Translate this blog in your favourable language

My pager view

Thursday, September 9, 2010

mavazi ya kareena kapor yawashangaza waumini wa kiislam



katika hali ya kushangaza sana muigizaji mashuhuri nchini india kareena ameendelea kuvaa mavazi ya ajbu wakati waislam bado wangali katika mfungo wa mwezi wa ramadhani na hii imekua gunzo sana kwani dada huyo pia inasemekana ni muislam lakini ambae hajashika dini kwa sana,. na sio huko tu hata wabongo mavazi yetu wengi hayaridhishi hasa akina dada jamani tuheshimu wenzetu hata kama hatufungi...