Translate this blog in your favourable language

My pager view

Friday, January 7, 2011

JE USAWA WA KIJINSIA NI HALALI HATA KAMA DINI HAZITAMKI SANA HILO/

ipo hatari ya wanaume kuwa chambo sasa be care men
by STEVEN..
Usawa wa kijinsia ni lengo la kuleta usawa katika ya jinsia zote, kutokana na imani(belief) kuwa kuna udhalimu mbalimbali wa jinsia moja.
wapigania haki
Mashirika ya Dunia yamefafanua usawa wa kijinsia ikihusiana na haki za binadamu, hasa haki za wanawake na maendeleo ya kiuchumi. UNICEF inafafanua usawa wa kijinsia kama "kusawazisha uwanja wa kucheza kwa wasichana na wanawake kwa kuhakikisha kwamba watoto wote wana fursa sawa ya kuendeleza vipaji vyao.
Idadi ya Watu ya Umoja wa Mataifa(United Nations Population Fund) ilitangaza usawa wa kijinsia "kwanza kabisa kama haki ya binadamu." Usawa wa kijinsia" ni mojawapo wa malengo ya mradi wa Milenia wa Umoja wa Mataifa , wa kumaliza umaskini ulimwenguni ifikapo mwaka wa 2015; mradi huu unadai, "Kila Lengo lina uhusiano wa moja kwa moja na haki za wanawake na jamii ambazo wanawake hawana haki sawa kama wanaume kamwe haziwezi kufanikisha maendeleo katika namna endelevu.
Hivyo basi, kukuza usawa wa kijinsia kunaonekana kama himizo kwa mafanikio makubwa ya kiuchumi. Kwa mfano, mataifa ya Kiarabu ambayo yanawanyima wanawake usawa wa kijinsia yalionywa katika ripoti iliyofadhiliwa na Umoja wa Mataifa mwaka wa 2008 kwamba kitendo hiki cha kuwanyima mamlaka wanawake ni kipengele muhimu kinachodhalilisha kurudi kwa mataifa haya katika nafasi ya kwanza ya viongozi wa dunia katika biashara, elimu na utamadunI..
utata wa semenya nao unaashiria nini?
LAKINI KUNA KITU LAZIMA TUKAE TUKIJUA YA KUWA MAANDIKO MATAKATIFU HAYATAMKI HIVYO NA KUMPA USAWA MWANAMKE AWE SAWIA HATA KIMAAMUZI KIUONGOZI NA KIMADARAKA NI HATUA YA KUPINGANA NA MAANDIKO YA MUNGU KWANI KIOLA MMOJA KATI YA MWANAUME NA MWANAMKE WALIWEKEWA MIPAKA YAO NA HATA SASA MFUMO ULIOPO DUNIA IMESHIKWA NA WANUME SASA TUNAPOTAKA USAWA ITAFIKA KIPINDI SASA WANAWAKE WATATAKA WANUME NA SISI TUFANYIWE MPANGON TUBEBE MIMBA SAWA KWA SAW A
   SIKATAI TUSIWE SAWA ILA KIKUBWA NI KUONDOA MANYANYASO KWA MAMA ZETU KUWAPA HAKI NA UPENDO WA DHATI NA KUWAHESHIMU DAIMA NA SIO KUSEMA HAKI SAWA NINA HAKIKA HAITAKUJA KUFIKIA NA HAYO NI MOJA KATI YA MAADHIMIO YA KUMPINGA MUNGU KWANI WAKATI ANAYATOA HAYO HAKUKOSEA KUMPA NAFASI HIYO MWANAUME NA KUMACHA MWANAMKE NA NAFASI ALIONAYO NA KAMA ITAWEZEKANA KWA MWANAUME NAE KUTOKA KATIKA UBAVU WA MWANAMKE  BASI HAKI SAWA ITAWEZEKANA NA KAMA MWANAUME NDIE ALIEUMBWA NA MUNGU NA MWANAMKE AKATOKA KATIKA UBAVU HUO NI MBIO ZA MNYONGE AMBAZO HAZITAWASHTUA MATAJIRI AU NDIO MISAFARA YA AKINA MAMBA  NA KENGE WAMO  
 SAMAHANI KAMA KUNA LILIKUA KINYUME NA  MATAKW AYAKO YANGU NI HAYO ILA NAWAHESHIMU AKINA MAMA WOTE DUNIA M NA MAMA YANGU NDIE MAMA WA MFANO UKITAKA KUJUA WASILIANA NA MIMI
MWISHO STEVEN