Translate this blog in your favourable language

My pager view

Thursday, December 30, 2010

UZINDUZI WA ALBAMU YA TID WAFUNIKA ZOTE ZA 2010 KAMA ULIKOSA BASI USIKOSE ALBAMU HII YA MFANO.


hapa walioshirikishwa katika wimbo uliobeba jina la albamu wa sifai.
mwanaume wa shoka alieonja ladha ya jela
Kama ulikua bado hujui haya nikwambiayo basi chukua hiyo  huyu ni masanii pekee wa mziki wakizazi kipya namaanisha bongo flava ambae amepitia hatua ya kiume ya kuonja japo kidogo ladha ya jela kama kwa akina 50%, lili wayne, akon nk. namkubali mimi pamoja na watanzania na mamilioni duniani kote na kilichofanya mpaka naamua kuandika makala hii ni uzinduzi wa albamu yake mpya ambao uzinduzi huo naweza nikasema ulikua ni moja kati ya uzinduzi bora kuliko yote ndani ya 2010 nilishuhudia wasanii kibao wakimpa shavu wakiwemo akina ngair, Kelvin mshindi wa big braza 2009 na wasanii wengine kibao na staili alionyoa ilikua ni ya kiubunifu na kama ilikua ya kiduku style laniki alizidi ubunifu na kuwa kivutio kikubwa sana ndani ya billicanas hakika kwangu hakuna kama TID AMBAE NDIE NINAYE MZUNGUMZIA HAPA
HISTORIA NA KIMUZIKI HASA ALIPOTOKA…..
TID katika pozi
Jina lake halisi ni Khalid Mohamed a.k.a TID yaani Top In Dar na si yeye anayejiita hivyo bali wapenzi wake TID  alisoma shule ya msingi Bunge na elimu ya sekondari alienda kuipatia pale Shaban Robert iliyopo ndani ya City la Dsm.
Hapa tid anaelezea historia yake kidogo kimuziki hasa alipotokea  |”nanukuu;;; Unajua tangu niko mdogo nilikuwa napenda sana kusikiliza pamoja na kujaribu kuimba nyimbo
mbali mbali....lakini baada ya kuwa mkubwa na kuanza kujishughulisha na shughuli hizi za muziki ndipo wazazi wangu waliponikumbusha kuwa fanii hii nilikuwa nikiipenda sana toka nipo bwana mdogo ile mbaya hapo ndipo nilipojua kuwa kipaji changu kilianzia mbali sana.

.....Ila nilianza kuimba rasmi mwaka 1996 nilipokuwa nipo shule pale Shaaban Robert nikiwa na wenzangu kama David a.k.a Wabaki, Saitana na Dingo Jango ambapo tulianzisha kundi letu lililoitwa Black Gangster na mara nyingi tulikuwa tukiperfom kwenye concerts za kishule na 'Talent Night ' ambazo tulishinda mara kibao. Yap mwaka 1998 tulirekodi albam iliyojulikana kwa jina la Mission Impossible iliyokuwa na nyimbo 12 na ambazo ziliimbwa kwa 'Ngeli' kimombo mzee hahaha. mwaka uliofuata yaani mwaka 1999 nilishirikishwa kwenye nyimbo ya 'Anza wewe' na kundi la Joint Mobb nyimbo ambayo ilikuwepo kwenye albam yao ya 'Kitinda Mimba'. Vilevile nimeshashirikishwa pia kundi la CBM Crew katika Track yao 'My Girl Friend' na mwaka 
hapa makamuzi ya uzinduzi na AY

2000 nikaanza rasmi maandalizi ya Albam yangu.
Mwaka 2001 Crazy GK akanishirikisha kwenye Track yake 'Tutakukumbuka' na 'Malaika' ambazo zote zinapatikana kwenye albam yake inayokwenda kwa jina la 'Nitakupa Nini Mama' na mwaka huo huo nikafeat na kundi la Taqwa ndani ya nyimbo Maovu na Bongo Chelea Pina na Bongo
Chelea pina ambayo inapatikana katika Compilation ya BNa mwaka huo wa 2001 ndio nikaingia mkataba kama Solo Artist na Studio ya Poa Records iliyo chini ya Producer Amit a.k.a Mental ambapo sasa narekodi albam yangu itakayokuja kwa jina la Sauti ya Dhahabu na itakuwa na jumla ya nyimbo 9 kati ya hizo ni pamoja na Mrembo, Zeze, Hii Mic, Ukweli na nyingine ambazo sitazitaja sasa hivi.ongo Records ya mwaka huo  huyu ndie tid kwa kifupi akielezea wapi hasa alipotoka hapa alikua akikaririwa na media moja hapa Tanzania
logo yake muhimu ya kiburudani
NA KAMA UKIKOSA ALBAMU YAKE UTAKUA UMEKOSA MAMBO MENGI SANA NA UTAKUA BADO HUSTAHILI KUWA MDAU WA MZIKI POPOTE DUNIANI PATA KOPY HALISI UINUE MZIKI WA BONGO NA UMUINUE NA TID KATIKA GEMU… PAMOJA SANA
STEVENN MRUMA

21 comments:

TS. Mruma said...

kama ukisosa albamu ya tid umekosa ladha halisi ya mziki wa kizazi kipya itafute nakala yako halisi uinue mziki wa bongo....

Anonymous said...

mbona post zime stop wats da prob kaka

Anonymous said...

happy new year

Anonymous said...

I used to be recommended this blog via my cousin.
I am no longer certain whether or not this put up is written via him as nobody else realize such specific about
my trouble. You're incredible! Thanks!

Check out my blog; porno x black

Anonymous said...

What i do not realize is if truth be told how you are
now not actually much more smartly-favored than you might be right now.

You are very intelligent. You understand therefore considerably in terms of this topic, produced me in my view believe it from
a lot of various angles. Its like men and women don't seem to
be interested until it's something to accomplish with Lady gaga!

Your own stuffs excellent. All the time take care of it up!



my homepage porno francais

Anonymous said...

Hey there, You've performed an incredible job. I will certainly digg it and personally suggest to my friends. I'm confident they will be benefited from this site.

Anonymous said...

With havin so much content do you ever run into any issues of plagorism or copyright infringement?
My site has a lot of unique content I've either written myself or outsourced
but it looks like a lot of it is popping it up all over the internet without my
authorization. Do you know any ways to help stop content from being ripped off?
I'd definitely appreciate it.

My blog post; reklamy

Anonymous said...

I appreciate, cause I discovered exactly what I was taking a look for.

You've ended my 4 day long hunt! God Bless you man. Have a great
day. Bye

My web page: free music downloads (twitter.com)

Anonymous said...

I'd like to thank you for the efforts you have put in writing this site.
I really hope to view the same high-grade content from you in the future as well.
In fact, your creative writing abilities has inspired
me to get my very own site now ;)

My weblog: Tabitha

Anonymous said...

Hi there, I do think your website could be having web
browser compatibility issues. Whenever I look at your web site in Safari, it looks fine however, if opening in IE, it's got some overlapping issues.
I just wanted to give you a quick heads up! Other than that, fantastic
website!

Feel free to surf to my web-site JosephBTolfree

Anonymous said...

Yesterday, while I was at work, my cousin stole my iPad and tested to see if it can survive a forty foot drop, just so she can be a
youtube sensation. My iPad is now broken and she has 83 views.
I know this is entirely off topic but I had to share it with someone!



Feel free to visit my web blog; LyndsayMProcell

Anonymous said...

Heya i am for the first time here. I came across this
board and I find It truly useful & it helped me out much.
I hope to give something back and help others like you helped me.


My site ... JamelHSeibers

Anonymous said...

Hey there! I just wanted to ask if you ever have any problems with
hackers? My last blog (wordpress) was hacked and I ended up
losing a few months of hard work due to no back up.
Do you have any solutions to prevent hackers?

Here is my web page ... CindaCEchevaria

Anonymous said...

I'm pretty pleased to uncover this page. I need to to
thank you for your time due to this fantastic read!!
I definitely liked every part of it and i also have you bookmarked to check out new things on your blog.


My website :: DeanNPichette

Anonymous said...

Hey! Someone in my Facebook group shared this website with us so I came to check it
out. I'm definitely enjoying the information. I'm bookmarking and will be tweeting this to my followers!
Fantastic blog and brilliant design.

Here is my webpage; KrisWDoop

Anonymous said...

Thanks for finally writing about > "UZINDUZI WA ALBAMU YA TID WAFUNIKA ZOTE ZA 2010 KAMA ULIKOSA BASI USIKOSE ALBAMU HII YA MFANO." < Liked it!

Feel free to surf to my webpage ... DeenaYMontell

Anonymous said...

Heya just wanted to give you a brief heads up and let you know a few of the pictures aren't loading correctly.

I'm not sure why but I think its a linking issue. I've tried it in two different browsers and both show
the same outcome.

Look into my page - CarriKManrriquez

Anonymous said...

Greetings, I believe your blog may be having browser compatibility issues.
Whenever I take a look at your site in Safari, it looks fine but when opening in IE, it
has some overlapping issues. I simply wanted to give you a quick heads up!
Besides that, fantastic site!

Here is my web-site: AdolfoPRylaarsdam

Anonymous said...

You're so cool! I do not suppose I have read a single thing like that
before. So great to find somebody with original thoughts on this issue.

Seriously.. thanks for starting this up. This website is one thing that is
needed on the internet, someone with a bit of originality!



Here is my website; KemberlyEGrizzel

Anonymous said...

Thanks a lot for sharing this with all of us you actually
know what you're talking approximately! Bookmarked.
Kindly additionally discuss with my site =).

We could have a hyperlink change arrangement among us

Here is my webpage: quest bars

Anonymous said...

Undeniably believe that which you said. Your favorite reason seemed to be on the internet the simplest thing to
be aware of. I say to you, I certainly get annoyed while people think about worries that they plainly don't know about.
You managed to hit the nail upon the top and defined out the whole thing without having side-effects , people
could take a signal. Will likely be back to get more. Thanks

Also visit my page; quest bars