Translate this blog in your favourable language

My pager view

Tuesday, June 8, 2010

mambo matatu muhimu yakuyafahamu ktk mechi ya tanzania na brazil

1. kwa mara ya kwanza ndani ya mechi sita bila kufungwa goli lolote jana hatimaye jabir azizi akakata mziziwa fitna akavunja rekodi muhimu ya brazil hapo jana. 2.kinyume na mazoea ya wengi kuwa polisi huwa wanaangalia mashabiki kwa ajili ya usalama jana ilikua nitofauti kwani walijisahau mpaka shabiki akashuka jukwaani na kuingia uwanjani bila kikwazo na njemba hiyo kujizolea umaarufu. 3. kinyume piana matarajio ya wachambuzi wengi kuwa kaka na robinho wangecheza kipind kimoja jana walikipiga dakika zote 90. yapo mengi ila leo chukua hayo...

No comments: