Translate this blog in your favourable language

My pager view

Tuesday, August 24, 2010

jamani upendo ni kitu cha bure kabisa ila huyu na wengineo wananipenda pia

upendo haujivungi hata siku moja kama mtu anakujali na anakupenda sio siri ni lazima utauona upendo huo ninao marafika wengi sana pia kupitia facebook ila huy ni zaidi ya ndugu ni swahiba wangu ambaye nipo naye muda mrefu anaitwa bakari kama vipi mcheki kwenye facebook yake ya bakarimaulid@yahoo.com......

No comments: