Translate this blog in your favourable language

My pager view

Thursday, August 26, 2010

jamani dunia inamambo yake hawa ni bodaboda wa china

steve used to say...kila mtu hupenda kufanya kila analoweza ilimradi mkono uende kinywani hebu waone hawa wapo kwenye baiskeli sijui ndio boda boda za huko na wala hawajali kama kuna hatari inayoweza kutokea duh? !!! ila ni ubunifu na wewe buni chako ussiibe cha mtu ni dhambi..