Translate this blog in your favourable language

My pager view

Monday, June 7, 2010

maisha ya kutegana ndio hasa yanafanya juhudi za kutokomeza ukimwi zigonge mwamba.

mavazi ya heshima yanaweza kumfanya mtu akawa tofauti kabisa , ila katika zama hizi za utandawazi kuna mavazi, mitandao, na mitoko ya aina mbalimbali ambayo hiyo kwa wale wanao athiliwa na kuona [wanaume] huwa wanashindwa kuzuia hisia zao na mwisho wa siku wanakua wanabadili wanawake kama nguo ila mi naona chanzo chake ni mitego hasa ya kimavazi .. mfano angalia picha hiyo halafu na wewe sema kitu kuhusu hilo,,... am out..

No comments: