Translate this blog in your favourable language

My pager view

Monday, December 13, 2010

UFAHAMU UGONJWA WA TONSILS AMBAO UNAWAPATA WATU WENGI NA HAWAIJUI UNDANI WAKE

ni makala ya kingereza na unaweza ukaitafsiri ukipenda kwa kuielewa zaidi


 Tonsils and Tonsillectomy
What are tonsils and adenoids?  The tonsils are two clumps of tissue, on either side of the throat, embedded in a pocket at the side of the palate (roof of the mouth).  The lower edge of each tonsil is beside the tongue...way in the back of the throat.  The adenoids are a single clump of tissue in the back of the nose (nasopharynx).  They are located (in the adult) on the back wall of the throat (pharynx)...about one inch above the uvula (the little teardrop shaped piece of tissue that hangs down in the middle of the soft palate). 
What function do they serve?   Aren't they important?  The tonsils and the adenoids are mostly composed of lymphoid tissue, which is found thoughout the gastointestinal tract and on the base of the tongue.  Lymphoid tissue is composed of lymphocytes...which are mostly involved in antibody production.  Since we generally consider antibody production to be a good thing, many studies have been performed to try to clarify the importance of the tonsils.   There seems to be no adverse effect on the immune status or health of patients who have had them removed.  Any noticable effect has generally been positive. It appears that the tonsils and adenoids were not "designed" to effectively handle the multitude of viral infections that occur in children in an urban population.  Rather, the immune system, including the tonsils and adenoids, developed during a era where the child was rarely exposed to a large number of other people and the germs they carried.  It may also be that these organs are relatively more important in dealing with certain types of infections, such as worms or other parasites, that are relatively uncommon in today's society.  It is clear that in many cases, the tonsils and/or the adenoids become "dysfunctional" and are more of a liability than an asset.
How are tonsils removed?   There are many techniques used for tonsillectomy.  General anesthesia is usually employed; but it is possible to perform tonsillectomy with sedation and local anesthesia.  In the United States, some degree of electrocautery assisted dissection is most commonly employed, because of the ability to rapidly stop bleeding.  Some surgeons use very little cautery...with more bleeding, but with less burned tissue.   Use of lasers has been studied and considered by most surgeons.  We feel that laser use is primarily a marketing gimmack at this point, since it offers no apparent advantage over certain cautery techniques, and has some very real hazards and extra costs.
 and this is the type of tonsils you have to know...
1.Blockage of the throat...they are too big.
2.Chronic and recurrent tonsillitis...sore throats
3.White debris in the tonsils..."chronic cryptic tonsillitis".
4.Unusual enlargement or appearance.

Saturday, December 11, 2010

UMUHIMU WA MAJI KATIKA MIILI YETU LAKINI BADO TUNALALAMIKA MAGONJWA MENGI WAKATI DAWA TUNAYO NA NI RAHISI [MAJI]

Maji ni hitajio la dharura kwa afya zetu, kwani asilimia 60 ya uzito wako ni maji na kila mfumo wa mwili wako hutegemea maji ili kufanya kazi zake. Ukosefu wa maji mwilini humfanya mtu akaukiwe na maji au dehydration, hali ambayo hutokea pale mtu asipokuwa na maji ya kutosha mwilini ya kuuwezesha mwili wake kufanya kazi zake za kawaida. Hata katika upungufu mdogo wa maji mwilini, wakati ambapo asilimia 1 hadi 2 ya uzito wa mwili inapopungua, huweza kumfanya mtu akose nguvu na ajisike amechoka. Miongoni mwa dalili za upungufu wa maji mwilini ni: • Kukihi kiu sana • Uchovu • Kichwa kuuma • Mdomo kukauka • Kukosa mkojo au kiasi cha mkojo kuwa kidogo. • Udhaifu wa misuli • Kuhisi kizunguzunguNi muhimu kujua kwamba mwili hupoteza maji kila siku kwa kutokwa na jasho, iwe jasho hilo umelihisi au haukulihisi, kutoa pumzi nje (exhaling), kukojoa na harakati ya tumbo. (bowel movement).
Ili mwili wako uweze kufanya kazi vizuri unahitajia kurudisha maji hayo mwilini kwa kunywa vinywaji mbalimbali na vyakula vyenye maji.
Wataalamu wengi wanakubaliana kuwa mwanadamu anahitajia kunywa vikombe 8 vya maji kwa siku, ili kufidia maji yanayopotae mwilini. Hata hivyo wengine wanashauri kwamba, wanaume wanywe vikombe 13 vya maji kwa siku na wanawake vikombe 8 vya maji, na hiyo ni kutokana na tofauti ya miili yao. Tunashauriwa kuwa badala ya kunywa maji kiholela tunywe kwa mpangilio maalum kwa siku, ili kusaidia vyema katika kazi za mwili. * Tunashauriwa kunywa vikombe viwili vya maji asubuhi pindi tunapoamka, kwani husaidia kuamsha viungo vya ndani ya mwili.* Tunashauri tunywe kikombe kikoja cha maji dakika 30 kabla ya mlo, kwani husaidia kupata choo vizuri.* Tunashuariwa tunywe kikombe kimoja cha maji kabla ya kwenda kuoga, husaisia kupunguza shikizo la damu.* Na tunashauriwa kunywa kikombe kimoja cha maji kabla ya kulala kwani kufanya hivyo huzuia shinikizo la moyo.

Thursday, December 9, 2010

TANZANIA INDEPENDENT AND SHORT HISTORY OF TANZANIA

Tanzania is home to some of the oldest human settlements unearthed by archaeologists, including fossils of early humans found in and around Olduvai Gorge in northern Tanzania, an area often referred to as "The Cradle of Mankind". These fossils include Paranthropus bones thought to be over 2 million years old, and the oldest known footprints of the immediate ancestors of humans, the Laetoli footprints, estimated to be about 3.6 million years old.[1]
Reaching back about 10,000 years, Tanzania is believed to have been populated by hunter-gatherer communities, probably Khoisan speaking people. Between three and six thousand years ago, they were joined by Cushitic-speaking people who came from the north, into which the Khoisan peoples were slowly absorbed. Cushitic peoples introduced basic techniques of agriculture, food production, and later, cattle farming.[2]
About 2000 years ago, Bantu-speaking people began to arrive from western Africa in a series of migrations. These groups brought and developed ironworking skills and new ideas of social and political organization. They absorbed many of the Cushitic peoples who had preceded them, as well as most of the remaining Khoisan-speaking inhabitants. Later, Nilotic pastoralists arrived, and continued to immigrate into the area through to the 18th century.[2][3]] Early Coastal History
Travellers and merchants from the Persian Gulf and Western India have visited the East African coast since early in the first millennium CE. Greek texts such as the Periplus of the Erythraean Sea and Ptolomey's Geography list a string of market places (emporia) along the coast. Finds of Roman-era coins along the coast confirm the existence of trade, and Ptolomey's Geography refers to a town of Rhapta as "metropolis" of a political entity called Azania. Archaeologists have not yet succeeded in identifying the location of Rhapta, though many believe it lies deeply buried in the silt of the delta of the Rufiji River. A long documentary silence follows these ancient texts, and it is not until Arab geographical treatises were written about the coast that our information resumes.

Remains of those towns' material culture demonstrate that they arose from indigenous roots, not from foreign settlement. And the language that was spoken in them, Swahili (now Tanzania's national language), is a member of the Bantu language family that spread from the northern Kenya coast well before significant Arab presence was felt in the region. By the beginning of the second millennium CE the Swahili towns conducted a thriving trade that linked Africans in the interior with trade partners throughout the Indian Ocean. From c. 1200 to 1500 CE, the town of Kilwa, on Tanzania's southern coast, was perhaps the wealthiest and most powerful of these towns, presiding over what some scholars consider the "golden age" of Swahili civilization. In the early 14th century, Ibn Battuta, a Berber traveller from North Africa, visited Kilwa and proclaimed it one of the best cities in the world. Islam was practised on the Swahili coast as early as the eighth or ninth century CE.[4]
In 1498, Portuguese explorer Vasco da Gama became the first known European to reach the East African coast; he stayed for 32 days.[5] In 1505 the Portuguese captured the island of Zanzibar.[6] Portuguese control lasted until the early 18th century, when Arabs from Oman established a foothold in the region. Assisted by Omani Arabs, the indigenous coastal dwellers succeeded in driving the Portuguese from the area north of the Ruvuma River by the early 18th century. Claiming the coastal strip, Omani Sultan Seyyid Said moved his capital to Zanzibar City in 1840.[6] He focused on the island and developed trade routes that stretched as far as Lake Tanganyika and Central Africa. During this time, Zanzibar became the centre for the Arab slave trade. Due to the Arab and Persian domination at this later time, many Europeans misconstrued the nature of Swahili civilization as a product of Arab colonization. However, this misunderstanding has begun to dissipate over the past 40 years as Swahili civilization is becoming recognized as principally African in origin

Monday, December 6, 2010

WHAT IS REALLY LOVE IN OUR RELATIONSHIP WE NEED TO KNOW MORE..

Every day we talk about love its magic topic? may be yes because love and relationship creat rhe world , but insteady of this what is realy love?????????
TRUE LOVE IS THE SEX????
no no no but may be you want to made sex as your kind of loving yet
Numerous studies of experts in the matters of relationships, show that many who are in relationships are unable to tolerate the continued existence in a relationship without sex.. Hata hivyo tafiti hizo za uhakika zinaeleza kwamba baada ya wapenzi kufanya ngono, ile hamu ya kuendelea kuwa na uhusinao hupungua! However, these studies indicate that certain couples That is caused by racial or language, and have nothing to declare himself not to know the 'partner' her.Wengi hulia baada ya kujikuta wakiingia katika mkumbo huu. Many find themselves crying after coming into this .Just ask yourself, as is love, why he will cling to you soon??? 
There are too many things to do instead of sex, you have no reason to give priority to sex when there are many other things you can do to make your will permanently continued daily.
SEX WHEN YOU CAN DO?
Basically the issue of sex has no principles, no specific time to start having sex with your partner.Sex is just a feeling, and it is better if these feelings zikaja at one time between you and the man you love..Sports psychology experts, they suggest that couples should not participate unless they act when they understand each other enough, especially health testing for sexually transmitted diseases, especially AIDS yamezagaa every corner of the world./In addition, the issue of sex is halikwepeki if you allow you to meet two cool parts
The basic thing is to settle with ourselves, do not have sex as part of sex..
Recognize that sex is something else and something else will, even if they decide to participate in the act, you know that you yourselvesna kisitumike kama kiburudisho tu.. sometime you have to avoid vijizawadi [gifts] like  fruits, cloth, shopping etc hii itakupelekea kushindwa kukataaa kwa urahisi and can make you fall in danger of sex [ KWA HERUFI KUBWA KAMA MSISITIZO] SEX IS LIKE BAZOKA AT FIRST IS SO SWEET BUT ATB A TIME THE SWEET DISAPPER AND FINALY UTAMU KWISHA KAZI  MNACHOKANA HARAKA .. MWISHO NINAYOMENGI SNA NA SIWEZI KUANDIKA YOTE BUT YOU MAY CONTACT ME
FOR MORE STORIES
STEVEN M..

Sunday, December 5, 2010

CHANGAMOTO ZA MAHUSIANO NA WAPI TUNAPOJIKWAA NA SABABU AMBAZO HUHARIBU MAHUSIANO KWA HARAKA SANA..

Kati ya shughuli nzito ambazo huwakumba watu walio katika mahusiano ya kimapenzi au ndoa ni kuhakikisha kuwa mahusiano yao yanakuwa imara. Ni shughuli yenye changamoto nyingi kwani huhitaji uwiano, maana mwanamume na mwanamke wameumbwa tofauti na kila mmoja ana matakwa na matarajio yake.
Sababu za kuvunjika kwa uhusiano zinaweza kuwapo nyingi na kutofautiana kutoka uhusiano huu na ule, lakini zipo kumi ambazo zinaweza kuchukuliwa kuwa kuu. Ukizifahamu utajua jinsi ya kuboresha uhusiano wako wa sasa au baadaye, au kukuweka sawa kisaikolojia kwa ajili ya uhusiano mpya.

SABABU HIZI ZINASABABISHA MAPENZI KUVUNJIKA MAPEMA


1.WIVU ULIOKITHIRI
Wivu ni mojawapo ya sababu kuu za kuvunjika kwa uhusiano wa kimapenzi au hata ndoa. Wivu wa kupindukia unaweza kusababisha ugomvi ambao nao ni sababu kubwa ya kuachana kwa wapenzi.

Wivu husababishwa zaidi na kutokujiamini kwa mtu. Kwa hiyo, ili kuepuka wivu na
kuunusuru uhusiano wa kimapenzi, lazima mtu kwanza ajithamini na kujiamini kuwa
anastahili kupendwa na mpenzi wake kama alivy0

2.MAWASILIANO HAFIFU

Mawasiliano ni kitu muhimu sana katika mapenzi. Iwapo wapenzi watashindwa kuelezana hisia zao, mawazo yao, mitazamo yao, imani zao, matatizo yao au hata furaha zao, uhusiano utakuwa unaelekea pabaya.

Inapotokea hiyo ikawa sababu ya kuachana kwa wapenzi, basi mtu anapojifunza tena
kupenda atapaswa kujifunza pia jinsi ya kuwasiliana vema na mwenzake, kwani kwa
hakika mawasiliano mabaya ni sababu kubwa ya kuachana kwa wapenzi..


3.KUMNYANYASA MPENZI WAKO BILA SABABU.
Hii ndiyo sababu ambayo pengine iko wazi zaidi. Kuna aina mbalimbali za unyanyasaji
ambao hujitokeza baina ya wapenzi na si lazima kwamba mwanamume ndiye anayemnyanyasa mwanamke kama ilivyozoeleka. Hata wanawake huwanyanyasa wanaume.

Unaweza kudhani ukinyanyaswa tu na mpenzi au mwenza utamwacha, lakini ukweli ni kwamba wengi huvumilia, pengine kutokana na kuiogopa jamii inayowazunguka. Lakini ukweli ni kwamba unyanyasaji huondoa kabisa maana ya mapenzi na kusababisha wapenzi
wengi kukosa sababu ya kuendelea kuwa pamoja.
KUKOSA UAMINIFU HASA UNAOTOKANA NA TAMAA ZA KIJINGA
Kushindwa kutimiza ahadi, kusema uwongo au kufanya usaliti wa kimapenzi ni mambo
ambayo humwondolea mtu uaminifu kwa mwenzake. Kwa hakika, kukosekana kwa uaminifu ni sababu kuu ya kuyumba na hata kuvunjika kwa mahusiano yaliyo mengi.

Iwapo kuaminiana kwa msingi kabisa katika uhusiano kutavunjwa mara kwa mara, hasira za mpenzi kwa mwenzake zitalimbikizwa na hamu ya wapenzi/wenza kuendelea kuishi pamoja itapungua. Wapenzi walio katika uhusiano wenye mizizi na afya njema wanaweza kukubaliana kumaliza tofauti zao na kusonga mbele. Kama wataheshimu ahadi na viapo vyao vipya mambo yataendelea.

Kumdanganya mpenzi mara kwa mara, kumsaliti mara kwa mara na kuvunja ahadi zako mara kwa mara huufanya uhusiano kudhoofika na hatimaye nguzo yake muhimu – yaani kuaminiana – kuanguka. Hapo ndipo uhusiano hufika kikomo.
  Iwapo itatokea kuwa mmoja wa wapenzi/marafiki au wote wawili akawa hajitambui na kufuata matakwa yake, mahitaji yake, matamanio yake, mipango yake ya baadaye, malengo yake, msimamo wake, hulka yake na vipaumbele vyake, haitakuwa rahisi kwa watu hawa wawili kuwa na uhusiano wenye afya.



5.. KUJITAMBUA NA KUTAMBUA MAJUKUMU YAKO.
Kujitambua huwasaidia wapenzi kuwa huru kila mmoja kwa mwenzake, akimweleza anataka nini, jambo ambalo husaidia kuimarisha uhusiano. Lakini inapotokea kuwa mmoja wa wapenzi hajitambui, au wote wawili hawajitambui, ni rahisi sana uhusiano kuvunjika, hasa kama wahusika waliingia katika uhusiano huo wakiwa na umri mdogo.lazima utambue kuwa unahaki gani na wajibu gani kwa mpenzi wako nae akitambua haki na wajibu wake katika mahusiano lazima yatadumu ila ikiwa nin kinyume na hapo hakuna penzi litakalo dumu daima..
                                   USHAURI WANGU KWAKO
NIVYEMA SANA UKAJARIBU KUSOMA NA KUANGALIA WATU WANAISHIJE KATIKA MAHUSIANO WA WAPI WANAANGUKA NA WAPI WAFANIKISHA HALAFU TAMBUA WAJIBU WAKO KWA MWENZI WAKO KABLA YA KUMKABIDHI MOYO NA BILA SHAKA LAZIMA UJUE KUZISOMA NYAKATI NA PIA KUBALI KWENDA NA MABADILIKO.. TAMBUA YAKUA MAPENZI SIO JAMBO LAKITOTO  NI KITU AMBACHO KIPO DEEP SANA NA KINAHITAJI UMAKINI PIA UMAHILRI SANA KUWEZA KUONGOZA VINGINEVYO KILA SIKU UTALIA NA UTAJUTIA NA LADHA YA MAPENZI ITAKUA CHUNGU KWAKO DAIMA...
 STEVEN M..
 MWISHO