Translate this blog in your favourable language

My pager view

Monday, October 18, 2010

big broo imekwislakini kipi kipya?

steve used to say...every thing we do have means and aims so what the aim of big brother africa? japo imekwisha ila kipi watanzania tumejifunza na labda ambach mimi nimekipenda mashemeji ma rich kaja na tatiana kuku mwisho akimleta merl eliza na mnigeria  ltoya na basha kwangu ndio kikubwa an ulevi wa kupidukia wa baadhi ya washiriki sijui wewe inakupa kipi kipya hapo...
kaka na shemeji

3 comments:

SALAMA SALUM said...

huyu kaka ako kafulia!

Anonymous said...

salama anasema kweli kafulia japo kafika mbali kiasi poa steve tuinue vijana wa tanga kumbuka unakubalika...

Anonymous said...

salama anasema kweli kafulia japo kafika mbali kiasi poa steve tuinue vijana wa tanga kumbuka unakubalika...