Translate this blog in your favourable language

My pager view

Sunday, August 29, 2010

mambo ya wikend full sherehe kwa ambao hawafungi zilikua kama kawa

FLORA AKIUZA SURA

 ANAPOKEA CHETI
 MIMI NA WAJINA WANGU STEVEN
 HAPA NAKULA NILIKUA KOBE
BEKA NA FLORA WANAUZA
wakati napita pita nikabahatika kualikwa katika sherehe moja ya mahafali ya kidato cha nne ambapo palikua pia na swahiba wangu bakari wote tuliunga katika mahafali hayo ambayo mgeni rasmi alikua mgombe wa chama fulani jina bwana MSULWA. HUKU VITUKO VIKIWEPO KAMA KAWAIDA...