Translate this blog in your favourable language

My pager view

Thursday, June 17, 2010

yaani kiukweli nazidi kupata mzuka wa world cup yaani woza

mambo ya woza ndio ambayo yanazidi kuifanya dunia inazizima kwa kua kila mtu hasa wale ambao ni mashabiki wa mpira kama mimi masikio macho pamoja na kiasi cha akili kipo sauzi kwa sasa ni jambo muhimu sana iwapo utalifanya muhimu pia ila kwangu mimi ni muhimu sana na napenda sana mpira bila shaka ni kama weweam yule.....