Translate this blog in your favourable language

My pager view

Monday, August 16, 2010

katika wachezaji ninaowapenda zaid ni huyu kiukweli anatisha

didie drogba wa chelsea
didier drogba ni nyota wa ivovy anayetesa sana uk ila kiukweli ni bonge la jembe kwani ameweka record ya kufunga hat-tric  katika mechi za ufunguzi wa ligi huku akiwa bado ni kinara wa mabao ligi iliyoisha huku timu yake ikiwa na ubingwa wa uk..

1 comment:

Anonymous said...

Thanks for sharing such a good idea, article is
good, thats why i have read it completely

Feel free to visit my page reklamy lubin