Translate this blog in your favourable language

My pager view

Monday, September 13, 2010

yaliyotokea kwa mwisho mwampamba yaendelee mpaka atakapo ipeperusha bendera ya taifa vema


hata kwa richad alikua akiingia kikaangoni mara kwa mara ila mwisho wa siku akaibuka kidedea na hii tuifanye kwa mwisho kwa kumpa support yakutosha hasa anapo ingia kikaangoni ni lazima tuungane pamoja kumpigia kura abaki ndani ya jumba la big braza au sio pamoja daima tutafika  mimi nia wakwanza kupiga kura abaki bado wewe safari ijayo upige kura kama ataingia kikaangoni.........