Translate this blog in your favourable language

My pager view

Tuesday, June 15, 2010

bado tunaendelea na mambo ya world cup

sio kwamba kimya hiki kinaashiria sipo la hasha ni kombe la dunia tu ndo linanifanya niwe bize ila tupo pamoja kama nitakuwa na mapungufu nisameheni bure hii kazi sio ndogo wa2 wangu ila kwa ufupi sema one love kama umenisamehe.... bila shaka umesema au so wangu wa ukweli/...