Translate this blog in your favourable language

My pager view

Wednesday, August 21, 2013

HIVI NDIVYO VITU VYA FREEMASON ULIVYONAVYO NA HAUTAMBUI "VIEPUKE"


Wakati maombezi yanafanyka katika makanisa mbalimbali inaonekana wanawake wengi sana kuangka sababu ya mapepo,, sana hizi ndizo sababu zinazowafanya wao kupata mapepo kirahisi na kujikuta wanaanguka katika maombi mara nyingi yanapo fanyika
    1. kuvaa na kupenda sana vitu vya shetani hasa vitu vya FREEMASON  kama ifuatavyo .
    Nywele bandia (mawigi, rasta) ni za FREEMASON,  nguo zote za ajabu (vibode,vitop,nguo za kubana kwa jinsia zote) ni FREEMASON, Haki za wanawake ambazo mkutano wake ulifanyka huko BEIJING ni wamasonia, Ala na vyombo vya miziki ni wamasonia na kunengua majukwaani na ndombolo au hizi DISCO  za YESU ni wamasonia, Mitindo ya unyoaji nywele,uvaaji heleni na kusuka nywele kwa vijana pamoja na kuvaa mikufu kwa vijana wa kiume ni wamasonia, Mashoga, mamiss,”wachungaji wanawake” ni mipango ya wamasonia, Mahakama ya THE HAGUE pamoja na haki za binadama ambazo ni kinyume na sheri za mmiliki wa kila kitu (GOD) ni wamasoni. 

Kutokana na sababu hizo hapo juu asilimia kubwa ya wanawake ndio wanahusika hapo na kati vilivyoolodheshwa hapo juu ni vigumu sana ama hakuna kabisa ukakuta mwanamke hana moja kati ya hayo,, tena kuna msemo wa kujidnganya mimi naweza sema hivyo eti kila utakachonunua lazima ukitakase kinakuwa safi ,, SHETANI HATAKASIKI NA KAMA INGEKUA HIVYO UKITAKA KUZINI NA MKE WA MTU MTAKASE BASI HALAFU ZINI AU KANUNUE VIROBA VITAKASE NA KUNYWA, KWA MANTIKI HIYO SASA KILA UTAKACHOKIFANYA KAMA ULIKITAKASA SIO DHAMBI JAMBO AMBALO SI KWELI KABISA, jambo la kuzingatia hapa ni kwamba ili tupone na hili ni lazima tuepukana na hayo yote, leo waliofungwa akili na hetani ukimwambia kusuka ni dhambi atakuonamshamba wakati biblia hairusu hilo la kusuka nk,, nawakumbusha Dada zangu wanaomkufuru MUNGU  kwa kujiongezea uzuri kwa kujichubua kusuka mitindo ya ajabu kuvaa mavazi ya ajabu nk, hiyo NI ISHARA YA KUMKOSOA MUNGU KAMA ALIKOSEA WAKATI ANAKUUMBA SASA UNAMFUNDISHA AMA KUMSAHIHISHA KUA ANGEKUUMBA UKAVYO WEWE,, OLE WAKO WEWE UNAEMKUFURU MUNGU KWA MAMBO HAYO..,

Sunday, August 18, 2013

VIONGOZI SADC WAMPIGIA SALUTI RAIS KIKWETE, "JOYCE BANDA ASIFIA UTENDAJI WAKE,,

www.vicky-kamata.blogspot.com: VIONGOZI SADC WAMPIGIA SALUTI RAIS KIKWETE, "JOYCE...: Baadhi ya wakuu wa SADC            RAIS wa Malawi, Joyce Banda amempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuimarisha demokrasia, amani na u...

Saturday, August 17, 2013

Sex Positions to make female orgasm easier during intercourse..

       If you're a woman who finds climaxing easy and can have orgasms during intercourse with little effort – even in a position where it's difficult to access the clitoris – then you are very lucky indeed!
For the majority of us, 'ringing that bell' is not nearly so simple.
Even women who can masturbate to a climax with no difficulty can feel quite anxious about 'coming' with a male partner.

Monday, August 12, 2013

True and Interesting fact about girls, Facts that all Boys Must Know...




When a girl says she's sad, but she isn't crying, it means she's crying in her heart.

When she ignores you after you've done something wrong, it's best to give her some time to cool down before touching her heart with an apology.

A girl can't find anything to hate about the guy she loves (which is why it is so hard for her to 'get over him' after the relationship' s over.)

If a girl loves a guy, he will always be on her mind every minute of the day, even though she flirts with other guys.

When the guy she likes smiles and stares deep into her eyes, she will melt.

A girl likes to hear compliments, but usually not sure how to react to them.



When a particular guy flirts with a girl very often, a girl would start thinking the guy likes her. So if you treat a girl just as a friend, go easy on the smiles and stare ok?

If you don't like a girl who likes you, break it to her gently.

If a girl starts avoiding you after you reject her, leave her alone for a while. If you still treat her as a friend, talk to her.

A smile means a lot to a girl.

If you like a girl, try making friends with her first. Let her get to know you.

If a girl says she can't go out with you because she has to study, leave.



Monday, August 5, 2013

www.vicky-kamata.blogspot.com: MAKALA MAALUM.."HUU NDIO UKWELI" Afrika inaweza ku...

Makala hii niliandika katika blog hii ya Bosi wangu....
www.vicky-kamata.blogspot.com: MAKALA MAALUM.."HUU NDIO UKWELI" Afrika inaweza ku...:         Mabadiliko katika mfumo wa dunia tangu kuingia kwa karne mpya, ikiwa ni pamoja na utulivu mkubwa wa hali ya kisiasa barani A...

Sunday, August 4, 2013

www.vicky-kamata.blogspot.com: MAMA TUNU PINDA ALIPOTEMBELEA WANAKIJIJI WA ZEGERO...

www.vicky-kamata.blogspot.com: MAMA TUNU PINDA ALIPOTEMBELEA WANAKIJIJI WA ZEGERO...: Hivi karibuni mke wa Waziri mkuu Mama Tunu Pinda aliwatembelea wanakijiji wa kijiji cha Zegero ambapo alikutana na viongozi wa serikali ya k...