Translate this blog in your favourable language

My pager view

Sunday, June 6, 2010

hawa jamaa nawakubali kiukweli mi nasema ni wasanii wa ukweli

no longer at simple way.coz ukitaka kuangalia hawa jamaa walipotoka si ajabu akakwambia alianza muziki tangu akiwa mdogo ila tatizo likaja kwenye kutoka . bila shaka hawa jamaa wewe pia unawakubali sana kama mimi yani imenibidi tu niseme barnaba , diamond, amini, beca. na tht kwa ujumla mpo juu wazee. kula shavu.

we have to get more pics

pics like that and etc...kuna pic za ukweli na zingine za kiaina . but i think my pic is so nice for every one and thats make you enjoy you time of view my blog good and with presuereof knowing more every day.. be mine on blog all friend coz STEVE ALWYS FOR ANY ONE... WE ARE TOGETHER.

we have to move foward because this world is not for group of people or riches etc

i have deside to writte many of my posts in eglish in order the whole world understand what am talking about and this is good way to achive my blogs so join me in follower and we will share together.. be ware my friends..

DUNIA NA MUSTAKABALI WA NIDHAMU KATIKA JAMII ZETU

huwa maranyingi sana nakutana na mambo ya kustaajabisha sana yani unaweza kuta mama mtu mzima na heshima zake amevaa kimini kama siosuruali inayobana nakumuonesha maungo yake yalivyo halafu akipita anataka aheshimiwe wakati yeye hakujiheshimu kwanza yani ni aibu hata kusema na ukichunguza kwa undani utagundua kuwa ni mama wa watoto wakubwa na ameolewa na ana familia kubwa yani inashangaza .. jamani tubadilike akina mama tunawapenda na kuwahehimu nanyi jiheshimuni basi hata kidogo tu jamani mbona mnatufanyia hivyo au mnataka tuwatongoze mkatangaze hatuna heshima..

jamani sasa hii si laana kabisa.

yaani nimepata habari ya mwanaume kuoa mwanaume mwenzake halafu dume lililo olewa limeibuka na kusema lina mimba yani hii laana sijui itatupeleka wapi ndugu zangu mimi leo nipo tanga lakini siwezi kulichukulia poa hata kidogo coz linaniuma sana kuona serikali haikulifuatilia sualahili ili sheria ichukue mkondo wake lakini wanaachwa hivi hivi halafu tunapanda majukwaani na kujigamba eti tanzania bila ukimwi inawezekana.., MIMI NASEMA KWA HALI HII TANZANIA BILA UKIMWI HAIWEZEKANI HAIWEZEKANI HATA KIDOGO...

mikosi ya timu za africa world cup

ni habari ambazo ukisikia labda hazitakufurahisha coz michael essien ameshindwa kucheza kombe la dunia kutokana na majeruhi,, lakini haiihii hapo na didie droba nae kavunjikamkono na kuna uwezekano mkubwa nae pia akakosa kombe la dunia kwangu ni huzuni kubwa sana na wakati mwingine huwa nafikiri ni hujuma tunafanyiwa ila inabidi tuamini kua ni kama ajali ya kawaida but tuwaombee kama vipi.............