Translate this blog in your favourable language

My pager view

Wednesday, May 23, 2012

specific features of tourism in Tanzania is almost completed after conducting an analysis


specific features of tourism in Tanzania is almost completed after conducting an analysis of reviews is ready this is a very small beginnings do not miss the great wonders of Tanzania through this important article of tourism .. stay ready.....................

Tanzania, a country endowed with abundant wildlife, great and unique natural features, friendly and hospitable people and a superb climate, has gradually become a favorite destination for international tourism.
ZebraTanzania embodies all the attractions of Africa. With 14 National parks, numerous Games and Forest Reserves taking 38% of its landmass, it is truly a Garden of Eden on this earth; hence it invoked awe to many international tourists. From the fabled snow-capped highest free standing mountain in the world – Kilimanjaro, Game Park, historical and archaeological sites to virgin unspoilt beaches, the country has made positive gains in its approach to low impact/high yield sustainable tourism policy. This has led to the protection of environment from irreversible damage while at the same time creating a top-class Eco-tourism destination.
Given improved services in the tourism industry, the visitor can enjoy all the comforts and amenities of modern life, making the adventure of exploration to Tanzania, comfortable, enjoyable and extremely rewarding. There are so many ways to enjoy what our country offers that will make visitors never regret.
Following government’s liberalization policy, The National Tourism Policy was reviewed in 1999. The policy has clearly slept out vital and key essential elements that are aimed at promoting the country’s tourism industry by optimizing the private sector. The government will only play a regulatory role in policy formulation monitoring, regulating and collection of government revenue derived from the industry.
The policy also charts out the need for creation of new tourist products where the Ministry of Natural Resources and Tourism is now promoting the North Eastern Zone, Coastal Belt, Southern and Southern Highlands Zones as well as the southern extensive beaches along the Indian Ocean for investment. Emphasis is also placed on cultural tourism, which is now rapidly picking up water sports, historical and archaeological sites. Conference tourism is another new product being targeted.
To be continue......................... soon.

Monday, May 21, 2012

HABARI ZA MICHEZO ZA WIKI: AFRIKA MAJONZI, ULAYA CHEREKO. R.I.P. Mafisango Halaaa Chelsea.


                  
wakati hali ya tanzania ikiwa ni majonzi huko ulaya hali ya furaha imewatala mashabiki pamoja na timu nzima ya chelsea baada ya kufanikiwa kwa mara ya kwanza kutwaa taji la Uefa C. league baada ya kuizamisha Bayern Munich kwa Penalt 4 KWA 3 baada ya dakika 120 kumalizikwa kwa sare ya 1 kwa 1 baada ya Didier Drogba kusawazisha bao dakika ya 88. chelsea ni mara yake ya kwanza kutwaa taji hili huku kikosi hicho kikikikabiliwa na matatizo mengi sana ikiwamo ya kumtimua aliekuwa kocha wa timu hiyo Vilas Boas na kushilkiliwa na kocha msaidizi Di mateo na bado ikionekana kama si kitu lakini imedhihirishia ulimwengu kuwa ni moto wa kuotea mbali.


Mnamo tarehe 17 mwezi huu mchezo wa soka ulikumbwa na giza nene na simanzi kubwa baada ya kutokea kifo cha ghafra cha aliyekuwa mchezaji wa simba kiungo mahiri Patrick Muttesa Mafisango kilichotokea kwa ajali ya Gari maeneo ya chang'mbe jijini dar-es- salam mafisango ambeye amezikwa jana huko kwao kongo kinshasa amekumbwa na umauti siku chache kabla ya kuondoka yeye na Niyonzima Kuelekea kwa Rwanda katika timu ya Taifa aliyokuwa akiichezea kama timu yake ya taifa japo kuwa ni mzaliwa wa kongo. nikiwa katika pilikapilika za kazi na mambo mengine nilishtushwa sana na taarifa za msiba huo nilikuwa mbali na kwakweli ilipunguza hata ufanisi wa nlichokuwa nakifanya... alale pema peponi Petii mkambo Mutesa Mafisango..

Saturday, May 5, 2012

LIJUE BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI: Sura mpya zatawala kidogo.


Hili ndilo baraza jipya la Mawaziri na Manaibu Waziri aliowatangaza jana Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Raisi Jakaya M. Kikwete

OFISI YA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)
Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora)
Ndugu George Mkuchika, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI)
Ndugu Celina Kombani, Mb.,
OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)
Ndugu Samia H.  Suluhu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)
Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,
OFISI  YA WAZIRI MKUU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri  Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)
Ndugu Mary M. Nagu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Hawa Ghasia, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)
Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,
WIZARA
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Ndugu Samuel J. Sitta, Mb.,
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.,
Waziri wa Ujenzi
Dr.  John P. Magufuli, Mb.,
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii
Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb.,
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Sophia M. Simba, Mb.,
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Bernard K. Membe, Mb.,
Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb.,
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Dr. David M. David, Mb.,
Waziri wa Kazi na Ajira
Ndugu Gaudentia M. Kabaka, Mb.,
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Prof.  Makame M. Mbarawa, Mb.,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Prof.  Anna K. Tibaijuka, Mb.,
Waziri wa Maji
Prof. Jumanne Maghembe,  Mb.,
Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum
Prof. Mark Mwandosya, Mb.,
Waziri wa  Kilimo, Chakula na Ushirika
Eng. Christopher Chiza, Mb.,
Waziri wa Uchukuzi
Dr. Harrison Mwakyembe, Mb.,
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2011 YALIVYOKUWA.



Haya ni matokeo ya kidato cha sita ambayo idadi ya ufaulu imeongezeka kulinganisha na mwaka jana na sekondari za serikali walau zimejitahidi 

Haya ni majina ya wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani hiyo.
Muhagachi Chacha (Kibaha), Samwel Katwale (Mzumbe), Amiri Abdalah (Feza Boys), Aron Gerson, Shaban Omary wote wa Tabora Boys, Kudra Baruti (Feza Boys), George Assenga (Majengo), Comman Nduru (Feza Boys), Francis Josephat (Tabora Boys) na George Felix (Mzumbe. wengine ni kama ifuatavyo
Doreen Kabuche (Benjamin Mkapa), Rahabu
Mwang'amba (Kilakala), Mary Moshi (Kifungilo Girls) Nuru Kipato (Marian Girls) Zainabu Hassan (Al-Muntazir Islamic),Catherine Temu (Ashira), Anthonia Lugomo (Usongwe), Cecilia Mville (Kifungilo Girls), Mariam Matolwa (Kilakala) na Suzan Makoi (Tarakea).

na hizi ndizo shule kumi bora:
Feza Boys, Kifungilo, Kibaha, St.
Mary's Mazinde, Ilboru Tabora St. Mary Goreti, Mzumbe na Mafinga na kwa upande wa shule zilizofanya vizuri katika kundi la zile zilizokuwa na watahiniwa chini ya wanafunzi 30 ni Uru Seminary, St. James Seminary, Maua Seminary, Same seminary Dungunyi Seminary D.C.T Jubilee St. Joseph-Kilocho Seminary, Mlama na Masama Girls.


 


   Angalia matokeo ya kidato cha sita 2011 kwa ku click hapa

Tuesday, May 1, 2012

YALIYOJIRI KATIKA SIASA MBUNGE HUYU NAYE CHALI.sasa zamu ya CCM.



Katika hali ambayo ilidhaniwa na wengi kabla ya hukumu ya aliyekuwa mbunge wa sumbawanga mjini Aeshi Hillary avuliwa rasmi ubunge na sasa jimbo hilo lipowazi, hii ni kutokana na malalamiko ya mgombea mwenzake katika uchaguzi wa 2010 kupitia CHADEMA kumfungulia mashtaka kwa kukiuka sheria za uchaguzi, ikiwemo kutokea kwa fujo na kashfa mbalimbali za rushwa akiongea kupitia vyombo vya habari mbunge huyo ameahidi kukata rufaa na amesema kuwa anashangazwa sana na maamuzi ya mahakama kwa kumtia hatiani kufuatia wafuasi wake kufanya vurugu ambazo ndizo zimepelekea kuvuliwa ubunge pia amedai kuwa huwezi kumtambua mfuasi wa chama kwa fulana aliyo vaa hivyo mahakama haikuwa na uhakikwa wa kuwa waliofanya fujo hizo walikuwa ni wafuasiwa CCM kwani huwezi kumtambua mfuasi wa chama kwa fulana aliovaa bali utamtambua kwa kadi ya chama na sio vinginevyo, pia mbunge huyo hakubainisha wala kuongelea tuhuma za rushwa ambazo pia zilichangia kumvua ubunge na ikiwemo kutuhumiwa kutoa rushwa ya baikeli pikipiki na vitu mbalimbali kwa sharti la kupigiwa kura. mengi zidi tutayapta hasa baada ya mbunge alievuliwa ubunge kukata rufaa. kwasasa jimbo hilo la sumbawanga mjini lipo wazi huku CHADEMA wakichekelea kwani kunauwezekano mkubwa wa kuchukua jimbo hilp haya yamebainishwa jana katika sherehe fupi ya kushangili ama kupongeza uamuzi wa mahakama kwa kumvua ubunge mbunge huyo.