Translate this blog in your favourable language

My pager view

Thursday, August 19, 2010

jamani kabla sijaondoka leo naomba nifanye hili kama suprise to someone so special si for you zay

hii itakua ni zawadi ya pekee ambayo nimeamua kumpatia huyu mtu unaweza ukawa na maswali juu ya hili ila naoma ichukulie poa hakuna kilicho haribika kila kitu kipo sawa jamani member ambao hamjaoa kama mimi au uolewa kama zay mtaoa au kuolewa lini????????

nilikua nafuatilia movie za majuu nikapata hili la akina kajor

kaleena kapor

kareena kapor na kajor ambae ametamba katika filam ya kuch kuch hota hai wana mpango wa kuja na movie moja kali baada ya mfungo wa ramadhani kuisha hii imatokana na ripoti kutoka katika mtandao mmoja unaohusisha filamu nchini india




kajor katika pozi

kila siku members wangu wananiambia we need to know you your phical appearance and we need you face please

hapa nilikua geto nimelala si akanipigia zay akaniambia she want to know me
but you have to know that ilove zay so much that is why i do that i did
 sijali sana nilikua naona aibu kupiga picha hata kama nilikua mwenyewe


kama walivyo sema lakini jamani sipendagi kuuza sura ndoi mana sina picha achilia mbali za kwangu za blog hata home huwa sina utaratibu wa kupiga picha ila jana kuna mtu muhimu sana kwangu anaitwa zaina kichungo from dsm for sure she make me do that u  see nimeamua kuwaka picha zangu ambazo nimepiga na simu yangu ya mkononi ila du mh.. oke say steve baada ya kuniview...
nilitamani nisipige ila wadau wanahitaji si jinsi kwakua nipo kwa ajili yao
usihanae nilikua katika mavazi tofauti kwakua nyingine nimepiga leo asubuhi wakati nimetoka kuamka