Translate this blog in your favourable language

My pager view

Sunday, August 15, 2010

yapo mengi mapya ila kiukweli mavazi haya na mitindo hii tuangalie na wakati

 mavazi haya ya picha ya juu yanakera na mi binafsi yananiboa hasa pale nimuonapo mtu kavaa
huyu dada japokua ni designer ila katoka bomba sana  anaonekana mrembo vilevile sio mpaka uvae nusu uchi
jamani nidhamu haiuzwi si wote ambao tuna funga mwezi huu ila hata heshima na mitego mingine haina mana wakati napitapita ndani ya jiji la tanga wadada bado kuna shida mavazi yao yako nje ya nidham halaf ukiuliza jibu ni kwamba mimi sio muislam duh? muenendo huon sio ishu kabisa mi naona jabibuni kujiheshimu wadada na akikina kaka na nyie mitusi muache yani kila kona hasa usiku waungwana mavi huachia mitusi mizito. yani utafikiri tunatembea uchi... am out na message sent...................

No comments: