Translate this blog in your favourable language

My pager view

Friday, June 4, 2010

face book katika kuchati inaongeza upeowa kufikiri

yo need to chat? if yes join in my blog for more info..

faida za michezo hasa umiseta

no longer at simple way. but the way we are ... mh,.., mashindanoya umiseta kimkoa yalianza jana na kuendelea na leo ila kuna mapungufu mengi sana yamejitokeza kwa mfano timu ya wilaya ya kilindi ilicheza mecchi tatu ndani ya masaa 6 [sita] kwakweli utaratibu huo mi naona kama ulikua mbovu kupitiliza bebu jaribuni kujipanga mana hata hivyo vipaji haviwezi kutambulika kwa njia hiyo...