Translate this blog in your favourable language

My pager view

Friday, October 29, 2010

uchaguzi mkuu unakuja tanzania kila mtu jibu analo kichwani mwake



steve used to say...kwenye mamilioni ya watu kila mtu anakile ambacho anakipenda hasa katika masuala ya kisiasa na ndio mana nasena katika uchaguzi mkuu wa rais wabunge na madiwani kila mtu jibu analo kichani mwake kama ulihongwa kumbuka kura ni siri yako chagua umpendae na masuala ya kama alikupa vijisent vyake weka kapuni na chagua mana ile ni siri yako mimi sina chama chama changu baba na mama walionolea mpaka hapa nilipo ila mimi pia jibu nnlo kichwani mwangu 31/10/2010.......

Thursday, October 28, 2010

makala kuhusu historia ya hayati isaac gregory mwimwa regae mashuri duniani

hii ni historia fupi ya isaac gregory ka nilivyoitoa katika mitandao mbalimbali unaweza ukaitafsiri kama ukipenda ...'..Isaac Gregory born in Muhlenberg County, Kentucky November 8 1841 [and] was eleven years of age when brought to Texas by his parents. He attended school in Kentucky and finished in the log schoolhouses of pioneer Texas, where he became familiar with the dirt floor and the puncheon floor of the old schoolhouses, and sat on the split log benches without backs. [Though] the terms of such schools were short and the teachers inferior, [and] he did not finish his schooling until after his service in the Confederate Army, he acquired a fairly complete and satisfactory education.
[When] he reached his majority, he enlisted in February 1862 in the Confederate Army, joining Company C of Col. McCord's regiment of Texas Rangers. The rendezvous of this command was in Montague County on Red River. Indian raids upon the settlements made it necessary for the troops to remain on the frontier and Mr. Gregory was never in the great theater of the war between the north and south
His command was stationed near Fort Belknap until the final surrender. He participated in several combats with Indians. On Christmas Day 1863, his comrades overtook a band of Comanche on Fish Creek, while thirty two soldiers waged a unequal conflict from which the soldiers had to retire as best they could against 165 Indians
Again on January 8, 1865 a band of Indians on Dove Creek in Tom Green County was attacked by McCord's rangers, resulting in one of the hottest engagements in frontier annals. After several hours of fighting the soldiers were forced to retreat with the loss of several men. Mr. Gregory [was] in the battle and in the absence of beef he participated in the feast on the carcasses of seven Spanish ponies killed.
After the war was over he continued in frontier service as a member of a company of minutemen and was subject to call at various times when the community was menaced by hostile raids. Indians continued their stealing and killing expeditions for a number of years, and Mr. Gregory was called the last time in October 1878.
In the meantime he had devoted himself to the serious duties of a civilian farmer in the community where he had grown up. For half a century he has been one of the leading farmers and stockman of his community, and builder of Cooke County. His home is nineteen miles southwest of Gainesville, and adjacent to Clear Creek, where he has created a farm consisting of over six hundred acres, almost half of it under cultivation. His livestock comprises of sheep, horses and cattle. He is director of the First National Bank of Valley View.
After the war he united with the Cumberland Presbyterian Church and served as elder of the Mount Olivet Congregation.
On November 8, 1868 he united in marriage in Denton County to Miss Mary E. Copenhaver, and they were companions in home and all interests for more than forty years until the death of Mrs. Gregory on September 21, 1909. She was born in St. Clair County, Missouri on September 12, 1849, the daughter of Benjamin F. and Margaret (Criger) Copenhaver, who came to Texas about 1860. Her brother John F. Copenhaver is now a resident of Oklahoma.
I the declining years of his life Mr. Isaac Gregory is comforted by the presence of both his children and grandchildren, a number of who still live in his home community. His children ar
John William, the oldest, a resident of Valley View
James F., died in Gregory Settlement leaving no children
Martha A. is the wife of John Ratliff, [who] resides in Lone Wolf, OK
Margaret J., the wife of W.H. Davis, [who] resides Aransas Pass, TX
Joseph Edward, a farmer on the old homestead; married Daisy Waggoner; they have three children, Richard, Edith and Lowell
Laura Belle, the wife of Luther Atcheson of Sidell, TX
Robert Bruce lives at Orland, CA
Charles Monroe has his home at Hood, TX
Thomas J. remains on the homestead f
Mary Eunice, the wife of John McFarland, a farmer on the Gregory estate
Edna Florence, the youngest, is the wife of Sam Flint of Cleburne, TX
Homepage Top



Tuesday, October 26, 2010

KAMA UTAONA RAHA BASI NI KUWEZA KUISHI MAISHA AMBAYO UNAYATAKA BILA MITIHANI YA DUNIA

wapo watu ndani ya dunia hii wanakutana na mitihani migumu sana HAYATI  Luck Dube, Senzo,Bob Marley na leo tumempoteza na huyu ISAAC GREGORY alipitia maisha ya misukosuko na aliweza kusimama imara mpaka alipofikia ila makala kuhusu isaac inakuja isubirie mungu amlae mahali pema peponi amina.

Friday, October 22, 2010

salama says.............guys nashukuru niko na steve,one blog lkn tunacontrol 2 people so keeep in touch!mambo mapya v2 vipya kila cku,ukiwa ....na salamaaaa and steven ndani ya nyumba!wwwsalama.blogspot.com

napenda san mazingira ya dunia nzimayawe pa sana ndio mana nimeamua kujiunga na kusaidia mazingira dunia irudi kama zamani.



katika siku za nyuma niliwahi kufanya project nyingi za mazingira na hili nlilifanya baada ya kuwaaga kupitia blog hii ilakikubwa ni kwamba hata wewew unaweza ukayarudisha mazingira ya jamii yako yakawa kama zamani na hili linaanzia na mimi ksha na wewe ujiunge nami kwapamoja tusaidie mazingira ili dunia iwe kamaeden inawezekana na ni kazi inayotaka kujitoa kikamilifu .. fanya kazi na saidia mazingira upate tuzo ya roho kutoka kwea mugu alieyaumba kisha binadamu asiye na akilia akayaharibu..
keep your promise to environment.

Wednesday, October 20, 2010

kama kuna kitu ambcho siku ya leo nimekipenda japo si sana ni kila mtu kua makini na tarehe ya leo

ukizungumzia leo unazungumzia siku adimu sana kikalenda kwani  leo ni tar 20.10.2010 double 20,10 ni siku ambazo ni adimu sana kutokea na kama ikitokea kurudi kwake ni kama haiwezekani tena lbda ije ya namna nyingine kabisa so jifikirie siku hii special umeifanyia kitu gani cha muhimu na kama itatokea siku kama ya leo labda 11/11/2011 japo haifanani sana ila utakuwa na mafanikio gani au kipi cha muhimu katika maisha yako.

Monday, October 18, 2010

big broo imekwislakini kipi kipya?

steve used to say...every thing we do have means and aims so what the aim of big brother africa? japo imekwisha ila kipi watanzania tumejifunza na labda ambach mimi nimekipenda mashemeji ma rich kaja na tatiana kuku mwisho akimleta merl eliza na mnigeria  ltoya na basha kwangu ndio kikubwa an ulevi wa kupidukia wa baadhi ya washiriki sijui wewe inakupa kipi kipya hapo...
kaka na shemeji

kuna funs mmoja nataka kuungana nae kiblog kama atapenda my be tutakuwa na mambo mengi mapya yanakuja kama kweli itakuwa

pic of salama salum from kino dsm..
ni salama salum ambaye ni best friend wangu kupitia face book nakama wewe pia unapenda fungua blog na kisha nijulishe na tutaungana na kua kama media moja kali sana ambayo itakua inapata habari tanzania nzima na duniani kwa ujumla

mwana mpotevu arejea home je anastahili kusamehewa mana kimya chake cha siku 21 sio mchezo

inawezekana kuna walioumia kutokana na uwepo wangu kuwa mbali na marafiki na wapenzi ila nimerudi na ujio mpya nashukuru wale wote niliokua nao katika mawasiliano kwa kipindia mbacho nilitoka nawashukuru walioniandikia emai au wall yangu ya facebook kupitia stevenmruma@hotmail.com na pia sms kupitia 0719507240 na 0753226538 wote nawapenda na nimerudi baada ya kukaa porini katika project za mazingira kwa wiki tatu.. nisameheni mimi kwaa kimya hiki ila tupo pamoja kuanzia leo.........