Translate this blog in your favourable language

My pager view

Monday, August 30, 2010

jamani hii ndio timu ninayoshabikia hapa bongo ulay ni chelsea



kila mtu anatimu yake anayoipenda kama mimi naizimia yanga ya bongom huku ulaya nikila shavu na the blues chelsea napia nipenda sana real madrid na pia intermilan ya iyalia zaidi ya hapo sina club ya mpira ninayoipenda sana na timu za taifa taifa sters ndio chaguo la kwanza ..

police afumwa akitaka rushwa ya ngono na mke wa mtu huko majuu

rushwa ni mchezo ambao upo dunia nzima kuna rushwa za aina nyingi sana mfano rushwa ya ngono nk... polisi mmoja aitwae oscar ravanelor alifumaniwa na mke wa mtu akidai rushwa ya ngono na askari huyo alinaswa na kamera na kupata tukio zima la kudai na kupokea rushwa ya ngono kutoka kwa mke wa mtu ambae alikubali kwa hiari yake ili afutiwe kesi ya kuendesha gari kwa kasi huku mumewe kupigwa na butwaa baada ya kusikia tukio hilo...

Sunday, August 29, 2010

mambo ya wikend full sherehe kwa ambao hawafungi zilikua kama kawa

FLORA AKIUZA SURA

 ANAPOKEA CHETI
 MIMI NA WAJINA WANGU STEVEN
 HAPA NAKULA NILIKUA KOBE
BEKA NA FLORA WANAUZA
wakati napita pita nikabahatika kualikwa katika sherehe moja ya mahafali ya kidato cha nne ambapo palikua pia na swahiba wangu bakari wote tuliunga katika mahafali hayo ambayo mgeni rasmi alikua mgombe wa chama fulani jina bwana MSULWA. HUKU VITUKO VIKIWEPO KAMA KAWAIDA...

Friday, August 27, 2010

jama have breaking news ila ichukulieni poa kwani yamepita

steve used to say...kila mtu ana uamuzi wake binafsi nilikua nipo kimahusiano na msichana aitwa zaynab ila ilikua nipo mbali nae ila tulidumu katika mahusiano kwa miaka mitatu na sasa rasmi jana amenimbia nijue hamsini zangu kwakua tayari anaempenda ambaye bila shaka yupo karibu nae duh sikuhisi vizuri ila one atatmani kuwa karibu na steve ila hataweza tena i believe that coz nilkua naplani nae ya kumuoa kabisa ila ndio hivyo ame miss luck kupata mtu wa kuoa kwasasa ni vigumu jamani ila mimi na zay tena ndio basi natamka rasmi simpendi tena zay labda kama ninavyowapenda wetu wengine kama rafiki nk.. ipo siku nitapata wakua karibu nae na pia naamini ataikumbuka nafasi nilompa na kamwe hatoipata tena ... bye zay my heart is far away to you now if you love me now please go to hell.... let me a live  ..soryy if it may hut you....

JE BADO ERNESTO CHE GUEVALA ANAKUMBUKWA? SHORT HISTORY OF E. CHE GUEVALA.

    
    Che alikua ni nguli wa kupigania ukombozi wa watu wa kolombia na alikua anafanya vita na serikali huku akipingwa vikalia na wamarekani ambao ndio walio pelekea kifo chake baada ya kukamatwa msituni yapo mengi kuhusu yeye kama unataka nitakutumia historia yake na kama upo poa nipe email yako nitakutumia binafsi mimi na wewe..............
    Story yake kwa ufupi.
        Ernesto Guevara de la Serna (1928-1967) was an Argentine physician and revolutionary who played a key role in the Cuban Revolution. He also served in the government of Cuba after the communist takeover before leaving Cuba to try and stir up rebellions in Africa and South America. He was captured and executed by Bolivian security forces in 1967. Today, he is considered by many to be a symbol of rebellion and idealism, while others see him as a murderer.

   Early Life

  
     Ernesto was born into a middle class family in Rosario, Argentina. His family was somewhat aristocratic and could trace their lineage to the early days of Argentine settlement. The family moved around a great deal while Ernesto was young. He developed severe asthma early in life: the attacks were so bad that witnesses were occasionally scared for his life. He was determined to overcome his ailment, however, and was very active in his youth, playing rugby, swimming and doing other physical activities. He also received an excellent education.

Guevara Joins the Cuban Revolution

In late September 1954, Guevara travelled to Mexico City, where most of his revolutionary friends were heading. Guevara found work, moved in with Hilda, and spent time talking to his revolutionary friends. Then, in June 1955, Raul Castro (Fidel Castro’s younger brother) fled Cuba and arrived in Mexico City. Through Guevara’s Cuban friends, Guevara met Raul upon his arrival. Guevara then asked Raul over for dinner. The two began talking and found they had much in common. A couple of weeks later, Fidel Castro fled Cuba and arrived in Mexico City. Shortly after his arrival, Guevara met Fidel and later that same night, went out to dinner with both Castro brothers. While at dinner, Fidel asked Guevara to join his revolutionary movement to overthrow the government of Fulgencio Batista in Cuba. Guevara immediately accepted.
Shortly after Guevara joined Fidel’s revolutionary force, Hilda discovered she was pregnant. Doing the “honorable thing,” Guevara married Hilda on August, 18, 1955. On February 15, 1956, their daughter, Hilda, was born. Despite now having a wife and family, Guevara was still determined to go with Fidel to Cuba.
While waiting for the day of the revolution to begin, Guevara and other trusted Cuban exiles began training and preparing for guerrilla warfare.

Starting a Revolution in Bolivia

After the failed effort in the Congo, Guevara decided to organize a revolution in Bolivia. In November 1966, Che arrived in Bolivia disguised as a balding, middle-aged Uruguayan businessman named Adolfo Mena Gonzalez. Once safely within Bolivia, Guevara quickly shed that disguise and got to work on the revolution. Since, the bulk of Guevara’s initial revolutionary force was Peruvian and Cuban, it was imperative that Guevara get a decent number of Bolivians to support the revolutionary cause as soon as possible. Unfortunately, Guevara was never able to do this. Guevara’s first hope was to get the support of the Bolivian Communists; however, after Che refused to let the leader of Bolivia’s Communist Party take control of the entire revolution, the Bolivian Communists wanted nothing to do with Guevara.
Guevara’s second hope was to appeal to Bolivian peasants to support the revolutionary cause. This also failed once the Bolivian government began a very effective propaganda campaign that emphasized the internationality of Guevara’s rebels and blamed these foreigners for bringing Castro-led Communism into their country. The patriotic peasants were thus not willing to help these outsider rebels.
Everything else went badly for Guevara in Bolivia. The most damaging development came when the Bolivian government discovered Guevara's presence in their country as well as his general location before Guevara had time to establish himself.
By March 1967, the Bolivian army was actively pursuing Guevara’s small group of revolutionaries, following them so closely that Guevara was unable to maintain a base camp. Constantly on the run and suffering from a severe asthma attack, Guevara was unable to muster an attack or a retreat. Hunted, Guevara’s group became splintered and many were captured or killed.

Che Guevara Captured and Executed

   
     The end came in October 1967. On the morning of October 8th, Bolivian Army Rangers had surrounded Guevara and the 16 revolutionaries that remained within a gully called the Quebrada del Churo. At 1:10 p.m., a gun battle broke out. The guerrillas got separated; many were killed or captured. During the gunfight, Guevara was hit by a bullet in his left leg. While trying to scramble away, Guevara was captured. Guevara was taken to a schoolhouse in the small town of La Higuera, where he was interrogated.
The next day, the order to execute Che Guevara was given by the president of Bolivia. At 1:10 p.m. on October 9, 1967, Sergeant Mario Teran, a Bolivian soldier who had volunteered for the job, shot Guevara with a semiautomatic rifle.
Che Guevara was dead at age 39.

Guevara After Death

   
       At first, the Bolivians placed Guevara’s body on top of a concrete washbasin and let both soldiers and locals view his remains. Pictures were taken. Some people even cut off locks of Guevara’s hair as good luck keepsakes. Before he was to be buried, the Bolivians sawed off Guevara’s hands and placed them in formaldehyde hoping to use them as proof of Guevara’s death.
On October 11, 1967, the Bolivians secretly buried Guevara’s hand-less body in a secret grave. For three decades, the location of Guevara’s grave remained a closely kept secret.
In July 1997, Guevara’s skeleton and those of six other revolutionaries were located near the Vallegrande airstrip in southern Bolivia and returned to Cuba for reburial. In October of that year, Guevara and his companions were buried in Santa Clara, the city where he had won a decisive victory in the Cuban Revolution in 1958.
Despite the failure of attempted revolution in the Congo and in Bolivia, Guevara has had a brilliant afterlife as the symbol of a dedicated revolutionary, willing to sacrifice his life for the oppressed of the world. Ironically, his image has been turned into a commodity by the very capitalistic system he sought to overturn, reproduced on countless posters and on a vast array of other commercial products.
* According to a leading biographer of Guevara, Jon Lee Anderson (Che Guevara: A Revolutionary Life, page 3), Guevara’s mother told him that Guevara was actually born May 14, but she and her husband changed the date so no one would suspect she had been pregnant before the marriage.

hawa ndio nguli wangu wa muziki bongo na hakuna anayeweza jaribu

unapomzungumzia muziki wa bongo kiukweli hutakosa kuwataja hawa fa na ay ni wasanii ambao wanatisha na ndi pekee wanaturusha nje ya nchi na kadhalika mimi kama steve nasema hawa ndio nguli wa muziki na wapo kikazi zaidi na wala sio mauzo  kama baadhi ya wasanii  big up kwenu...

Thursday, August 26, 2010

jamani dunia inamambo yake hawa ni bodaboda wa china

steve used to say...kila mtu hupenda kufanya kila analoweza ilimradi mkono uende kinywani hebu waone hawa wapo kwenye baiskeli sijui ndio boda boda za huko na wala hawajali kama kuna hatari inayoweza kutokea duh? !!! ila ni ubunifu na wewe buni chako ussiibe cha mtu ni dhambi..

Tuesday, August 24, 2010

unapozungumzia ppf tower au bot ya tanga unazungumzia jengo hili

hili hapa nilpo mimi ni jengo la library ya mkoa wa tanga linaonekana kwa nyuma
 hapa ni jengo lililopo karibu na ofisi za uhamiaji kama unavyoliona kwa chini
 na hili hapa ndio bot yenyewe ta tanga ni jengo la bandari
ni jengo la bandari tanga ndio jengo kubwa na la kupendeza ndani ya jiji la tanga ambapo ndani yake kuna maofisi mbalimbail na pia kituo cha redio mwambao fm... lakina pia kuna majengo mengi mazuri sana na hili pia ni moja wapo lipo maeneo ya uhamiaji karibu na librali ya mkoa amalo jengo hilo nalo ni la kihistoria lilifunguliwa na donard cameroon enzi za ukoloni'''

jamani upendo ni kitu cha bure kabisa ila huyu na wengineo wananipenda pia

upendo haujivungi hata siku moja kama mtu anakujali na anakupenda sio siri ni lazima utauona upendo huo ninao marafika wengi sana pia kupitia facebook ila huy ni zaidi ya ndugu ni swahiba wangu ambaye nipo naye muda mrefu anaitwa bakari kama vipi mcheki kwenye facebook yake ya bakarimaulid@yahoo.com......

Friday, August 20, 2010

lil wayne asikitikia maisha yake ya jela asema jela ni shimo usilitumbukie

jela kiukweli ni fundisho ndio mana wengi walioenda huko hubadilika ijapokua kuna wale nundaz yani hata umfunge miaka 10 bado akitoka atakua mhalifu hii iko tofauti sana na msanii lil wayne yeye anasema jela imekua ni fundisho la maisha kwake....

kiukeli kwsasa tanga iko safi ila ndio hivyo maskini wamenyongwa ili matajiri wafurahi


jiji la tanga kwasasa liko safi sana ila wapo watu wengi ambao wameumia na wameanguka kiuchumi kutokana na biashara zao kuondolewa ama kuvunjiwa biashra zao nilipita maeneo mengi nikakuta kuko kimya sana na zile mishe za mjini zote zilipungua na hali hii inatishia wimbi kubwa la wizi ama uzururaji kutokana vijana wengi wameharibiwa biahara zao..

Thursday, August 19, 2010

jamani kabla sijaondoka leo naomba nifanye hili kama suprise to someone so special si for you zay

hii itakua ni zawadi ya pekee ambayo nimeamua kumpatia huyu mtu unaweza ukawa na maswali juu ya hili ila naoma ichukulie poa hakuna kilicho haribika kila kitu kipo sawa jamani member ambao hamjaoa kama mimi au uolewa kama zay mtaoa au kuolewa lini????????

nilikua nafuatilia movie za majuu nikapata hili la akina kajor

kaleena kapor

kareena kapor na kajor ambae ametamba katika filam ya kuch kuch hota hai wana mpango wa kuja na movie moja kali baada ya mfungo wa ramadhani kuisha hii imatokana na ripoti kutoka katika mtandao mmoja unaohusisha filamu nchini india




kajor katika pozi

kila siku members wangu wananiambia we need to know you your phical appearance and we need you face please

hapa nilikua geto nimelala si akanipigia zay akaniambia she want to know me
but you have to know that ilove zay so much that is why i do that i did
 sijali sana nilikua naona aibu kupiga picha hata kama nilikua mwenyewe


kama walivyo sema lakini jamani sipendagi kuuza sura ndoi mana sina picha achilia mbali za kwangu za blog hata home huwa sina utaratibu wa kupiga picha ila jana kuna mtu muhimu sana kwangu anaitwa zaina kichungo from dsm for sure she make me do that u  see nimeamua kuwaka picha zangu ambazo nimepiga na simu yangu ya mkononi ila du mh.. oke say steve baada ya kuniview...
nilitamani nisipige ila wadau wanahitaji si jinsi kwakua nipo kwa ajili yao
usihanae nilikua katika mavazi tofauti kwakua nyingine nimepiga leo asubuhi wakati nimetoka kuamka

Wednesday, August 18, 2010

jiji la tanga limeingia kwenye mchakato wa usafi

usafi ambao umefilisi walio wengi hasa watu walio na kipato cha chini akina mama wamevunjiwa magenge yao na mgambo wa jiji vijana ambao ni nguvu kazi wamefukuzwa ktk sehem zao za kibiashara na imewatia katika umaskini kwani wengi wao wapo mjini kwakutegemea biashara ambazo tayari wengi wao wamefilisika na kuwepo na hatari ya kuibuka wimbi la wizi kutokana na vijana wengi kukosa ajira

hizi ni baadhi ya picha zikionesha jiji la tanga katika maeneo ya bandari jijini tanga

ikiwa leo ni ramadhani 7 [chungu cha saba] bado tupo kihabari zaidi ya kawaida


 
ninayo mengi kuhusu indian movie ambazo kwasasa wasanii wengi wa movie india nao wanafunga hivyo wasanii hao wanaofunga wampunzika kucheza movie kwakua waona kunaweza kukatokea mambo mengi kama kulazimika kukiuka maadili ya dini wakati wanacheza movie wasanii hao ni akiana shilpa shetty , sunil shety. salman kahn na wengineo wengi ambao ni waislam

Monday, August 16, 2010

kuna habari nyingi za premier league ya uingereza na pia indian movie na so much zinakuja


steve used to say...

hawa ndio walioshika movie duniani


 hawa ni baadhi ya waigizaji wa india..

watu wakwanza kurekod video duniani inasemekana ni wahindi ambao mpaka sasa bado wanaishika dunia na movie zao kali na zenye hisia kali sana kama ulikua hujui basi tambua kua wahindi ndio wajanja wa filamu dunia hii  kiukweli wako juu hasa ninao wajua mimi akina sunnil deol akina shilpa shety kareenal  amita, na wngineo wengi wanasoko zuri la filamu dunia nzima

katika wachezaji ninaowapenda zaid ni huyu kiukweli anatisha

didie drogba wa chelsea
didier drogba ni nyota wa ivovy anayetesa sana uk ila kiukweli ni bonge la jembe kwani ameweka record ya kufunga hat-tric  katika mechi za ufunguzi wa ligi huku akiwa bado ni kinara wa mabao ligi iliyoisha huku timu yake ikiwa na ubingwa wa uk..

Sunday, August 15, 2010

yapo mengi mapya ila kiukweli mavazi haya na mitindo hii tuangalie na wakati

 mavazi haya ya picha ya juu yanakera na mi binafsi yananiboa hasa pale nimuonapo mtu kavaa
huyu dada japokua ni designer ila katoka bomba sana  anaonekana mrembo vilevile sio mpaka uvae nusu uchi
jamani nidhamu haiuzwi si wote ambao tuna funga mwezi huu ila hata heshima na mitego mingine haina mana wakati napitapita ndani ya jiji la tanga wadada bado kuna shida mavazi yao yako nje ya nidham halaf ukiuliza jibu ni kwamba mimi sio muislam duh? muenendo huon sio ishu kabisa mi naona jabibuni kujiheshimu wadada na akikina kaka na nyie mitusi muache yani kila kona hasa usiku waungwana mavi huachia mitusi mizito. yani utafikiri tunatembea uchi... am out na message sent...................

leo sina ishu kali so niponipo kiaina ila msinichoke

ila akina jafarai na wengineo nimezilizimia kolabo lao..
haw hapo pichani wauza sura wametaka kolabo
steve used to say...mvumilivu hula mbivu     jamani mbivu zanakuja zipo njiani  so poa naja kama sqeez....

unamjua vuvuzela aliekua anafanya tangazo la fiesta?

huyu ndio vuvuzela

kama hafananii ila kiukweli ndo vuvuzela wa bongo ni mtu jamani sio kifaa cha kupuliza ni bint ambae anafanya kazi clouds fm ya dsm ni mkali kiukwkeli namkubali coz nlizani ni dj fety ila duh kumbe ni huyu  hapa pichani hebu muine bonge la ostadhat.

mi ndio nilio andika sio kama mi ndio vuvuzela

Friday, August 13, 2010

ramadhan njema wadau najua leo chungu cha tatu kwa answali na cha pili kwa wengineo heri yenu mi mwaya sijafunga coz mh mh.. mh



steve used to say...kila maovu yanapozidi mola hutukumbusha turudi kundini na hii ndo maana sasa waislamu wote wapo kidini zaidi kumuomba mola apunguze mizigo mizito zaidi na atupe   baraka....