Translate this blog in your favourable language

My pager view

Monday, September 20, 2010

chelsea waendelea kusogelea ubingwa kwa 100% baada ya kuua 4-1



timu ya chelsea jana kama ilivyo ada iliendeleza wimbi la ushindi kwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4 kwa 1 dhidi ya blackpool katika ligi kuu ya uingereza pia mashetani wekundu nao waliweza kifunga timu ya liverpool mabao 3 kwa 2 ndani ya old trafod...huku muuaji wa liverpool akiwa ni berbatov aliepiga hat-tric..

No comments: