Translate this blog in your favourable language

My pager view

Saturday, November 13, 2010

kila anayetamani kuishi maisha ya kifalme lazima akubali kuishi maisha ya utumwa

no sweat no sweet.. kama unataka kula bata lazima ukubali kuumia kidogo na mafanikio hayaji kama ndoto kaa chini ndani ya kila wiki end na jiulize ndani ya wiki iliopita nimefanya nini na je wiki ijayo nitafanya nini hili lifanye kila wikeend na litumie kama dozi kama hakuna chamaana lazima ujihoji kuna tatizo gani  neno langu la mwisho kwako .... NI HERI KUFA UKIJARIBU KULIKO KISHI UKIPOTEZA KILA SIKU.. NI AIBU tambua kama wewe ni jeshi la mtu mmoja hivyo pambana daima utashinda