila za watu wa ukoo wa Mandela wa Thembu.
     Viongozi wa Afrika, familia na marafiki wametoa heshima zao za mwisho kwa hayati Nelson Mandela katika mazishi yake ya kitaifa katika kijiji cha Qunu katika mkoa wa Cape Mashariki. Mandela alikuwa rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini.
Rais Jacob Zuma amesema kuwa wakati safari ndefu ya Mandela kuelekea uhuru imekwisha, raia wa Afrika Kusini wana jukumu la kuendeleza sera zake na urithi wake.

Sunday, November 24, 2013

BAADA YA KUVULIWA NAFASI ZOTE ZA UONGOZI CHADEMA, HATIMAYE ZITTO KABWE [MB] AFUNGUKA, AKANUSHA TUHUMA DHIDI YAKE ASISITIZA BADO ANAIPENDA CHADEMA.


   Credit, Vijimambo Blog.


MBUNGE wa Chadema na Naibu Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Zitto Kabwe amesema hawezi kufanya maamuzi magumu ya kutoka ndani ya chama hicho kwa kile kilichotokea ndani ya chama hicho. Amesema yeye atakuwa wa mwisho kutoka Chadema na si vinginevyo.

Zitto ameyatoa hayo leo katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam alipokuwa anazungumzia maamuzi ya Kamati Kuu ya Chadema ya kumvua nafasi zake zote za uongozi yeye pamoja na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho Dk. Kitilla Mkumbo na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa Arusha Samson Mwigamba.
 Zitto amekana kuhusika wala kuujua waraka wa siri ambao ndiyo uliosababisha kumvua madaraka baada ya uamuzi wa Kamati Kuu ya chama kuunasa waraka huo
"Mimi nimeusikia ule waraka kwa mara ya kwanza kwenye Kamati Kuu na nilisikitika sana kwanini hukunifikia haraka kwani ningeanza kutekeleza mara moja." alisema Zitto akizungumza.
Huenda leo watu walitegemea nitafanya maamuzi magumu ya kuondoka kwenye chama; "Mimi bado ni mwanachama wa Chadema na nitakuwa wa mwisho kutoka kwenye chama hiki kwa hiyari yangu, nitafanya taratibu zote za chama kuhitimisha jambo hili mimi sitoki kwenye chama hiki labda wanitoe wao," alisema Zitto.
Zitto alisema anaumia sana anapotuhumiwa kwa kuwa yeye ni binadamu. "...ninapotuhumiwa naumia ninapoambiwa naujumu chama hiki naumia kwa kuwa nakipenda chama na nimekitumikia muda mrefu. Aidha aliwataka viongozi wa Chadema kuacha siasa za uzushi ili kujenga chama himara na kuwakomboa Watanzania.

"...Sisemi kama mimi sina makosa ni binadamu nimefanya mambo mengi kwa chama changu, lakini kinachoendelea kwa sasa ndani ya chama chetu ni mapambano ya kukuza demokrasia na ni mapambano ya wanaotaka mabadiliko na wasiopenda mabadiliko ndani ya chama...mapambano ya wawajibikaji na wasiopenda kuwajibika ni mapambano ya wanaopenda demokrasia na wanaokwaza demokrasia." alisema Zitto huku akionesha kusikitishwa.

Wednesday, October 30, 2013

How To Have A Boy Or Girl?..Eat The baby boy diet and Eat The baby girl diet.



   I believe that we end up with the child that we're meant to have. That said, here are a few changes both you and your partner can start making to help conceive that little boy or girl you've always hoped for.
The baby boy diet 
Eat potassium-rich foods such as bananas, coconut juice, red meat, apples, potatoes, celery, tomatoes, white beans, dried apricots, salmon, cod, acorn squash, mushrooms, avocado, lima beans and broccoli.
Snack on salty foods such as: chips, pretzels, olives, and popcorn.
Stay away from sweets and foods rich in calcium and magnesium.
Other tricks that have can help you conceive a boy:
  • Drink a little caffeine daily (when preparing someone for pregnancy, normally I say to avoid caffeine as it can hurt your fertility, but when trying for a boy, a little caffeine can help) 
  • Have your man drink a shot of coffee, espresso, or a caffeinated soda 15 to 30 minutes before sex to super-charge his sperm for faster swimming. 
  • Know your cycle and have sex when ovulation is at its peak. 
  • Best sex positions for conceiving a boy are from behind (doggie style or standing). Woman should have an orgasm! 
  • Have your man wear boxers and avoid hot tubs and bike riding. 
  • Also he should avoid ejaculating for 4 to 5 days prior to when you ovulate and try for baby.
The baby girl diet 
   Eat sweets and foods high in calcium and magnesium such as: whole dairy yogurt, whole milk, cottage cheese, eggs, flaxseeds, figs, sunflower seeds, pumpkin seeds, oranges, orange juice, low-sodium cheese, almonds, sesame seeds, spinach, kale, halibut, chicken, turkey, tofu, soy beans (no added salt), oatmeal, berries, brazil nuts, black beans, and turnip greens.
Snack on chocolate.
Stay away from salt and potassium-rich foods.
Some other tricks that have can help you conceive a girl:
  • Avoid caffeine 
  • Know your cycle and when you ovulate. You want to have sex 2 to 3 days before ovulation is at its peak.
  • Best position for conceiving a girl is missionary, in which the woman is on the bottom and the man on top. 
  • Now for the not so fun part … Have shallow penetration during sex and the woman should not have an orgasm. 

Ten Biblical Rules for a Happy Marriage.


Ten Biblical Rules for a Happy Marriage 

  • Never bring up mistakes of the past. Stop criticizing others or it will come back on you. If you forgive others, you will be forgiven (Luke 6:37).
  • Neglect the whole world rather than each other. 
  • And how do you benefit if you gain the whole world but lose your own soul in the process?(Mark 8:36)
  • Never go to sleep with an argument unsettled.
  • And don't sin by letting anger gain control over you. Don't let the sun go down while you are still angry (Ephesians 4:26).
  • At least once a day, try to say something complimentary to your spouse.
  • Gentle words bring life and health; a deceitful tongue crushes the spirit (Proverbs 15:4).
  • Never meet without an affectionate welcome.  Kiss me again and again, your love is sweeter than wine (Song of Solomon 1:2).
  • "For richer or poorer" - rejoice in every moment that God has given you together. 
  • A bowl of soup with someone you love is better than steak with someone you hate(Proverbs 15:17).
  • If you have a choice between making yourself or your mate look good, choose your mate.
  • Do not withhold good from those who deserve it when it's in your power to help them(Proverbs 3:27).
  • If they're breathing, your mate will eventually offend you. Learn to forgive.
  • I am warning you, if another believer sins, rebuke him; then if he repents, forgive him. Even if he wrongs you seven times a day and each time turns again and asks forgiveness, forgive him (Luke 17:3,4).
  • Don't use faith, the Bible, or God as a hammer.
  • God did not send His Son into the world to condemn it, but to save it (John 3:17).
  • Let love be your guidepost.
  • Love is patient and kind. Love is not jealous or boastful or proud or rude. Love does not demand its own way. Love is not irritable and it keeps no record of when it has been wronged (1 Cor. 13:4,5).

Ten Rules for a Happy Marriage


1. Never both be angry at the same time.
2. Never yell at each other unless the house is on fire. 
3. If one of you has to win an argument, let it be your mate.
4. If you must criticize, do it lovingly. 
5. Never bring up mistakes of the past.
6. Neglect the whole world rather than each other. 
7. Never go to sleep with an argument unsettled.
8. At least once every day say a kind or complimentary word to your life partner.
9. When you have done something wrong, admit it and ask for forgiveness.
10. Remember it takes two to make a quarrel.

Sunday, October 27, 2013

VICKY KAMATA BLOG.: PICHA ZA MAHAFALI YA KIHISTORIA SHULE YA WAMA NAK...

VICKY KAMATA BLOG.: PICHA ZA MAHAFALI YA KIHISTORIA SHULE YA WAMA NAK...:    Siku ya jana [jumamosi] ilikuwa ni mahafali ya kwanza na ya kihistoria ya shule ya sekondari ya wama nakayama iliyopo Rufiji, shule hii n...