Translate this blog in your favourable language

My pager view

Thursday, July 22, 2010

tuwe pamoja ila udikteta unasaidia wakati mwingine ila sasa minaona hauna maana

steve used to say...old is gold but if there old but if there no old, old is not gold is old
 jana wakati wagombea wakirudisha fomu kuna kituko hapa yani kifupi ukweli unauma sana coz bakari mwapachu kaambiwa punzika kama wakina mzindakaya na wengine na uwapishe damu changa vijana   . mzee akageuka mbogo na kuanza kuongea kwa jazba na kiukweli ukweli unauma mimi kama steve naona  apunzike amchoka na ni bora awaachie vijana waendeleze gurudumu hili la uongozi,,....