Translate this blog in your favourable language

My pager view

Saturday, September 18, 2010

hivi unahimili vipi pale unapokua katika mkusanyiko wa watu wengi?

palipo na watu wengi pana mengi kama wizi na mengineyo ila ni lazima ujue kukabiliana nayo kwanza uwe na mavazi ya kawaida yani ya heshima mf wasichana waliovaa nusu uchi walivuliwa nguo katka fiesta ya 2007 tanga na wahuni kwa mavazi yao ya ajabu so jaribu kuangalia suala la mavazi..pia usipende ibishoo au usista duu sio mzuri unaweza ukakupashida wakati mwingine...beware..

No comments: